Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Picha za moja ya shule ya msingi jimbo la Ole Medeye (Enjoro) wanafunzi wa darasa la tano wanasomea chini ya mti huku walimu wakiishi kwenye mapango kama picha zinavyoonyesha, hakika CCM haina nia njeama na watanzania na kama watanzania nao wataendelea kulala basi tusishangaa watoto kuchora picha za ZOMBI na Messi.
Juu ni baadhi ya madarasa ya shule ya msingi Enjoro
Juu ni baadhi ya nyumba wanazoishi walimu..
Juu ni baadhi ya madarasa ya shule ya msingi Enjoro
Juu ni baadhi ya nyumba wanazoishi walimu..