Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Sasa ndugu maisha gani unayo Ya sema? Coz kupeana mawazo ktk kutatu matatizo ndiyo maisha yenyewe unathani maisha gani mengine?

Tatizo unalo kua nalo wewe siyo analokuanalo mwenzio na unapo jiona Wewe unatatizo la fedha usidhani na mwezio analo!
Jaribu kuchangia kwa fikra pana zaidi

nashukuru kwa kuliona hilo mkuu,alikuja na matusi makali sana tena usiku wa manane ila nikamchukulia kama alivyokuja.watu wa aina hii hawanipi tabu sana kudili nao
 
Huo ujauzitooo ndo umekuleta hapaaa speed kubwa kweliii maaana wakati unapenda na kupendwa ulikuwa unaona utamuuuu weeeeeee. Yan huyo ni wakooo mze ushamupaaa hakuna kumurukaaaa.

nashukuru mkuu,ila tambua tu ukiwa mwanamme haya mambo yanaweza kukukuta pia
 
wasiwasi wangu ilikuwa kukuona ukija hapa,lakini kwa kuwa umepita kwa amani basi haina mbaya mmachame wangu

hapana napenda amani alafu unajua sipendi upate mawazo na unajua nikisema kitu huta lala acha nipite tu
 
Una mapepo wewe kaombewe

nashukuru mkuu,niko tayari kupatiwa tiba yoyote ile ilimradi tu nipate ufumbuzi makini katika hili tatizo.nashukuru umeona kuwa katika matatizo Mungu ndiye wa kwanza kukimbiliwa
 
angekuwa mzuri hivyo unavyomsemea naye si angekuwa kashaolewa?
 
Siyo vizuri umfanyiayo mke wako. Achana na huyo mwanamke wa pembeni, tulia na mke wako, angalia familia yako. Anakupenda labda kwa sababu ya huduma zako na siyo kama ufikiriavyo wewe.

nashukuru mkuu,haya ndiyo majuto nayoyapata kwa sasa
 
basi mama,naomba unywe maji kidogo upunguze hasira.nilianza kutumia kwa miezi miwili ya mwanzo huku tukipima katika miezi hiyo 2.then ndo ikawa hivyo tena.

mmmh kwa hiyo utafanya dhambi ya kuua ?. yani umeona ya uongo na uzinzi haitoshi ukaongeza moja?
 
Mrigariga

Mkuu sina la kusema zaidi ya kukwambia am scared.
 
Last edited by a moderator:
Mungu katupa neno zuri sana ya kwamba usilopenda kutendewa usimtendee mwenzio. Vp hapo mkeo ndio angekuwa anakucheat au akafall love kwa mwingine unadhani maisha yangekuwaje kwa upande wako. Ukiamua kuoa lazima fikra yako ibadilike achana na mambo ya kufall love na mademu wengine maana huo ni utoto, wewe hata kama utachepuka lazima uulinde moyo wako usianguke mahali pengine wewe fanya kwa kuridhisha mwili wako tu

nashukuru mkuu,neno zito sana hili
 
Vipi umejiandaa na purukushani ya wife the moment anajua huyo habari ya mchepuko?

Ila hiyo ya kuzaa are you ready for the consequences?? Maana unaanzisha familia nyingine sasa. Mwanamke anaweza akakusamehe endapo atagundua kuwa una mtu mwingine pembeni ila hilo la kuzaa nje napata wasiwasi si wengi wanaweza ku handle hiyo situation.

Anyway all the best bro.

just terrified
 
tayari umekwisha its too late u pass the way of no return!
ulichelewa kuomba ushauri pindi tu ulipo anza kumpiga sound..
kifuatacho itv ni kuhamia kwake na kutelekeza familia yako

sina cha kusema mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom