Penzi la zamani

Nakumbuka wakati nasoma barua zilikuwa zinagawiwa wakati wa luch time. Siku isiyo na jina nilipata barua toka kwa rafiki yangu wa kike, kwa papara zangu nikaifungua palepale mezani, podailiyokuwa ndani ya barua ikaangukia ktk mlo wangu, nikashinda njaa siku hiyo!

Alikuwa na wivu huyo
 
Niliokotaga barua ya jamaa anamtongoza demu.Yule jamaa alikuwa mwamba sana basi ile barua nilikuwa naitumia kuwatongozea mademu mi nilikuwa naikopi tu. Hamna demu nilimtumia ile barua akanikataa.Basi wana wakawa wanakuja niwaandikie barua kali mi nkawa naingeza majanja kidogo. Kila likizo wana walikuwa wananiletea zawadi kibao kama shukrani.Hadi nikawa na comfidence wakati nlikuwa domo zege kinoma.

Alikupa desa hutalisahau katika makuzi yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom