Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,033
Mchezaji bora wa mechi huko South Africa akiwa na hundi ya Rand 100,000/=. Ni sawa no hela ngapi ya madafu?
Bongo inakuaga tsh ngapi?13.5 milion (TZ SHILINGS)
😂😂 Mtani ndo unajizima data ama?Bongo inakuaga tsh ngapi?
Laki tano...Bongo inakuaga tsh ngapi?
Mkuu malizia na senti themanini na tatu sio nukta!Kwa rate za leo Jumamosi ni 13,558,282.83 (Milioni 13 laki tano na hamsini na nane na mia mbili themanini na mbili na nukta themanini na tatu)
Kiswahili cha kujifunza ni shidaMkuu malizia na senti themanini na tatu sio nukta!
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Na hata kama ingekua inasomwa nuta, basi ingekua nane tatu sio themanini na tatu.Mkuu malizia na senti themanini na tatu sio nukta!
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Sema ,nukta nane tatu.Kwa rate za leo Jumamosi ni 13,558,282.83 (Milioni 13 laki tano na hamsini na nane na mia mbili themanini na mbili na nukta themanini na tatu)
.Mchezaji bora wa mechi huko South Africa akiwa na hundi ya Rand 100,000/=. Ni sawa no hela ngapi ya madafu?
View attachment 2884428
Wana wachezaji wengi wa kigenilakini kwanini standard ya mpira wa vilabu kimataifa bado tunalingana? wapi wanakwama ahwa wa South?
Wana wachezaji wengi wa kigeni
mtani wallah sijui mie.Mtani ndo unajizima data ama?
Yaan MVP anapata 500k? TFF wanazingua.Laki tano...