Pengo: Nimesamehe

Pengo: Nimesamehe

Kauli yake ya kisaliti ndiyo mwanza wa mengine.
Mbona yeye hajaomba msamaha kwa kauli yake ambaye imehatarisha uthabiti wa TEC na kanisa kwa ujumla na pia kudharirisha wenzake.

Mkuu mbona unaongea mawazo?
 
Anaweza kuwa na msamaha lakini hawezi kusamehewa kamwe kwa kupingana na maaskofu wenzake waliotoa msimamo thabiti kuhusu serilkali kujiingiza katiaka suala la kuandaa Mahakama ya kadhi kupitia Bunge lenye Wakritu na Waislamu.

Hawezi kuwa sehemu ya kuvunja msingi imala wa nchi yetu kutoendeshwa kidini na apate msamaha, yeye ndiye awaombe radhi maaskofu wenzake maana amewadharirisha sana.

Hawezi kuaminika kwa hili.

Mkuu bado na wewe unaongea mawazo, umeona kuna mahakama ya kadhi kwenye katiba pendekezwa? Acha uvivu wa kusoma soma ile katiba then jaribu tena kuandika labda utaeleweka
 
Anaweza kuwa na msamaha lakini hawezi kusamehewa kamwe kwa kupingana na maaskofu wenzake waliotoa msimamo thabiti kuhusu serilkali kujiingiza katiaka suala la kuandaa Mahakama ya kadhi kupitia Bunge lenye Wakritu na Waislamu.

Hawezi kuwa sehemu ya kuvunja msingi imala wa nchi yetu kutoendeshwa kidini na apate msamaha, yeye ndiye awaombe radhi maaskofu wenzake maana amewadharirisha sana.

Hawezi kuaminika kwa hili.

Hili ni anguko la kanisa!!!! Yaani ile dhambi ya kuwabagua waislamu na kuwaonea wivu wasipate matokeo yake wakristu wameanza kutukanana wao kwa wao. Poleni sana jamani. Dhambi ya ubaguzi ndio hii. Sasa mkristu mwenzenu (Pengo) ameiona haki mnamporomoshea matusi. Haya bwana. Sisi yetu macho.
 
Hivi yeye mwenyewe ametumia fursa hiyo kujiombea msamaha! Maana alienenda kinyume na kile alichoshiriki na kusaini.
Je ni kweli alilalamika kama taarifa ilivyotolewa kabla ya Gwaj kukamatwa na sasa anaumwa sijui nini? Na kama alilalamika ni kipi kilikuwa cha msingi kwake kukana alichokubaliana na maaskofu wenzake au kukumbushwa kuwa umekana.
 
Hii dhambi haitamuacha pengo na unafiki wake

We nawe hujielewi kama hujui kaa kimya mwenzako kapiga kelele madhabahuni hatimae yule pale sasa wewe ropoka ropoka tuu
 
Weweee sasa hapo ndo umefanya analysis ya alosema Pengo contradicting ile taarifa ya pamoja ya maaskofu na umefanya pia analysis ya comment za huyu Lunyungu ? so you count yourself as one of the few Tanzanians, as you put it, wanoweza kufanya analysis?.....poor you!!!

Inaonekana wewe ulikuwa unafaulu kwa kuangalizia. Usitake uandikiwe kila kitu, a new argument makes a wise man think a little bigger. Acha kufuata upepo man, may be hata unachokisimamia hujakisoma au kukisikiliza mwenyewe but you base on the hearsay, nakubali kuwa mie ni poor but I keep on learning, but you are the poorest man stuck in the ditch, ndio maana huelewi chochote....
 
Gwajima ni wa kumsamehe tu, hana akili nzuri. Kuna clip nimemskia akidai alikuwa anamkemea askofu mwenzake. Yaani Gwajima askofu wa mtaani anataka kujilinganisha na Pengo!!?

Alafu anadai mwenyekiti wa maaskofu wa katoliki ndiye mkuu wa kanisa katoliki Tanzania. Ana uelewa mdogo sana. Sijui anawezaje hata kuwatapeli wafuasi wake kiasi hicho.

Wewe ndo hujui kitu kuhusiana na mfumo wa uongozi ndani ya Kanisa Katoliki. Mtu kuwa Kadinali haina maana ndiye kiongozi wa Kanisa Nchini mwake. Kuna Nchi hazi Kadinali na bado Kanisa Katoliki lipo katika Nchi hizo. Kwa sasa Afrika nzima kuna Makadinali wasiozidi 20 ilihali kuna Nchi zaidi ya 50 katika Afrika. Kadinali Pengo ni Kiongozi Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam pekee! Unaweza kuwa Kadinali hata kama wewe sio Askofu wala Padri! Soma Sheria za Kanisa Katoliki na taratibu zake. Usiwe Zero kiasi hicho!
 
Pengo nimemdharau sana. kuomba kwake msamaha hakuwezi kusaidia kutibu tatizo la presha alilomsababishia mtumishi wa Mungu, Gwajima. yeye aendelee tu kuitumikia serikali ya CCM halafu mwisho wa siku atavuna alichopanda.

Gwajima kajatakia mwenyewe pressure kwa Kweli ..hayo mambo ya Serikali ni Juu Yao ...na mwenyewe aliogopa nini ...anajua
 
Mnafiki huyo, unasamehe vipi baada ya kuona mhusika yupo mikononi mwa polisi na kuhojiwa masuala yasiyohusiana na alichosema juu yake?! Alitakiwa kusamehe hadharani mara tu baada ya Gwajima kutukana, na kumwachia Kaisari aendelee na taratibe zake!!
Hebu tujiulize taratibu. Pengo na Gwajima, nani alimtaja mwenzake kwa majina? Kama jibu umelipata, nani amesababisha matatizo kama si aliyetaja jina la mwenzake?

Nasisitiza, Pengo hakuwahi kutaja jina la Gwajima. Ni gwajima ndiye aliyemtaja Pengo kwa majina kabisa. Pengo hajamshtaki Gwajima polisi, ni Jamhuri tu imeona kuna ujumbe wa matusi unasambazwa kwenye mitandao, na ili kupata ukweli ndipo polisi ikamuita kumuhoji. Pengo hajawahi kwenda kushtaki polisi
 
hebu tujiulize taratibu. Pengo na gwajima, nani alimtaja mwenzake kwa majina? Kama jibu umelipata, nani amesababisha matatizo kama si aliyetaja jina la mwenzake?

Nasisitiza, pengo hakuwahi kutaja jina la gwajima. Ni gwajima ndiye aliyemtaja pengo kwa majina kabisa. Pengo hajamshtaki gwajima polisi, ni jamhuri tu imeona kuna ujumbe wa matusi unasambazwa kwenye mitandao, na ili kupata ukweli ndipo polisi ikamuita kumuhoji. Pengo hajawahi kwenda kushtaki polisi
wauwajiii hawa stype zao wanajua walichotakakumfanyia gwajima
ikifika kiongozi wadini unakuwa mafia ni zaidiuashetwanii kabisaa
mfikishieni huu ujumbe piaa
 
Askofu mkuu wa jimbo kuu la Dar es salaam, Mwadhama Polcarp Kadinali Pengo amesema amemsamehe mchungaji Gwajima(hakuumtaja) na wote walioguswa ,ameyesema hayo wakati wa Misa Takatifu ya Jumapili ya matawi tarehe 29th March 2015 katika kanisa kuu la ST Joseph Cathedral .

"Naomba niseme kutokana na hali iliyopo kuwa kutoka moyoni kabisa nimesamehe yote yaliyosemwa na naomba tumuombee na kuwaombea wote walioguswa sina kinyongo chochote"

Waumini walilipuka kwa makofi baada ya kusikia kauli ya mwadhama.

Mytake:

Ushauri kwa Jamhuri, maadam Mwadhama ametamka tena huku akiwa amekalia kiti cha kiaskofu kwa sisi wakatoliki nadhani tunajua maana ya tamko linapotolewa huku Askofu akiwa amekalia kiti chake basi na wao wasikie mtukanwa kasemehe na wao watumie hekima kuachana na Gwajima ili kuipa uzito maana ya msamaha unless kama Jamhuri inataka kuendelea kwa mahojiano ya mambo mengine sio la kutukanwa,maana mtukanwa akitoa msahama huku mambo yanaendelea itaonekana hakuna msahama wa kweli kutoka kwa Mungu.

Chanzo mimi mwenyewe
.


hata kama. alikuwa amekaa wapi aache sheria itendee HAKI hiyo ni criminal case na siyo civil case
 
Gwajima ni wa kumsamehe tu, hana akili nzuri. Kuna clip nimemskia akidai alikuwa anamkemea askofu mwenzake. Yaani Gwajima askofu wa mtaani anataka kujilinganisha na Pengo!!?

Alafu anadai mwenyekiti wa maaskofu wa katoliki ndiye mkuu wa kanisa katoliki Tanzania. Ana uelewa mdogo sana. Sijui anawezaje hata kuwatapeli wafuasi wake kiasi hicho.

Udogo wa Gwajima na ukuu wa Pengo tusiupime kwa vigezo na sifa zetu za kidunia za kupeana. Tusubiri siku tukisimama mbele ya kiti kikubwa cheupe, wakati bahari na milima vitakapokuwa vinakimbia uwepo wake. Hapo wafalme wa dunia watakapokuwa wanaomba milima iwafunike. Ndipo Mwenyewe atakapodhihrisha kati ya Gwajima na Pengo nani mkubwa!! Na siku hizi haziko mbali.
 
asante Pengo kwani msamaha ndio kitu cha muhimu kwakuwa wewe ndie unaetuelimisha maana ya kusamehe hivyo umeelimisha kwa vitendo.MUNGU AKULINDE
 
Udogo wa Gwajima na ukuu wa Pengo tusiupime kwa vigezo na sifa zetu za kidunia za kupeana. Tusubiri siku tukisimama mbele ya kiti kikubwa cheupe, wakati bahari na milima vitakapokuwa vinakimbia uwepo wake. Hapo wafalme wa dunia watakapokuwa wanaomba milima iwafunike. Ndipo Mwenyewe atakapodhihrisha kati ya Gwajima na Pengo nani mkubwa!! Na siku hizi haziko mbali.
kituko cha tajiri na maaskini
 
Mkuu JME, nimekusaidia kidogo kwenye maeneo niliko weka red!, jina rasmi la Pengo ni Muadhama Policarp, Kardinali Pengo.Kunapofanyika makosa, tunatumia sheria mbili, jinai, na madai (criminal na civil), criminal mshitaki ni jamhuri, na kwenye civil mshitaki ni aliyeadhirika!. Kwenye hili Pengo hajashitaki popote hivyo hata akisamehe, msamaha wake haizuii jamhuri kuendelea na uchunguzi wake wa kijinai!.Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu ambayo yako very strict kwenye kufuata sheria, taratibu na kanuni, na linapokosema na mtu ambaye sii muumini, huweza kutoa msamaha kama huu kirahisi rahisi tuu kwa maana kwa mujibu wa kanisa, huyo Gwajima ni kama mtu tuu wa mataifa hajui atendalo!. Angekuwa ni Mkatoliki ingempasa kuungama, na kupewa adhabu ya kutimiza malipizi!.Pasco

hIZO SHERIA KWA NINI HAZIKUFANYWA WAKATI WA:
1.Eliakim maswi kumutukana kafulila kuwa ni mshenzi
2.Werema kumutukana kafulila kuwa ni tumbili
 
mkuu kwa mujibu wa canon law zinazoongoza utaratibu wa kanisa hakuna cheo cha mkuu wa kanisa katoliki nchini .ila kuna mkuu wa kanisa katoliki duniani ambaye anaitwa papa hata hivyo cheo hicho anakipata baada ya YESU kuwaambia waafuusi wake petro wewe ni mwamba na juu ya mwamba huu litalijenga kanisa hivyo petro ni mmoja tu ambaye anaitwa askofu wa Roma ambaye ndiye papa hivyo uaskofu ndicho cheo cha mwisho hata papa cheo chake halisi ni askofu mkuu wa roma .hivyo maaskofu ni waandamizi wa mitume .kwa hiyo mwadhama ni askofu mkuu wa jimbo la dar es salaam na mamlaka yake yanaishia jimboni kwake sio nchi nzima

Acha kumuhusisha Yesu na upuuzi wenu kilaza wewe.
 
Udogo wa Gwajima na ukuu wa Pengo tusiupime kwa vigezo na sifa zetu za kidunia za kupeana. Tusubiri siku tukisimama mbele ya kiti kikubwa cheupe, wakati bahari na milima vitakapokuwa vinakimbia uwepo wake. Hapo wafalme wa dunia watakapokuwa wanaomba milima iwafunike. Ndipo Mwenyewe atakapodhihrisha kati ya Gwajima na Pengo nani mkubwa!! Na siku hizi haziko mbali.

Bahati yake kikwete siku hiyo itamkuta hayuko madarakani,patakuwa hapatoshi hapa duniani siku hiyo.
 
Back
Top Bottom