Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Vipi zile meli za haramia la CCM na pembe za ndovu zimeshataifishwa na serikali ya sultan kikwete?vipi lile eneo alilojimegea mabwepande na mzazi mwenzake kwa kumtumia yule diwani wa chadema amerudisha?