Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Mkuu kwa sisi waafrika tunaruhusiwa kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja tamaduni zetu zinaruhusu kabisa kama unaweza kuwamiliki wote bila upendeleo oa tu.

mi mwenyewe kwa kabila langu inaruhusu,lakini nishaamua kuufuata ukristu,maisha ya kimila siyataki tena
 
Unakunywa kinywaji gani mkuu


Vijana tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Mtoa maada umeikosea nafsi yako,umemkosea mkeo, umemkosea pia Mungu wako aliyeibariki nyumba yako na ndoa yako.

Vp kabla hujajiingiza kwenye mahusiano na huo mchepuko uliwahi kujiuliza haya maswali?
> kwann aliyezaa naye hajamuoa?
> inamaana wanaume woote hapo anapoishi hawajamuona? Kwann mpaka sasa bado ni single mom?

Kaka unaweza kujifarii kuwa mwanamke ni mzuri kumbe kuna wanyamwez wamekaa pemben wanakucheki tu jins ulivyojiingiza chakike.

Sometime wanaume tumekuwa chanzo cha migogoro. Hvi mkeo akipata hizo taarifa nayeye akaamua kukuletea mimba utalalamika?

Maana mleta mada kwa juhudi zake binafsi...ana/ameharibu ndoa yake
 
Mmmmh..... akat mmekutana hukutuambia lakin..... haya njia nzuri lea hiyo mimba na mkeo mwambie ajue ulichepuka na matokeo yake mtoto kapatikana maana bora nusu shari kuliko shari kamili.... usipomwambia leo akaja kujua mwenyew kesho ... jiandae kwa the Third word war kwa mkeo na mchepuko.... nawe jiandae kukatwa masikio

yeah,lishanitumbukia nyongo hili
 
''siwezi kumwambia haiwezekani pia nakosa uwezo wa kumuondoa katika maisha yangu''

Kwa sentensi hiyo bado unataka ushauri?!!!

bado nahitaji ushauri mkubwa sana mkuu,ukisoma vizuri utagundua kuwa nilisema,sina maneno mazuri ya kumwambia haiwezekani kuoa wake wawili na pia haiwezekani kumuondoa maishani coz ni mjamzito tayari
 
Polemo lkn nawee ukome michepuko waga sio mizur jmn..... ukicheza utashangaa kabeba virago huyooo ndan mwako kwa mkeo nae ohoooo..... hv unatujua wanawake au unatusikia

usiniombee hivyo wangu,si unajua tumbo joto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom