Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Babu lazma niumie kiukweli lakini hakuna maumivu yanayokaa milele kuna muda maumivu yataisha na maisha yataendelea........lakini kutoa hukumu kwa mtoto ambae hana kosa lolote hilo unalionaje....?

mwisho wa siku nitakusamehe kama mme....mana ni sawa na mtoto wako wa kike kuzalia nyumbani....utamfanyeje?
Hakyamama ulikuwa wapi siku zote sijakuwowa???
 
Haki ya nani babu wewe haurembi kabisaa
Si unajua tena, mwanaume kujituma bhana.....


1828ao.jpg
 
Endeleza tu sasa .....
Imeshakuwa tamu afu UOE kabisa......Maana mtoto ndio huyooooooo:rockon::rockon::rockon::rockon::rockon::rockon::rockon:
 
Mi ata sielewi nkuambiaje we mwenyewe unaonekana unataka kote ili upate malezi.
 
Kosa ulifanya tokea mara ya kwanza,ukishaoa hupaswi kuanzisha mahusiano ya kudumu mahai popote,kwingine,na haya magonjwa ya sasa hivi!Na je unapokuwa kwako na mkeo usiku unajua yeye anakuwa wapi?Mimi kwa uzoefu wangu wanawake wa aina hiyo huwa ni waongo na kama sikosei umesema ni single mother,kwanini aliyemzalisha hakumuoa?Jiulize sana na iko siko utakuja uona ukweli.Inawezekana ni mzoefu wa kuvunja nyumba za watu,thats why aliyemzalisha pia may be alikuwa mume wa mtu.Nakueleza hivyo kwani hata mimi nilikutana na hali kama hiyo na iliniletea sana shida mke wangu alipojua ila nashukuru mungu nimeweza kuachana naye mwaka sasa na nimejifunza kutokana na hilo,na pia uzinzi si kitu kizuri kabisa wapende wanao na mkeo.
 
Unadanganywa, Anatafuta Tu Pa Kupumzishia Shda Zake. Mbele Utajuta. Chepuka Kwa Akir Wewe Sio Kuanzisha Uhusiano Wa Kudumu, Atakuja Mwingne Zaid Ya Huyo, Nae Utaoa?
 
Unadanganywa, Anatafuta Tu Pa Kupumzishia Shda Zake. Mbele Utajuta. Chepuka Kwa Akir Wewe Sio Kuanzisha Uhusiano Wa Kudumu, Atakuja Mwingne Zaid Ya Huyo, Nae Utaoa?

hili nalo neno mkuu.thanx much
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom