Vipi na wewe ulisoma shule kama hii kama ndiyo mwaka gani? nakwanini hakuna mabadiliko ili hali deni la taifa lina zidi kuongezeka achilia mbali rasilimali tulizonazo....je kuna haja ya kuendelea na utwala huu..
Kama una nia ya kuendelea na hali hii.