BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,020
Yaani details za alioufanyia huo mwili zinatisha kuzisoma. Kumchuna binadamu mwenzio baada ya kumuua ngozi ya kichwa!? 😩😩😩😩 ilibidii ahukumiwe kunyongwa hadi AFE.
Yaan huo ukatili wa hali ya juu...
Such an interesting story japo inahuzumisha