Brown Kwacha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 299
- 405
Nataka kuamini hili ila je damu iliyokutwa chooni? Na kwanini jamaa adanganye kuhusu dada kurudi nyumbani? Hapa tuseme ishu ni visa.Pale Kijijini usambaani Vuga, Lushoto, Tanga! Hapo imeandikwa kuwa Kupaza alikua anauwezo wa kuchinja Kuku, ila kwa kule kijijini Vuga Lushoto Tanga, iliaminika kuwa Kupaza hakuwahi kuchinja hata kuku.
Na hii story pia kulikua na pahala kwamba Baada ya kumchukua muivano kutoka Vuga Lushoto na kwenda nae huko, wali-divorce na huyo demu wa kizungu na huyu mzungu aliamini kuwa Kupaza alikua na mahusiano na ndugu yake, kwahio ilikua kama revenge.
Kwahio kuna sintofahamu nyingi na ndio maana Kupaza alikuja kukata rufaa.
Lakini ndio hivyo
Kwanini alimdanganya mwanamke mwingine?
Kuna maswali mengi yanayokosa majibu.