Philip Mangula vs Dr. Willibrod Slaa

Philip Mangula vs Dr. Willibrod Slaa

Nani mkali kati ya MANGULA na DR. SLAA?

  • MANGULA

    Votes: 7 5.3%
  • DR. SLAA

    Votes: 126 94.7%

  • Total voters
    133
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
mkuu acha ushabiki kumbuka huyu mzee mangula alikiweza na kukitumikia kwa uwezo mkubwa ccm ni wakati wa uongozi wake ktk uchaguzi wa 2005 JK alishinda kwa asilimia 80 je huoni ni mafanikio makubwa mbona slaa 2010 alishindwa kubuni mipango na usimamizi wa ushindi???? tafakari

Vile vile Mzee Mangula ndiye aliye asisi rushwa kwenye chaguzi za CCM kwa kuziita"takrima"na akazitetea kwa nguvu zake zote!

Mangula ananuka rushwa na ingawaje ndiye aliyeianzisha lkn alizidiwa kwa rushwa na kuangushwa na Deo Sanga uenyekiti wa CCM-Iringa na baadae kuondolewa jina lake uchaguzi wa mwaka huu ktk Wilaya mpya ya Wanging'ombe-Njombe!
 
tatzizo hatupendi kuambiwa ukweli nilimpenda sana slaa but now nimerui kundini mtu aliyejawa na uchafu atapataje baraka za kuiongoza TANZANIA?

Umeingia kundini vip, trh 25 ndio ukawa Mmber tutajuaje upuuzi na ushuzi unaiweka hapa kama kweli, hujui ulitendalo au umeingia humu kuchafuabhali ya hewa, hata ukijampa hatusikii, mangula kafanya nini tumkumbuke nacho? Wizi wa epa? Meremeta na deep green ndiye alikuwa architect na sikusikia hata sikunmoja akikemea
 
Umeingia kundini vip, trh 25 ndio ukawa Mmber tutajuaje upuuzi na ushuzi unaiweka hapa kama kweli, hujui ulitendalo au umeingia humu kuchafuabhali ya hewa, hata ukijampa hatusikii, mangula kafanya nini tumkumbuke nacho? Wizi wa epa? Meremeta na deep green ndiye alikuwa architect na sikusikia hata sikunmoja akikemea

huo wizi wa epa una uhakikaàlishiriki?
 
Jamani naona mnafanya dharau sijuikwa sababu muda wote mkonktk pc, you dont think out of box, slaa sio wa kaulinganishanna na mangula, mangula kashika nafasi zote,akiwa ktb mkuu ndio epa ziliposhamiri alifanyanini? Chini ya slaa ndio serikali zimevunjwa kwa hoja zake mara ngapi akiwa nje ya system je kama angekuwa ndani ingekuwa kivumbi, acheni mizaha jamani, kuleta polls ambazo hazilingani kabisa

toa hoja acha jaziba
 
mkuu acha ushabiki kumbuka huyu mzee mangula alikiweza na kukitumikia kwa uwezo mkubwa ccm ni wakati wa uongozi wake ktk uchaguzi wa 2005 JK alishinda kwa asilimia 80 je huoni ni mafanikio makubwa mbona slaa 2010 alishindwa kubuni mipango na usimamizi wa ushindi???? tafakari

Kama unaelezea mafanikio ya kuchakachua uchaguzi na matokeo upo sawa kabisa mwanawani mangula yupo juu!
 
Nawashangaa sana hawa Pro-Chadema JF wao kila mtu wanalinganisha na Dr Slaa, siasa siyo mchezo wa tenesi au draft kuna namba moja.

Nyie endeleni kumchuuza Dr Slaa mwisho wa siku akija kwa wananchi wanampiga nchini na kuanza kulalamika kaibiwa kura na usalama wa taifa.

Dr Slaa hawezi kuwa rais wa Tanzania hata siku moja ataendelea kuwa rais kivuli tu.
 
Huyu Mangula akiwa katibu mkuu wa CCM ndiyo yalifanyika/alibariki wizi wa EPA sasa unasemaje kuwa alikuwa na uongozi wa kutukuta? mm siwezi hata kumpigia kura
 
Nawashangaa sana hawa Pro-Chadema JF wao kila mtu wanalinganisha na Dr Slaa, siasa siyo mchezo wa tenesi au draft kuna namba moja.

Nyie endeleni kumchuuza Dr Slaa mwisho wa siku akija kwa wananchi wanampiga nchini na kuanza kulalamika kaibiwa kura na usalama wa taifa.

Dr Slaa hawezi kuwa rais wa Tanzania hata siku moja ataendelea kuwa rais kivuli tu.
Vip kura hapo juu naona muuza nyanya chali
 
Naona unashindanisha kichuguu(mangula) na mlima kilimanjaro( RAIS) au Panya na Tembo!
 
Hahahahah jamaa unaota!!! zinduka for God's sake this is Dec 2012....huyo mangula aliiongoza ccmweli kipindi kipi??? na kwann walimweka pembeni??? na kipi kilichowafanya wamrudishe tena??? mangula is history...dr.slaa is the hottest news in town!!!
japo post si yangu naomba nikwambie tuache ushabiki wa kiroho huwezi kumlinganisha mangula na slaa kwanza mangula aliongoza CCM kama taasisi na wanachama wengi huwez kumlinganisha na slaa anaeongoza kampuni jadili kisomi mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom