MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
...bado natanzika na swali hili...
..........Mbu wengine wanaivaa kwa ajili ya jamii inayowazunguka tu na wala si kiapo wala nini! Ajulikane naye ameoa/olewa hata kama ni ndoa 'hewa'. Ila kuna wengine wanavaa kama PROTECTION eti wasitongozwe ovyo! Mfano mtu ambaye ameoa/olewa lakini ndoa ikaepa....LOL
Haya nilikuwepo:A S 103: