Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Penzi la huyu dada linanitia kiwewe

Mkuu angalia usije ukajisahau kwa mchepuko wanao ukawasahau wakose mahitaji muhimu
 
Katika umri wa miaka 38 sasa nina mke na watoto watatu,sometimes najuta why she came into my life,this single mom, very cute,beautiful,sexy and sweet.

Kama ningekutana nae kabla ya kuoa,lakini ndo basi tena. I have another life to live, Iam tied to somebody tena Kanisani tangu tukutane amenionyesha kunipenda sana,siyo siri nami nimefall kwake vibaya.

Amekuwa anaiba na amekiri ni ngumu kuachana na mimi, yuko tayari hata kuwa mke wa pili, siwezi kumwambia haiwezekani pia nakosa uwezo wa kumuondoa katika maisha yangu kwa kuwa nampenda.

Seriously nahitaji ushauri, kwa akina baba wenzangu uzoefu wenu utanisaidia sana, kwa akina mama pia siyo mbaya kama una la kusema.

FYI mkeo ameshajua uhusiano wenu and she is hunting that single mom of yours vibaya mno! Akimkamata tu amekwisha hahhaaa! Kidding
 
kazi ipo mkuu,huu nao ni mtihani mwingine ambao cjawahi kuuombea tangu kuzaliwa.kutoa mimba mkuu dah,cjui nianzie wapi,ikitokea akafariki si ndo nitakuwa haunted maisha yangu yote?na mungu je?

kutoa mimba usijaribu kabisa inawezekana ukazaa professor fulani hivi.acha mbaya hiyo.
 
Pole sana
Siwezi kukucheka...manake sina ndoa stable wala sijaoa
Ila Mungu akuongoze ufike hitimisho
 
Kaka acha kujidanganya sisi si malaika, hivo hata huyo mtamu, sijui lovely, n.k kwa kuwa u mbali naye ukikaa naye utatambua mapungufu yake mengi tu, utamwona si kitu, na hayo uyaonayo sasa ni mazao ya mahangaiko ya kisaikolojia hasa baada ya kuwa na matarajio tofauti kwa mwenzi wa kwanza hivo automatically huyo amekuwa bomba kwako. Penzi huweza kuvunda inategemea unalitunzaje kama si mtunzaji wa penzi hata huyo ukipewa baada ya muda fulani atakuwa si kitu, penzi litavunda, na utamwona mwingine utampenda huyo. Hebu achana na huyo mwizi wa penzi la shemeji yetu, hivi hujajiuliza uzuri wote huo hana jamaa mwenye malengo naye mpaka akudandie wewe, na wewe ukiwa naye kama mkeo baadaye nini kitamzuia kutoka na mwingine njen maana huyo ana roho ya kuingilia penzi la mwingine na hiyo roho ni endelevu, utajitia presha, na je amewezaje kukupa kirahis hivyo, au wangapi umekutana nao. Cha muhimu MKUU weka ufahamu kuwa wanawake wazuri kupindukia wapo na hutawamaliza maana kuna mwingine yuko mbioni kukutana nawe naye ni mkali kwako kuliko huyo wa sasa, vp hapo napo, usikifatishe hiki kijamaa kilichotufanya tuitwe wanaume uwa hakitosheki, hivo kinakupa visingizio kibaoooo. Rudisha nyuma kumbukumbu na baby wako mlipoanza, shuka chini mtaanza kama zamani yaani utashangaa penzi motomoto linarudi, huyo mwingine kwa status yako ni kiruka njia tu, ana vijifaida kwako hata vya kijifariji tu baada ya kuonekana bomu kwa wengine. NB: UKIENDESHWA NA JINSI WAREMBO WALIVYO SIKU MOJA UTAMTAMANI JIRANI, SHEMEJIO, DADA AKO MAANA NAYE NI MREMBO TENA KULIKO HUYO UMSEMAYE, BAADAYE MAMAKO MDOGO, AU WAPWA ZAKO NA UZEENI WATOTO WAKO. TAKARI CHUKUA HATUA.

nauchukua ushauri wako kwa asilimia mia moja,asante sana bro
 
Kakulisha libwata limekukolea mkeo ndo mtamu hata hiyo mimba kakushikia masikio always legal wife ndo anakupenda mkuu mchepuko yuko after something acha hiyo tabia sio nzuri baba wa watoto watatu mshahara wa dhambi ni mauti aziniye na mwanamke ni mp..... Tena Hana akili hadi mimba kwa kweli acha hiyo tabia sio nzuri lazima unataka kuisambaratisha Familia acha Tampa mwogope Mungu.

thanx mkuu
 
A gentleman advice.
P'se UWE MWAMINIFU KWA MKE WAKO. Kama unaona kuna hitaji la kuchepuka na mwanamke mwingine, basi jitahidi usiwe na permanent lover and Dont promise any woman. Kumbuka watoto 3 ni serious case km ikitokea umeachana na mke wako. Pls be kind and trustworthy kwa mke wako. Achana na huyo single mom.

asante mkuu,nauchukua ushauri wako kama ulivyo
 
Katika umri wa miaka 38 sasa nina mke na watoto watatu,sometimes najuta why she came into my life,this single mom, very cute,beautiful,sexy and sweet.

Kama ningekutana nae kabla ya kuoa,lakini ndo basi tena. I have another life to live, Iam tied to somebody tena Kanisani tangu tukutane amenionyesha kunipenda sana,siyo siri nami nimefall kwake vibaya.

Amekuwa anaiba na amekiri ni ngumu kuachana na mimi, yuko tayari hata kuwa mke wa pili, siwezi kumwambia haiwezekani pia nakosa uwezo wa kumuondoa katika maisha yangu kwa kuwa nampenda.

Seriously nahitaji ushauri, kwa akina baba wenzangu uzoefu wenu utanisaidia sana, kwa akina mama pia siyo mbaya kama una la kusema.

Dawa yako ni picha ya KIBONDE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom