Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #81
kamanda, ni taasisi nzima imeporomoka maadili yake bro.
Sidhani kama kuna manusura tena baada ya haya yanayotokea.
Chombo kishakata nanga, kinafuata upepo tu. Liwalo na liwe,
Kwenye nchi za kimagharibi mambo ndio yeshaharibika kabisaa,...afadhalia ya
Africa na barani Asia kidogo (baadhi ya nchi)
Kwenye sector ya Recreation, hospitality and tourism vituko vinavyoonekana
humo unaweza lia machozi. Lakini bila kwenda mbali, na washkaji ambao ni Taxi Drivers
hapo mjini Dar,...aisee story zao kuhusiana na janga hili, ...unaweza angua machozi.
Unaukumbuka ule wimbo ♫ "wote ni abiria wangu ee, mimi ni taxi Driver!" ♫...
nimekumbuka kibwagizo hiko pekee, sikumbuki bendi gani miaka ile ya 80s...
Sidhani kama kuna manusura tena baada ya haya yanayotokea.
Chombo kishakata nanga, kinafuata upepo tu. Liwalo na liwe,
Kwenye nchi za kimagharibi mambo ndio yeshaharibika kabisaa,...afadhalia ya
Africa na barani Asia kidogo (baadhi ya nchi)
we acha tu, i dont know why lakini kuna ka upepo kamepita imefikia kila kitu tunafanya kama fasheni... siku hizi hata kuwa na mpango wa kando ni sunna, inauma sana uchungu lakini kwa wengi tunaoishi Dar tunayaona, sijui mikoani au nje hali ikoje lakini kwa dar ni balaa
Kuna siku (kama alivyotoa mfano chauro) nilikuta dada ana peke kama nusu kilo hivi ya ndoa na nyingine ya engagement... lakini alivyokua amekaa chobingo na jinsi alivyokua amekula chicha na mambo aliyokua anayafanya huwezi kuamini
I think there is a need for a social campaign kuhamasisha jamii kuamka na hali iliyopo..............
Kwenye sector ya Recreation, hospitality and tourism vituko vinavyoonekana
humo unaweza lia machozi. Lakini bila kwenda mbali, na washkaji ambao ni Taxi Drivers
hapo mjini Dar,...aisee story zao kuhusiana na janga hili, ...unaweza angua machozi.
Unaukumbuka ule wimbo ♫ "wote ni abiria wangu ee, mimi ni taxi Driver!" ♫...
nimekumbuka kibwagizo hiko pekee, sikumbuki bendi gani miaka ile ya 80s...