Mi napaka perfume moja tu kwa siku yaani nina zaidi 30 different types of colognes so kila siku yakeZote hizi unapaka wakati mmoja...si utaanza kunuka badala ya kunukia[emoji15]
Real???? Umesema kila perfume yako ni laki 2 na kama una perfume 30 means 6millions umewekeza kwa perfume. Then unamshangaa jamaa anayeshangaa perfume ya 65k kuliko kujishangaa ww wa 6m kwa perfume[emoji15]Mi napaka perfume moja tu kwa siku yaani nina zaidi 30 different types of colognes so kila siku yake
Hatufanani jaman uwezo tofauti ata hzo rasasi unanukia fresh tuKwa perfume nzuri za designers wa kueleweka bei zake ni juu kuliko hiyo mkuu.... Hiyo perfume bei chee labda kama umezoea rasasi na body sprays
Mkuu mimi nimemshangaa kwakua anaishangaa hiyo elf 65, yaani nimemshangaa anavyosema ni kubwa... Tena hyo laki mbili ni bei ya chini coz nina spice bomb ya viktor & Rolf niliinunua laki 4.... Nina Acca Kappa ya Muschio Bianco niliinunua indian rupee 13,000/=Real???? Umesema kila perfume yako ni laki 2 na kama una perfume 30 means 6millions umewekeza kwa perfume. Then unamshangaa jamaa anayeshangaa perfume ya 65k kuliko kujishangaa ww wa 6m kwa perfume[emoji15]
Nikipaka rasasi huwa najihisi kunuka tumbakuHatufanani jaman uwezo tofauti ata hzo rasasi unanukia fresh tu
Hata na yy bado anaendelea kukushangaa ww ulivyoweka 10millions kwa perfume ktk nchi ambayo watoto wanakaa chini kwa kukosa madawati.Mkuu mimi nimemshangaa kwakua anaishangaa hiyo elf 65, yaani nimemshangaa anavyosema ni kubwa... Tena hyo laki mbili ni bei ya chini coz nina spice bomb ya viktor & Rolf niliinunua laki 4.... Nina Acca Kappa ya Muschio Bianco niliinunua indian rupee 13,000/=
Mmmmmh haya bossNikipaka rasasi huwa najihisi kunuka tumbaku
Huyu atakua sio wa TzHata na yy bado anaendelea kukushangaa ww ulivyoweka 10millions kwa perfume ktk nchi ambayo watoto wanakaa chini kwa kukosa madawati.
Kwani watoto wakikaa chini kwa kukosa dawati nimesababisha mimi? Mbn shule zenye madawati zipo nyingi tuuu?Hata na yy bado anaendelea kukushangaa ww ulivyoweka 10millions kwa perfume ktk nchi ambayo watoto wanakaa chini kwa kukosa madawati.
Karibu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mmmmmh haya boss
Kweli perfume zikiwa nyingi sana zinashambulia ubongo.....yaan ndo umejenga hoja kabisa kwa kusema mbona ziko shule nyingi zina madawat[emoji15]Kwani watoto wakikaa chini kwa kukosa dawati nimesababisha mimi? Mbn shule zenye madawati zipo nyingi tuuu?
Unashangaa hela hiyo wakati watu wananunua perfume moja kwa hela hyo....
Kwani uongo? Feza boys... Marian etc hazina madawati?Kweli perfume zikiwa nyingi sana zinashambulia ubongo.....yaan ndo umejenga hoja kabisa kwa kusema mbona ziko shule nyingi zina madawat[emoji15]
Perfume za oriflame ni nzuri kwa kweliNilitaka kusema hivyo hivyo ila nikaogopa kuambiwa show off. 65,000 kwa perfume ni bei ya chini.
Nitajaribu hizi Oriflame nione zikoje,kuna vitu bei chini ila vizuri pia.
Kuna moja yakiume inaitwa signature zoom ya blue hivi ndo hio niniUkaona ujibalance tu,ila kwa mshangao aliokujanao huyo jamaa kuonyesha 65,000 ni bei kubwa,ulipaswa kusema tu maana inaonyesha jamaa ama ni mgeni kwenye kwenye haya mambo au yupo gizani sana,na inaonyesha hata hana ukaribu na watu wanaojua mambo ya perfume.
Niliona samples za oriflame nikaipenda moja ilikuwa ya blue ila nimeisahau jina,lakini sikuipata kwenye ujazo mkubwa,ukiipata kali tujuzane mkuu.
Jamani khaaaa rasasi nayo ni manukato [emoji41] [emoji41]Nikipaka rasasi huwa najihisi kunuka tumbaku
Nasikia oriflame sio long lastingJamani khaaaa rasasi nayo ni manukato [emoji41] [emoji41]
Mi napenda designer ila uchumi mgumu...... so natumia za oriflame kusema kweli nazipenda
Na wewe ukamatwe ueleze unapata wapi hela za kununua harufu kwa 700,000 ambao ni mishahara wa mtuMi napaka perfume moja tu kwa siku yaani nina zaidi 30 different types of colognes so kila siku yake
Ulevi huo sasa, ndo tabu ya watanzania wakipata fedha za mkato. Makonda chunguza yeyeNikipaka rasasi huwa najihisi kunuka tumbaku