Kwa mujibu wa taratibu za Utumishi wa Umma nchini Tanzania, watumishi wapya wanaoripoti vituo vya kazi wanastahili kulipwa fedha za kujikimu (imprest). Malipo haya yanapaswa kufanyika kwa wakati ili kuwapunguzia mzigo wa gharama za mwanzo kama vile malazi na usafiri wakati wakisubiri mshahara wao wa kwanza kutoka.
Utaratibu na Haki za Watumishi wa Ajira Mpya
Malipo ya Kujikimu: Kila mwajiri (Mkurugenzi wa Halmashauri/Taasisi) anapaswa kulipa fedha hizi ndani ya muda mfupi mara baada ya mtumishi kuripoti.
Kuchelewa kwa Malipo: Iwapo kutakuwa na changamoto za kiutawala zinazochelewesha kujikimu kwako, unashauriwa kufuata hatua hizi:
Wasiliana na Idara ya Rasilimali Watu: Fika katika ofisi ya utawala wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba na uulize kuhusu mchakato wa malipo yako.
Barua ya Madai: Andika barua ya madai ya kujikimu kupitia kwa mkuu wako wa kituo cha kazi au mkuu wa idara.
Wizara ya Utumishi: Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma inashughulikia maslahi na haki za watumishi wote. Unaweza kutembelea tovuti rasmi ya Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora kupata miongozo zaidi.
Jukwaa la Ajira: Watumishi wengi nchini hukutana na changamoto kama hizo na hupata ufumbuzi kupitia majadiliano kwenye mifumo rasmi na hata hapa JamiiForums.
Ikiwa umetuma maombi ya kazi kupitia mfumo wa ajira wa serikali na unahitaji kusoma matangazo rasmi yaliyotolewa na Halmashauri husika ili kujua hatua zinazofuata, unaweza kupata mwongozo kupitia Ajira Portal.
Halmashauri ya wilaya ya Nzega -Tabora haijatulipa fedha za kujikimu walimu wa ajira mpya 2026 badala yake imewalipa watumishi wa afya pekee, hii sio haki kwa watumishi wengine Kwani wote tuna haki ya kulipwa fedha hizo, mkurugenzi amekaa kimya na hakuna majibu ya kueleweka kuhusu jambo hili.
Mnamo tarehe 4 Juni 2026, Katibu Mkuu wa TAMISEMI alitoa barua iliyoonesha kiasi cha fedha zilizotolewa kwa ajili ya malipo ya posho za kujikimu na nauli kwa watumishi wapya wa afya walioajiriwa kati ya Januari 2025 na Aprili 2026.
Katika barua hiyo, Wakurugenzi wa Halmashauri walitakiwa...
Tuliitwa Dodoma kuhudhuria semina elekezi, tukasafiri kwa gharama zetu na tukakaa Dodoma siku tatu kwa gharama zetu na hatukulipwa gharama hizo kama inavyotakiwa kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma.
Tulipewa barua za kuelekea kwenye vituo vya Kazi, nilihamisha familia kutoka Karagwe kwenda...
Mimi ni moja ya watumishi wapya (Kada ya Elimu) Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu. Tangu January 2026 hatujapewa pesa ya kujikimu mpaka muda huu.
Hata ajira za mwaka jana (2025), February hawajamaliziwa pesa zao, wamepewa kwa mafungu mafungu na bado wanadai.
Soma Pia: Ajira mpya Halmashauri ya...
Ajira mpya wilaya ya chemba afya tuna mwaka sasa hatujapewa pesa ya kujikimu na hali ya maisha inazidi kuwa ngumu
Anonymous
Thread
afya
ajira
ajira mpya
fedha
fedha za kujikimu
hali
hali ya maisha
hatujapewa pesayakujikimu
januari
kujikimu
maisha
mishahara
mpya
mwaka
ngumu
pesapesayakujikimu
shida
tuna
wilaya
wilaya ya chemba
Sisi Waalimu wa Halmashauri ya Mkinga -Tanga, Tumekua Tukiahidiwa Pesa ya Kujikimu kuwa tutapewa lakini mpka Sasa pesa hiyo imekua ni danadana, Halmashauri wamekua na maneno Matamu ya KESHO , KESHO na ukizingatia Tunafanya kazi katika mazingira magumu Sana, Awali tuliambiwa Tusaini fomu , fomu...
Kile kilio cha walimu ajira mpya kutokulipwa pesa zao za kujikimu kimeifikia wilaya ya kishapu.
Awali uongozi wa halmashauri ulisema haujalipa kwa sababu pesa haijafika kutoka hazina, ila baada ya tamko la waziri kuwa pesa yote imeshazifikia halmashauri, kishapu iliwalipa walimu wa msingi pekee...
Hapa hapa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala (MRRH), Watumishi wa Ajira Mpya hatujalipwa pesa za kujikimu, kila siku tunazungushwa.
Tusaidie sauti hii iwafikie wanaohusika.
Anonymous
Thread
ajira mpya
dar
hospitali
hospitali ya rufaa
kujikimu
mwananyamala
pesayakujikimu
Hapa chuoni Sua Kuna wanafunzi hasa wa first year wanateseka sanaa mpaka sasa hawapata pesa ya kujikimu huku loan officer akiwaambia wawe watulivu watapata pesa.
Anonymous
Thread
chuoni
kujikimu
loan
mpaka
pesapesayakujikimu
sanaa
sua
wanafunzi
year
Mimi ni mtumishi wa ajira mpya kutoka Halmashauri ya Chalinze.
Yaani toka mwezi wa pili hatujapewa pesa za kujikimu na ilihali halmashauri nyingine za mkoa wa Pwani wameshalipwa.
Kila tukiuliza tunaambiwa tutalipwa tu, wanasema kama sio December 2025, basi April au June 2026.
Anonymous
Thread
chalinze
halmashauri
halmashauri ya chalinze
hatujapewa pesayakujikimu
hela
hii
kero
kitu
kujikimu
labda
mara
pesapesayakujikimupesa za kujikimu
sio
tena
watumishi
wilaya
Tunaomba muongee na viongozi wa halmashauri ya Chato, ajira mpya walimu toka tumeripoti kazini hatuelewi nini kinaendelea, tunaishi maisha ya shida hawajatupa hela za kujikimu in short tupo tupo tu, tafadhali tunaomba muwasiliane nao.
UFAFANUZI KUHUSU MALIPO YA FEDHA ZA KUJIKIMU KWA ROBO YA NNE
Ijumaa, Mei 17, 2024
Tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu na umma kuwa tunakamilisha malipo ya fedha za kujikimu (Chakula na Malazi) kwa robo ya nne (Quarter IV) na wanafunzi watarajie kupokea fedha...
Sioni mantiki ya kuwapa wanachuo elfu 10 ya kujikimu.
Tuongee tu uhalisia ,hiyo elfu 10 ni pesa ya mume ,mke na watoto ,sasa huyo mwanafunzi mnayempa elfu 10 kwa siku ya matumizi anakula au anatumia nini haswa ambacho ni tofauti na mtanzania mwengine wa maisha ya wastani?
Wanafunzi wakumbuke...
Biashara ya kupiga picha inafaa sana kwa mtu yeyote anayepitia changamoto ya kukosa pesa ya kujikimu iwe mtaani au chuoni.
Kama unamiliki simu inayoanzia laki tatu na kuendelea ila hauna ajira, ni kheri kuuza simu na kununua DIGITAL CAMERA ya kisasa ambayo utapiga picha za aina zote kwa gharama...
Habari wakuu,
moja kwa moja niende kwenye topic chuo kikuu Cha udsm kimekua na utaratibu wa kuzuia wanafunzi kusign pesa za kujikimu mpaka pale mtu awe anemaliza kulipa ada pamoja na direct cost.
Huu mfumo haujakamilika kwasababu Kuna wanafunzi wa Hali ya chini wanategemea kulipa ada kwa pesa...
WAKUU,
WASALAAM
serikali yetu kwa sasa inavuna pesa nyingi,
mfano Tozo kwenye miamala ya fedhaa tuchukulie makato ya 800 zaman saiz ni 1350: serikali inachukua kama 500+ hivi........
Tanzania ina watu wanaokadiriwa kwa wastani 21000000+wanaofanya miamala kwa siku
(500×21000000=10500000000) kwa...
Imepita mwezi tangu tulipoti katika vituo vipya vya kazi lkn mpaka sasa si hela ya kujikimu wala mshahara ulioingia.
Kama mmeshindwa basi tupeni hata hela ya kujikimu. Maaanake unakaaa kijiji X kituo cha kazi kituo Y.
Serikali tuoneeeni huruma
Habari za mda huu wakubwa,
Nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusu huu utamaduni mpya ulioanzishwa mwaka jana na serikali ya hayati magufuli ya kukata pesa ya mwisho ya kujikimu kwa kisingizio cha Corona sasa napenda kufahamu je safari hii nini kimepeleakea hilo?
Je, Rais samia ameamua kuiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.