Peter Kupaza, Mtanzania aliemuua dada yake nchini Marekani

Pale Kijijini usambaani Vuga, Lushoto, Tanga! Hapo imeandikwa kuwa Kupaza alikua anauwezo wa kuchinja Kuku, ila kwa kule kijijini Vuga Lushoto Tanga, iliaminika kuwa Kupaza hakuwahi kuchinja hata kuku.

Na hii story pia kulikua na pahala kwamba Baada ya kumchukua muivano kutoka Vuga Lushoto na kwenda nae huko, wali-divorce na huyo demu wa kizungu na huyu mzungu aliamini kuwa Kupaza alikua na mahusiano na ndugu yake, kwahio ilikua kama revenge.

Kwahio kuna sintofahamu nyingi na ndio maana Kupaza alikuja kukata rufaa.

Lakini ndio hivyo
Nataka kuamini hili ila je damu iliyokutwa chooni? Na kwanini jamaa adanganye kuhusu dada kurudi nyumbani? Hapa tuseme ishu ni visa.

Kwanini alimdanganya mwanamke mwingine?



Kuna maswali mengi yanayokosa majibu.
 
Hamna kesi hapo huyo mama aliyempeleka jamaa iko siku atakiri aliyofanya.
Jamaa kabebwa kama gunia kupelekwa huko kwa mapenzi kafika kajiona kidume, unajua tena hawa watoto wa kitanga
Kapiga fix Kupaza huyu binamu yangu tumtaftie viza.
Mwanamke kwa mapenzi kakubali.
Mwivano(Iringa hiyo) anakuja .
Jamaa akawa anapiga show kotekote mama analipia kila kitu.
Na watu wako humo humo ndani.
Huyo maza ndiyo mfanyakazi na financer.
Mwivano kaletwa kama housegirl kafikia hatua kuendelezwa mpaka chuo kwa hela ya huyo maza.
Mara Mimba paap,jamaa kamuhamisha mwivano kutema soo.
Huku anaendelea kula mzigo huyo mama anawasoma tu.
Wakatoa mimba mama anawasoma tu.
Sasa conclusion,huyo mama anajua kila kitu na sheria anazijua vizuri tu na michezo yote ya kimafia anaijua.
Huyu kula kulala maneno mengi usidanganye watu wenye shule zao.
Huyo maza mnamuita mzungu labda hata ni mmexico ndio kingpin kamuingiza chaka mshkaji kijinga tu.
Sahizi anakula mvua za kutosha na demu wake kauliwa kinyama na huyo maza utakuta kalamba ngoma dume mpya toka hukohuko kwao na kupaza.
Dada kapotea miezi kadhaa haujafanya jitihada zozote za kumtafuta.

Peter amehusika kwenye hili.
 
Kwenye hii case mhusika ni huyo mtalaka wa kizungu...ila Kupaza kajichanganya katika kutoa taarifa za uongo
 
Pale Kijijini usambaani Vuga, Lushoto, Tanga! Hapo imeandikwa kuwa Kupaza alikua anauwezo wa kuchinja Kuku, ila kwa kule kijijini Vuga Lushoto Tanga, iliaminika kuwa Kupaza hakuwahi kuchinja hata kuku.

Na hii story pia kulikua na pahala kwamba Baada ya kumchukua muivano kutoka Vuga Lushoto na kwenda nae huko, wali-divorce na huyo demu wa kizungu na huyu mzungu aliamini kuwa Kupaza alikua na mahusiano na ndugu yake, kwahio ilikua kama revenge.

Kwahio kuna sintofahamu nyingi na ndio maana Kupaza alikuja kukata rufaa.

Lakini ndio hivyo
Shida jamaa hakuwa "MKWELI"
kupaza alidanganya,.
Hyo ilishamfunga mapema
 
Mazishi ya Mwivano

IMG_20211104_091341_249.jpg
 
Shida jamaa hakuwa "MKWELI"
kupaza alidanganya,.
Hyo ilishamfunga mapema

Ila kiukweli kabisa wabongo wengi wanaoishi mtoni ni waongo waongo balaa..! Nadhani ni kwavile wengi wanaishi kule kimagumashi kwahiyo mda wote hua wanakua na wenge na wanadhani kila kitu unaweza kutumia saundi za kiswahiliswahili ukachomoka.

Huyu jamaa inawezekana wala hakuua, kilichomfunga ni uswahiliswahili mwingi, uongo uongo na saundi mingi alidhani yupo kwao Tanga.
 
Jamani kwa ushahidi tu wa kimazingira , huyu ndugu yetu Peter alihusika na hata kama hakuusika vitendo vyake vya nyuma vya kutembea na mdogo wake na kumjaza mimba na kwenda kuitoa. Pia maelezo aliyoyatoa mtuhumiwa na mazingira husika ya tukio jamaa asingewwza kuchomoka
Ushahidi pekee ambao uko solid ni wa Peter kutoa taarifa za uongo zinazoonyesha kwamba ndg yake amesharudi TZ na kuthibitisha kwamba ameongea na hata wazazi wake! Otherwise ushahidi mwingine hasa ule unaotolewa na Mtalaka mwenzake unaonekana ni wa kulipa kisasi zaidi kutokana na mahusiano yasiyo na Afya kati ya Peter na binamu yake na kupelekea ndoa yao kuvunjika so, ukiisoma kwa makini kesi hii Kuna uwezekano pia ikawa plot ya revenge kutoka kwa Mtalaka mwenzake
 
Mambo mengi kwenye hii movie yanafikirisha sana, ni vile mara nyingi kesi za black to white people huwa zinakuwa na nguvu dhidi ya upande wao.

Na yawezekana hata yule mama aliyekuwa picnic naye ni wa kuchonga tu, maana hao mabeberu siyo watu hata kidogo kwa mtu mweusi.
Ebu tuangalie kwa jicho lingine.
Ukute kweli kwamba ilikuwa ni kisasi cha mtalaka wake.
Huyo mzungu aliekuwa aki randaranda... wakili alie mwakilisha jamaa wote walipangwa.

Ukizingatia kwamba bint alieuwawa alishafikiri kurudi TZ, haishindikani kwamba mtaliki wa kaka yake(huyo mzungu ) alitumia shida yake hiyo kumvuta karibu na kutekeleza hayo mauaji.

Wakati mwingine elimu duni na ulimbukeni ndio uliopelekea hata jamaa kutoa maelezo yasiyo sahihi.

Kwa ujumla wote hatujui, ukweli umebaki kati ya Peter, mtaliki wake na marehemu .

RIP binamu yake Peter!
 
Yes kitambo sana when jf was jf

Wakati huo jamiiforums ilikuwa inaitwa jamboforums, hii kitu kweli ya zamani
 
Ila kiukweli kabisa wabongo wengi wanaoishi mtoni ni waongo waongo balaa..! Nadhani ni kwavile wengi wanaishi kule kimagumashi kwahiyo mda wote hua wanakua na wenge na wanadhani kila kitu unaweza kutumia saundi za kiswahiliswahili ukachomoka.

Huyu jamaa inawezekana wala hakuua, kilichomfunga ni uswahiliswahili mwingi, uongo uongo na saundi mingi alidhani yupo kwao Tanga.
Acha hizo wewe, huko bongo watu ndio waongo waongo hadi ma vyeti feki ya kumwaga. Nafikiri bongo inaongoza afrika mashariki kwa waongo na wapumbavu wengi.
 
Hata kwa nilivosoma hapo, mbona sababu ya jamaa kufanya hivyo haijaanishwa!!

Na hapo mwisho ni jopo limekaa likhalalisha kua mwamba ndo ana hatia(ushahidi wa kimazingira) ila ni kama bado una mashaka ndani yake, sio wa moja kwa moja.

Mtalaka wa jamaa atakua na mkono katika hilo
 
Back
Top Bottom