Philip Mangula vs Dr. Willibrod Slaa

Philip Mangula vs Dr. Willibrod Slaa

Nani mkali kati ya MANGULA na DR. SLAA?

  • MANGULA

    Votes: 7 5.3%
  • DR. SLAA

    Votes: 126 94.7%

  • Total voters
    133
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
pigeni kura kule acheni kulalama kama mbweha kabanwa na mtego polini,dr.ni zaidi
 
Slaa amejijenga juu ya makosa ya CCM¤mangula kajijenga juu ya itikad na ukulima wa kweli.
Mangula hajawah ama chama soma kitab cha slaa anasema hakujua if kupitia chadema angepata ubunge koz alibaatsha baada ya kutoka CCM
Mangula yupo juu sana ya slaa
Slaa alizdiwa na kinana mdahalo star TV
 
Tunataka mtu atakayetamka kutoka moyono kwamba anaichukia rushwa na tukimwangalia tukubali kweli anaichukia rushwa. Naye ni mmoja . Dr. Slaa wa ukweli.
 
Tunataka mtu atakayetamka kutoka moyono kwamba anaichukia rushwa na tukimwangalia tukubali kweli anaichukia rushwa. Naye ni mmoja . Dr. Slaa wa ukweli.
vipi lile eneo alilojimegea mabwepande na mzazi mwenzake kwa kumtumia yule diwani wa chadema amerudisha?
 
Huwezi ukafananisha Fisadi aliyesimamia wizi wa Pesa za EPA na Mchumia tumbo Mangula na Mzalendo wa kweli Dr. Slaa. Hivyo ondoa kabisa ndoto zako za mchana kweupe.

mkuu vp kashfa ya kumchotea hela mushumbusi? iwe kweli au si kweli popote alipotia mkono wake mzée huyu ilikuwa ni kwa maslahi ya chama
 
Wadau kama tuwajuavyo majembe hayo mawili wote wamepata kuwa na hadhi ya ukatibu mkuu wa chama ingawaje mpaka sasa dr. slaa bado ni katibu lakini katika utendaji wao hawa watu kila mtu ana mafanikio yake hasa historia zao za kutukuka sasa je kati ya hawa unafikiri ni yupi ana mvuto na uwezo zaidi wa kiuongozi?? piga kura yako

Mkuu, ni kama umeuliza kati ya tembo aliyenona vizuri na swala aliyenona vizuri ni nani kati ya hawa wanyama ana kilo nyingi? Asante na jibu lake linaonekana hata kabla ya kwenda mbali. Dr Slaa yuko mbali sana!
 
Mkuu, ni kama umeuliza kati ya tembo aliyenona vizuri na swala aliyenona vizuri ni nani kati ya hawa wanyama ana kilo nyingi? Asante na jibu lake linaonekana hata kabla ya kwenda mbali. Dr Slaa yuko mbali sana!

hzo ndoto zako mkuu
 
pigeni kura kule acheni kulalama kama mbweha kabanwa na mtego polini,dr.ni zaidi

siku mzée kinana na MANGULA walipoingia ulingoni CDM na babu yao walitikisika
 
Na wewe je si ni mpiga debe tu? Huna lolote!

tatzizo hatupendi kuambiwa ukweli nilimpenda sana slaa but now nimerui kundini mtu aliyejawa na uchafu atapataje baraka za kuiongoza TANZANIA?
 
huyu mzee walimtelekeza -- sasa chama kinayumba wamemuomba arudi, mzee ilifikia hatua hadi uwenyekiti wa mkoa wa ccm akafanyiwa fitna akakosa -- chezea ccm wewe!!

Sasa sijui fupa lililomshida makamba ataliweza? maana ccm ya sasa bila fitna hukai salama
 
Ni kweli mkuu maana hata wewe hizo ni ndoto zako. Wote tunaota au siyo?

babu yenu anawatengenezea bomu vijana mmejawa na matumaini hewa hizo ajira atazitoa wapi na kwa uchumi upi? mdororo wa uchumi ni wa kidunia nashangaa vijana mnashindwa kutambua nyie pigweni na mabomu mwenzenu anatanua na JOSE
 
Tunataka mtu atakayetamka kutoka moyono kwamba anaichukia rushwa na tukimwangalia tukubali kweli anaichukia rushwa. Naye ni mmoja . Dr. Slaa wa ukweli.

vp mradi wa karatu mkuu? KAVIWASU?
 
huyu mzee walimtelekeza -- sasa chama kinayumba wamemuomba arudi, mzee ilifikia hatua hadi uwenyekiti wa mkoa wa ccm akafanyiwa fitna akakosa -- chezea ccm wewe!!

Sasa sijui fupa lililomshida makamba ataliweza? maana ccm ya sasa bila fitna hukai salama

ccm hawaishiwi watu lile jembe litauguguna tu
 
japo post si yangu naomba nikwambie tuache ushabiki wa kiroho huwezi kumlinganisha mangula na slaa kwanza mangula aliongoza CCM kama taasisi na wanachama wengi huwez kumlinganisha na slaa anaeongoza kampuni jadili kisomi mkuu

Kwa hiyo wewe ndiyo umesajili kisomi? Kweli nyani haoni kundule.
 
Jamani naona mnafanya dharau sijuikwa sababu muda wote mkonktk pc, you dont think out of box, slaa sio wa kaulinganishanna na mangula, mangula kashika nafasi zote,akiwa ktb mkuu ndio epa ziliposhamiri alifanyanini? Chini ya slaa ndio serikali zimevunjwa kwa hoja zake mara ngapi akiwa nje ya system je kama angekuwa ndani ingekuwa kivumbi, acheni mizaha jamani, kuleta polls ambazo hazilingani kabisa
 
Watanzania kweli WABISHI! the opinion poll speaks itself, lakini bado MIJITU inabishana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom