Wanasema waunde tume kuchunguza kwanini wanafunzi wanafail wakati hata kichaa anajua ni kwanini wanafunzi wana-fail sana....
Hivi huu upuuzi wakila siku kunda tume bado unaendelea kwenye hii serekali dhaifu nilini walituletea majibu sahihi ya hizo tume wanazo unda uhu ujinga jamani mbaka lini uku Nchi inangamia