Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
mkuu.naomba tu uvune ulichokipanda.....hiyo mimba usiitoe......mlee na mtoto azaliwe.....muda ukifika mueleze mkeo ukweli....ingawa itauma lakini hiyo ndiyo hali halisi.......
Kwa mfano we ndo ungekuwa mke wangu, afu usikie nimezaa na Heaven on Earth utanifanyaje kwa mfano?
Au tuoane kabisa??
Last edited by a moderator: