PhD ya Dkt. Rais Magufuli iko sahihi, uthibitisho huu hapa

Hongera sana learned brother Deogratias Klisandu for a reasoned evaluation and analysis of a PhD. Wanaokupuuza na 0kukuita kichaa, wao ndo vichaa, coz hawajafanya uchambuzi wa aina yoyote humu JF. Wao ni kupinga kila kitu bila hoja. Hongera mseminari mwenzangu Deogratias. It is true beyound any shadow of doubt that JPM has a true and genuine PhD, which he was awarded at UDSM. It is not a honourally PhD, but class and by Thesis PhD. Wanaohoji PhD hiyo wao hata cerificate hawana. His PhD is clearly proved by his very professional leadership based on facts finding. Hongera sana JPM kwa kazi nzuri. Kila mtu huku vijijini anakusifia for a well done good job. God bless you all the time.
 
Kumlaumu tu aliyepewa hiyo phd halafu ukaacha aliyetoa hiyo phd ni sawa na kusema kwamba aliyepokea rushwa ndie ana makosa bali aliyetoa rushwa hana kosa/hatia
Waliomsaidia kupata hiyo Phd fake ndiyo hao anaowapa vyeo
 
Kisandu hao wanaokutukana usiwalaumu. Hicho ulichoandika aidha hawajakielewa kwasababu kiko juu ya uwezo wao wa kuelewa au umeeleza vizuri mno wamekosa cha kukosoa.

Ni kama vile Mwigulu alivyomjibu Technically vizuri mpaka Technically akakosa hoja akabaki na '...ukisoma between the lines...'!
 
Ndugu sawa umesikikaTeuzi hazijaisha naona umejivutia upepo ww tulia tu utateuliwa soon mana bwana yule yupo pia Jamvini uzuri
 
Hiyo PhD anayodaiwa kusomea ni ya matumizi mbadala ya juisi ya matunda ya mikorosho
Sijawahi kusikia utalaamu huu umemsaidia mtu yoyote
 
Hongera sana learned brother Deogratias Klisandu for a reasoned evaluation and analysis of a PhD. Wanaokupuuza na 0kukuita kichaa, wao ndo vichaa, coz hawajafanya uchambuzi wa aina yoyote humu JF. Wao ni kupinga kila kitu bila hoja. Hongera mseminari mwenzangu Deogratias. It is true beyound any shadow of doubt that JPM has a true and genuine PhD, which he was awarded at UDSM. It is not a honourally PhD, but class and by Thesis PhD. Wanaohoji PhD hiyo wao hata cerificate hawana. His PhD is clearly proved by his very professional leadership based on facts finding. Hongera sana JPM kwa kazi nzuri. Kila mtu huku vijijini anakusifia for a well done good job. God bless you all the time.
Hivi sio kosa lako kabisa mstari wa mwisho umekamilisha utafiti wangu
 
Tatizo mnaleta siasa kwenye taaluma hapo hamna kitu ila najua alianza na diploma mkwawa kaenda kwa equivalent UD then masters kuhusu PHD sijawahi soma andiko lake hii inaonyesha inawalakin hata kauli alizoongea kule bukoba jana sijui udokta wake labda tuumulize saa 8
 
Kisandu hao wanaokutukana usiwalaumu. Hicho ulichoandika aidha hawajakielewa kwasababu kiko juu ya uwezo wao wa kuelewa au umeeleza vizuri mno wamekosa cha kukosoa.

Ni kama vile Mwigulu alivyomjibu Technically vizuri mpaka Technically akakosa hoja akabaki na '...ukisoma between the lines...'!
Kaandika nini mkuu?
 
PhD ya Rais Dkt.Magufuli IKO SAHIHI.

Kuna aina 5 za PhD duniani zote ni za kitaaluma. PhD nayozungumza hapa ni ya ki Falsafa. Zifuatazo ni Sifa ambazo MTU huweza kutunukiwa PH D.

1. PhD ya Darasani: Unasoma degree ya kwanza(Bachelor), baadae unasoma degree ya pili(masters) baadae unasoma degree ya tatu katika mfumo WA utafiti(PhD). Basi unakuwa na sifa ya kuwa Daktari WA falsafa.

2. PhD ya Tukio: umesoma degree ya kwanza na ya pili, lakini ukaja kufanya jambo la kiutafiti bila kujua ambalo likasaidia jamii. Hapa vyuo hutunuku Masters na PhD kwa wakati mmoja au kama una masters unatunukiwa PhD moja kwa moja na chuo kinachoendana na jambo ulilofanya, mfano: kusuluhisha migogoro migumu na ukafanikiwa, kutoa mwongozo kwa jambo Fulani na likafanikiwa, umekuwa MTU mashuhuri kwa mambo ya kujenga jamii na jamii ikafuata na ikafanikiwa, n.k hapa unatunukiwa PhD bila pingamizi. Rejea PhD ya Dkt. Jakaya Kikwete na mgogoro WA Kenya 2007 baada ya kuwaweka sawa Wapinzani na Watawala.

3. PhD ya Utafiti: Umekuwa na degree moja au mbili na umekuwa ukifanya Dissertation mbalimbali ambazo zimekuwa zinasaidia jamii, hapa unatunukiwa PhD kwa kuzingatia juhudi binafsi za kujitolea.

4. PhD ya uandishi WA Vitabu: hapa unaweza usiwe hata na degree yoyote ile ukawa na cheti au diploma au degree(if possible), kutokana na MTU kuandika vitabu Mara kwa Mara vya kusaidia maswala mbalimbali ya kijamii na jamii ikanufaika na hivyo vitabu, basi mhusika kwa kuzingatia umhimu WA jambo hutunukiwa vyote kwa wakati mmoja yaani degree ya kwanza, ya pili na ya tatu PhD.

5. Tuzo ya Heshima: Hapa inategemea umefanya jambo gani katika jamii yako kitaifa au kimataifa ambalo jambo hill limeleta Neema kwa Taifa lako au Kimataifa. Hapa unaweza kutunukiwa tuzo ya Sir au PhD, unamkumbuka Sir George Kahama na tuzo ya mwingereza.

NB: Na sikila MTU hutunukiwa maana inategemeana na jambo lenyewe. Mimi Deogratius Kisandu, na washauri vijana wenzangu kabla huja hoji Elimu ya MTU, cha kwanza jifunze mfumo WA utoaji taaluma na Tuzo Duniani. Ndipo sasa uhoji. Kati ya hizo moja wapo Mheshimiwa wetu yupo.

Hongera Rais Dkt. John Magufuli kwa PhD ya Falsafa. Na kheri ya Mwaka Mpya.

deogratius Nalimi Kisandu
2 January 2017.
Kahama-Tanzania.

nimekimbilia nadhani full data kumbe unaleta siasa
 
Wenzake wameshindwa kumjibu Ben Saanane, na yeye anakuja na hoja nyepesi, au ndio maana mmefuta kule Facebook.

Kwa mujibu wa Ben Jamaa alisoma part time na sio full time, sasa swali linakuja iweje amalize kabla ya muda.
 
Utakuta uzi huu wanasema Phd na rais sio halali jukwaa la elimu wanajitapa oohhh UDSM ni chuo kikubwa hakipitishi mtu mzembe mzembe duu kuwa mpinzani Tanzania azima upate msokoto mmoja.
 
Onesha correlation ya hizo nadharia za aina ya phd na phd aliyonayo huyo uliyemtaja.Umeandika gazeti la kufundishia ambalo halina empirical evidence to the subject under discussion.

Yaleyale !
 
PhD ya Rais Dkt.Magufuli IKO SAHIHI.

Kuna aina 5 za PhD duniani zote ni za kitaaluma. PhD nayozungumza hapa ni ya ki Falsafa. Zifuatazo ni Sifa ambazo MTU huweza kutunukiwa PH D.

1. PhD ya Darasani: Unasoma degree ya kwanza(Bachelor), baadae unasoma degree ya pili(masters) baadae unasoma degree ya tatu katika mfumo WA utafiti(PhD). Basi unakuwa na sifa ya kuwa Daktari WA falsafa.

2. PhD ya Tukio: umesoma degree ya kwanza na ya pili, lakini ukaja kufanya jambo la kiutafiti bila kujua ambalo likasaidia jamii. Hapa vyuo hutunuku Masters na PhD kwa wakati mmoja au kama una masters unatunukiwa PhD moja kwa moja na chuo kinachoendana na jambo ulilofanya, mfano: kusuluhisha migogoro migumu na ukafanikiwa, kutoa mwongozo kwa jambo Fulani na likafanikiwa, umekuwa MTU mashuhuri kwa mambo ya kujenga jamii na jamii ikafuata na ikafanikiwa, n.k hapa unatunukiwa PhD bila pingamizi. Rejea PhD ya Dkt. Jakaya Kikwete na mgogoro WA Kenya 2007 baada ya kuwaweka sawa Wapinzani na Watawala.

3. PhD ya Utafiti: Umekuwa na degree moja au mbili na umekuwa ukifanya Dissertation mbalimbali ambazo zimekuwa zinasaidia jamii, hapa unatunukiwa PhD kwa kuzingatia juhudi binafsi za kujitolea.

4. PhD ya uandishi WA Vitabu: hapa unaweza usiwe hata na degree yoyote ile ukawa na cheti au diploma au degree(if possible), kutokana na MTU kuandika vitabu Mara kwa Mara vya kusaidia maswala mbalimbali ya kijamii na jamii ikanufaika na hivyo vitabu, basi mhusika kwa kuzingatia umhimu WA jambo hutunukiwa vyote kwa wakati mmoja yaani degree ya kwanza, ya pili na ya tatu PhD.

5. Tuzo ya Heshima: Hapa inategemea umefanya jambo gani katika jamii yako kitaifa au kimataifa ambalo jambo hill limeleta Neema kwa Taifa lako au Kimataifa. Hapa unaweza kutunukiwa tuzo ya Sir au PhD, unamkumbuka Sir George Kahama na tuzo ya mwingereza.

NB: Na sikila MTU hutunukiwa maana inategemeana na jambo lenyewe. Mimi Deogratius Kisandu, na washauri vijana wenzangu kabla huja hoji Elimu ya MTU, cha kwanza jifunze mfumo WA utoaji taaluma na Tuzo Duniani. Ndipo sasa uhoji. Kati ya hizo moja wapo Mheshimiwa wetu yupo.

Hongera Rais Dkt. John Magufuli kwa PhD ya Falsafa. Na kheri ya Mwaka Mpya.

deogratius Nalimi Kisandu
2 January 2017.
Kahama-Tanzania.

Kaka sasa Kama vyama vinakukana.fungua kanisa lako au msikiti wako.wakija uwakane na wao. HAHAHAHAH NIMEKUTA MAHALI WADAU WAMEKUSHAURI HIVO
 
Deo kama unataka uteuzi kwa kutumia ujanja huo nikwambie tuu umebugi step.
Huwezi kudhani utafikiriwa kwa kuanzisha kitu ambacho matokeo yake ni aibu zaidi kwa mtu mzima na wakati hilo walishaanza kulisahau.
Hapa unatafuta tuzo ya hasira tuu, shauri yako. Ndio hasara ya kujipendekeza kwani wakati mwingine wadhani wafanya vema kumbe unaharibu.
 
Back
Top Bottom