Mohamed Ismail
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 214
- 229
- Thread starter
- #21
Da, mapenzi yanapitia vita nyingi, lakini daima yanashinda...
Hayajawahi feli siyo
Da, mapenzi yanapitia vita nyingi, lakini daima yanashinda...
Nikisikiaga story za barua za mapenzi moyo unapata ganzi, niliwahi kuchezea stiki zisizo na idadi kisa barua, kile kichapo sijawahi kukisahau...boya kabisa huyu bro wangu sijui alinichapia nini
Nakumbuka wakati nasoma barua zilikuwa zinagawiwa wakati wa luch time. Siku isiyo na jina nilipata barua toka kwa rafiki yangu wa kike, kwa papara zangu nikaifungua palepale mezani, podailiyokuwa ndani ya barua ikaangukia ktk mlo wangu, nikashinda njaa siku hiyo!
Niliokotaga barua ya jamaa anamtongoza demu.Yule jamaa alikuwa mwamba sana basi ile barua nilikuwa naitumia kuwatongozea mademu mi nilikuwa naikopi tu. Hamna demu nilimtumia ile barua akanikataa.Basi wana wakawa wanakuja niwaandikie barua kali mi nkawa naingeza majanja kidogo. Kila likizo wana walikuwa wananiletea zawadi kibao kama shukrani.Hadi nikawa na comfidence wakati nlikuwa domo zege kinoma.
Naam...Hayajawahi feli siyo