Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Katika umri wa miaka 38 sasa nina mke na watoto watatu,sometimes najuta why she came into my life,this single mom, very cute,beautiful,sexy and sweet.

Kama ningekutana nae kabla ya kuoa,lakini ndo basi tena. I have another life to live, Iam tied to somebody tena Kanisani tangu tukutane amenionyesha kunipenda sana,siyo siri nami nimefall kwake vibaya.

Amekuwa anaiba na amekiri ni ngumu kuachana na mimi, yuko tayari hata kuwa mke wa pili, siwezi kumwambia haiwezekani pia nakosa uwezo wa kumuondoa katika maisha yangu kwa kuwa nampenda.

Seriously nahitaji ushauri, kwa akina baba wenzangu uzoefu wenu utanisaidia sana, kwa akina mama pia siyo mbaya kama una la kusema.

Na siku zote penzi la wizi ni tamu kuliko maelezo ndio maana Kibonde anasema michepuko sio dili baki kwa mkeo.

Mke wakukutana nae mwisho wa mwezi huwezijua mapungufu yake maana akili yako ushajipanga kupagawishwa hata chongo utasem si chongo ni kengeza ..... Akili kumkichwa kwako kaka
 
Na siku zote penzi la wizi ni tamu kuliko maelezo ndio maana Kibonde anasema michepuko sio dili baki kwa mkeo.

Mke wakukutana nae mwisho wa mwezi huwezijua mapungufu yake maana akili yako ushajipanga kupagawishwa hata chongo utasem si chongo ni kengeza ..... Akili kumkichwa kwako kaka

thanx mkubwa
 
Yamemwagika kuzoleka haiwezekani! kamwngukie mkeo tubu mbele yake na mbele za MUNGU kungali mapema bado, subiri mtto azaliwe ulee damu yako ....kuwa busy na familia yako kumrudishia mkeo amani na aweze kukuamini tena......Maumivu ni makubwa lakini hakuna kinachoshindikana!!!
 
Na mchepuko atajitahidi kila manjonjo ili umuone makaila uone kiza kurudi kwa mkeo kwani hata tigo si mwala kwa michepuko yan mie wala sikupi pole wala ushauri nyooo
 
Na mchepuko atajitahidi kila manjonjo ili umuone makaila uone kiza kurudi kwa mkeo kwani hata tigo si mwala kwa michepuko yan mie wala sikupi pole wala ushauri nyooo

asnte mkuu ila ushanipa maujanja mengine,kuhusu kupewa tigo ili nikamatwe,tigo silagi mkuu,atajikamata mwenyewe
 
Yamemwagika kuzoleka haiwezekani! kamwngukie mkeo tubu mbele yake na mbele za MUNGU kungali mapema bado, subiri mtto azaliwe ulee damu yako ....kuwa busy na familia yako kumrudishia mkeo amani na aweze kukuamini tena......Maumivu ni makubwa lakini hakuna kinachoshindikana!!!

asante mkurugenzi kwa ushauri wako
 
ungeniambia tu wala ilikuwa haina haja ya kuja JF..!!! ucjal, nitajifungua na nitamlea kwa uweza wa Mungu,

sijawahi na sitokaa nivunje ndoa ya mtu, kama utaihitaji kumuona mtoto utaangalia ufanyeje! nimekupea jibu hapa coz ndipo ulipoileta mada!! bye

aisee leo kazi ninayo......
 
hatima yako na huyo binti unaifahamu na kwa dhati kabisa deep down umeamua kuoa mke wa pili......
 
Mwambie mkeo azisikie hizi habari toka kwako kwanza nasio kwa watu wengine atakasirika sana lakini haitakuwa milele ukweli utakuweka huru .
Mwambie mkeo unakitu unataka kucomfes na kisha subiri reaction yake ni mwanadamu atakasirika lakini mwishoni atataka kukusikiliza umeamua nini wewe kuhusu huo mchepuko wako.
 
Mwambie mkeo azisikie hizi habari toka kwako kwanza nasio kwa watu wengine atakasirika sana lakini haitakuwa milele ukweli utakuweka huru .
Mwambie mkeo unakitu unataka kucomfes na kisha subiri reaction yake ni mwanadamu atakasirika lakini mwishoni atataka kukusikiliza umeamua nini wewe kuhusu huo mchepuko wako.

kaazi kweli kweli,but thanx kwa ushauri wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom