Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,535
Gwajima ni wa kumsamehe tu, hana akili nzuri. Kuna clip nimemskia akidai alikuwa anamkemea askofu mwenzake. Yaani Gwajima askofu wa mtaani anataka kujilinganisha na Pengo!!?
Alafu anadai mwenyekiti wa maaskofu wa katoliki ndiye mkuu wa kanisa katoliki Tanzania. Ana uelewa mdogo sana. Sijui anawezaje hata kuwatapeli wafuasi wake kiasi hicho.
Wewe unafikiri kiongozi wa kanisa Katoliki Tanzania ni nani? Hapa hauko pekee yako. Watu wengi wanaamini Kadinali Pengo ndiyo mkuu wa Katoliki Tanzania. Je, nchi inapokuwa na nakadinali zaidi ya mmoja inakuwaje? kiongozi wa Kanisa Katoliki Tanzania ni Raisi wa TEC na mtendaji wake ni Katibu mkuu wake. Kadinali ni daraja la juu ktk madaraja ya utumishi ndani ya Katoliki, na kiongozi wa Katoliki ktk nchi aweza kuwa Askofu au Kadinali na Papa ni lazima awe Kadinali