Pete katika ndoa

...Lohhh, Mwj1 samahani nimechelewa kukujibu...nilikuwa kibaruani nikichangia pato la taifa.
Well, hisia zangu kwa pete ile niloamua kuivua haikuwa zaidi ya kujifeel betrayed!...

Yaani kila nikiivaa, maneno yananirudia yale ya "...ni ishara ya uaminifu wangu kwako!"...wakati hapakuwa na
uaminifu huo...nikajiamulia hii pete inanizibia mzunguko wa damu tu kidoleni.

Kama wenzangu na mie wameamua kufa na tai shingoni japo pete zinawabana haya...'hiari yashinda utumwa!

hayo maneno yanachoma kumoyo kwa kweli nimebaki narudia kusoma na kutafsiri.

ila Mbu embu jitahidi kusamehe na kusahau, ili na wewe usamehewe na baba wa ulimwengu wote
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nimekuwa nje ya jamvi kwa muda mrefu lakini sikuwa nimekaa bure kuna baadhi ya mambo nilikuwa nikijaribu kuutafuta uhusiano wake na hali halisi kimaisha likiwemo hili la PETE WANAZOVISHANA WANANDOA WANAPOOANA nikijiuliza pete ina maana gani? Na kubwa zaidi ni nini asili ya utamaduni wa wanandoa kuvishana pete?. Jamani tusaidiane kwa wale wenye uelewa kuhusu haya..!
 
hawajambo huko nje ya jamvi na kuhusu pete ngoja wapite machinga wauza urembo niwaulize..
 
Kwani huna access na internet???? Si uende google tu, mpaka watu wakujibu hapa saa ngapi, nenda google tafuta information fanya analysis halafu lete hapa tujadili, huwezi kosa maana utamaduni huu umeanzia hukohuko iliko google
 

...LOL...miaka mitatu imepita tangu umetoa jibu la kwanza. Mwenzio hata sikumbuki
nimeziweka wapi zangu,...[uligusia mwanaume ni kiashiria cha utunzaji wa familia]
Haya, natafakur majibu ya RR Hapa chini;




lahh,...RR, hivi uaminifu 'wanaouzungumzia' ni upi bana.
Mimi najionea viroja tu haya mambo ya pete.
Hata mtu avae pete yenye vimulimuli, naona pete
imeshapoteza maana...

Pete haina uhusiano wowote na ndoa kati ya watu wawili. Ni utamaduni uliochukuliwa zamani sana tangu nyakati za dola ya Kirumi, ambapo pete ilikuwa ikivaliwa na mkuu wa dola kuashiria ukuu na utukufu wake.
Baadaye ndipo ilipochukuliwa na kanisa la Roma na kuhusishwa na ibada ya kufunga ndoa kama ishara ya upendo na uaminifu kati ya watu wawili wanaooana. Kabla ya hapo pete haikuwa inavaliwa kwa wanandoa, kwani waliamini katika Mungu kwamba ndiye anaeiunganisha ndoa na kuiweka nadhiri ya upendo na uaminifu ndani ya moyo wa mtu na si katika vitu vinavyoonekana kama pete.

Vaeni hizo pete, lakini kama upendo na uaminiifu haumo ndani ya mioyo yenu wanandoa, hiyo ni kazi bure!
 
Ahsante@NKAMI Lakini hizi pete zimekuw zikihushwa pia na mambo ya majini na ushetan kwa kiwango kikubwa, je nikisema moja kwa moja kuwa hili linaashiria kuwa pete utumwa/ufungwa/ ni sawa?
 
Kumbe wewe mjanja, ila umekutana na mie mjanjuzi.
Ulikuwa unantega niingie google ni-search for you?
Tehe tehe tehe, majibu wayajua.

Ahsante@NKAMI Lakini hizi pete zimekuw zikihushwa pia na mambo ya majini na ushetan kwa kiwango kikubwa, je nikisema moja kwa moja kuwa hili linaashiria kuwa pete utumwa/ufungwa/ ni sawa?
 
inategemeana, wengine kama pale kwa kakobe, kuvaa pete ni kosa, hawaruhusiwi. sasa, sijui kama ndoa lazima kuwe na pete au la, inategemeana.
 
Ahsante@NKAMI Lakini hizi pete zimekuw zikihushwa pia na mambo ya majini na ushetan kwa kiwango kikubwa, je nikisema moja kwa moja kuwa hili linaashiria kuwa pete utumwa/ufungwa/ ni sawa?

Pete pia zina uhusiano na mambo ya nyota (Shehe Yahaya) na majini. Kuna wanaotumia pete kwa ajili ya ulinzi, bahati, nk. Na pia zile za ndoa, zingine zinakuwa na mambo ya majini na kung'arisha au kusafisha nyota za wanandoa.
 
Back
Top Bottom