Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

tayari umekwisha its too late u pass the way of no return!
ulichelewa kuomba ushauri pindi tu ulipo anza kumpiga sound..
kifuatacho itv ni kuhamia kwake na kutelekeza familia yako
 
Vipi umejiandaa na purukushani ya wife the moment anajua huyo habari ya mchepuko?

Ila hiyo ya kuzaa are you ready for the consequences?? Maana unaanzisha familia nyingine sasa. Mwanamke anaweza akakusamehe endapo atagundua kuwa una mtu mwingine pembeni ila hilo la kuzaa nje napata wasiwasi si wengi wanaweza ku handle hiyo situation.

Anyway all the best bro.
 
Mungu katupa neno zuri sana ya kwamba usilopenda kutendewa usimtendee mwenzio. Vp hapo mkeo ndio angekuwa anakucheat au akafall love kwa mwingine unadhani maisha yangekuwaje kwa upande wako.

Ukiamua kuoa lazima fikra yako ibadilike achana na mambo ya kufall love na mademu wengine maana huo ni utoto, wewe hata kama utachepuka lazima uulinde moyo wako usianguke mahali pengine wewe fanya kwa kuridhisha mwili wako tu
 
Eli79

Kozo Okamoto kubali tu this is a big mess. Madhara yake ni makubwa sana kuliko unavyodhani. Sasa hivi uko ndani ya penzi huwezi fikiri sawa sawa. Lakini baada ya muda penzi litakwisha itakuwa kawaida sana na hapo huko nyumbani ushaharibu hutakiwi kwenye nyumba yako pia.

Kwa kweli unahitaji kumjulisha wife mapema akajua kuliko suprise suprise za huko mbeleni. Itakuwa catastrophy ya ukweli.

Kumbuka kuzaa nje maanake ni unatembea bila kinga hata kama utajihami kuwa mmepima. Tena hiyo sentenso usije ukalogwa ukatamkabele ya wife wako. 'Eti tumepima'!!

Nina mfano wa Baba aliyezaa nje na mwanamke mpole kama unavyodai wewe huyo wako. Amemsababishia mke akaparalyse so maisha yake sehemu kubwa ni kitandani.
Lakini the interesting part ni kuwa ule mchepuko hautaki hata kumuona huyo Baba now watoto wako University na mbaya zaidi hata watoto wa pande mbili hawapendani ingawa wanajuana vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Siyo vizuri umfanyiayo mke wako. Achana na huyo mwanamke wa pembeni, tulia na mke wako, angalia familia yako. Anakupenda labda kwa sababu ya huduma zako na siyo kama ufikiriavyo wewe.
 
Ila sisi wanaume ni wabinafsi sana.
Angekuwa mkeo amefanya hivyo ni taraka na kipigo juu.
 
Mkuu kwa sisi waafrika tunaruhusiwa kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja tamaduni zetu zinaruhusu kabisa kama unaweza kuwamiliki wote bila upendeleo oa tu.

Soma vizuri issue uielewe. Huyu kafunga ndoa kanisani. Na kiapo cha kanisani sote tunakijua. Ni kuandamana na mmoja na kuachana na wengine wote(usijishughulishe nao) hadi KIFO TU kitapowatenganisha.

Hiki kiapo unaapa mbele za Mungu na si mbele ya mwenzako. Padri/Mchungaji ni mashahidi tu.
Sasa hizo habari za Waafrika zinatoka wapi?!! Kwani hawa waafrika unaowasema si wanafungia harusi zao kanisani?!!
 
Kuepusha matatizo ya watoto wa nje ya ndoa,better hiyo mimba mkatoe fasta bado ndogo,vinginevyo umekaribisha matatizo makubwa kwenye ndoa yako,ama laa kama unampenda sana usilimu ili uruhusiwe kuwa na ndoa mbili

Abortion is murder crime....
Wauwaji mpo wengi...
 
Huo ujauzitooo ndo umekuleta hapaaa speed kubwa kweliii maaana wakati unapenda na kupendwa ulikuwa unaona utamuuuu weeeeeee. Yan huyo ni wakooo mze ushamupaaa hakuna kumurukaaaa.
 
Hili jukwaa unajua maudhui yake? Peleka MMU kama utaniona mnaacha kuwaza vitu vya msingi kutwa kuzungumzia ujinga badilikeni mnakera bwanaa.

Sasa ndugu maisha gani unayo Ya sema? Coz kupeana mawazo ktk kutatu matatizo ndiyo maisha yenyewe unathani maisha gani mengine?
Tatizo unalo kua nalo wewe siyo analokuanalo mwenzio na unapo jiona Wewe unatatizo la fedha usidhani na mwezio analo!

Jaribu kuchangia kwa fikra pana zaidi
 
Kuepusha matatizo ya watoto wa nje ya ndoa,better hiyo mimba mkatoe fasta bado ndogo,vinginevyo umekaribisha matatizo makubwa kwenye ndoa yako,ama laa kama unampenda sana usilimu ili uruhusiwe kuwa na ndoa mbili

Hakuna haja ya kuua kiumbe kisicho na hatia kwa sbb ya upuuzi wa watu wawili.......
 
jamaa,,, maji yeshamwagika....tuliza akili,,,, mie wala sikulaumu, coz ni mambo ambayo tunapitia wengi...mkae nae mkubaliane wat next, mtoto asibughudhiwe..... akishajifungua panga namna ya kumjulisha bi mkubwa hali halisi kwa kupitia wakubwa zako.....

chungu lakini dawa....najua kuna bonge la vita mbeleni,,,,,komaaa mtoto wa kiume...wala sikulaumu,,, umekuwa shujaa katika upuuzi....keep going...
 
Umevuna ulichopanda. mbegu zako ziko active sana. Ikiwa dini hairuhusu kuengeza mke mhalalishie uhawara.

dah mkuu,haya asante kwa ushauri wako mkuu,ila kama utapata ushauri bora zaidi ya huu plz,usisite kuniambia
 
nosspass

Naupokea ushauri wako kama ulivyo mkuu,kwa sasa nakubali kila aina ya matusi kwani yananifaa,hata hilo hapo kwenye bold nalikubali kwani yote haya nimeyataka mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom