idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
mazingira magumu kudidimiza akina ZZK??? MANGULA kaongoza akili za watu 6,000,000 vp huyo babu yenu??
kumbe lengo lako ni vijembe na sio hoja.
mazingira magumu kudidimiza akina ZZK??? MANGULA kaongoza akili za watu 6,000,000 vp huyo babu yenu??
Hivi Mangula alishawahi hata kuwa mbunge?
uwezo wa mangula kiuongozi,ukomavu wa kisiasa, uvumilivu, busara na maadili ni mkubwa kuliko slaa.
japo post si yangu naomba nikwambie tuache ushabiki wa kiroho huwezi kumlinganisha mangula na slaa kwanza mangula aliongoza CCM kama taasisi na wanachama wengi huwez kumlinganisha na slaa anaeongoza kampuni jadili kisomi mkuu
kumbe lengo lako ni vijembe na sio hoja.
Hivi Mangula alishawahi hata kuwa mbunge?
washabiki wengi wa ccm na viongozi wake sio watu wa siasa za mtandaoni kama walivyo wafuasi wa chadema.wale wa ccm wao hupenda kukaa kimya zaidi na kujitokeza siku ya kura hivyo kuiwezesha ccm kushinda kwelikweli.kwa hiyo usitegemee kwamba wapenzi wa mangula walio wengi watapiga kura hapa.Wadau kama tuwajuavyo majembe hayo mawili wote wamepata kuwa na hadhi ya ukatibu mkuu wa chama ingawaje mpaka sasa dr. slaa bado ni katibu lakini katika utendaji wao hawa watu kila mtu ana mafanikio yake hasa historia zao za kutukuka sasa je kati ya hawa unafikiri ni yupi ana mvuto na uwezo zaidi wa kiuongozi?? piga kura yako
Na hapo ndo umejadili kisomi kama mfano eeh
washabiki wengi wa ccm na viongozi wake sio watu wa siasa za mtandaoni kama walivyo wafuasi wa chadema.wale wa ccm wao hupenda kukaa kimya zaidi na kujitokeza siku ya kura hivyo kuiwezesha ccm kushinda kwelikweli.kwa hiyo usitegemee kwamba wapenzi wa mangula walio wengi watapiga kura hapa.
Wadau kama tuwajuavyo majembe hayo mawili wote wamepata kuwa na hadhi ya ukatibu mkuu wa chama ingawaje mpaka sasa dr. slaa bado ni katibu lakini katika utendaji wao hawa watu kila mtu ana mafanikio yake hasa historia zao za kutukuka sasa je kati ya hawa unafikiri ni yupi ana mvuto na uwezo zaidi wa kiuongozi?? piga kura yako
katibu mkuu wa chama na makam mwenyekiti wa chama ni nafasi kubwa kiutendaji na kiuongozi kuliko huo ubunge wako
Mnajidanya,slaa size yake ndani ya ccm ni Nape ndie wanaetoshana nguvu,kumlinganisha mzee mangula na slaa ni sawasawa na kujaribu kulinganisha kifo na usingizi!
lengo la mleta uzi ni kumchafua Dr, lakini ukweli anaujua, nenda kamuulize nape, au nenda Cnn