Pengo: Nimesamehe

Pengo: Nimesamehe

HApo ndipo mahakama ya kadhi ilipo tufikisha. Waisilamu na wakristo hawaelewani, wakristo kwa wakristo hawaelewani ni matusi kwenda mbele.

Mie nauliza, hawa waislamu na wakristu/wakristo kwa ujumla wao ni asilimia ngapi ya watanzania? Kwani hakuna imani tofauti na hizo hapa nchini?
 
Naogopa kusema ninachohisi kumkuta gwajima ,
Mh sijui kama mapambazuko tutazungumza.
 
Anza na hii: Catholic scholar Dr. Malachi Martin, formerly a Jesuit professor at Georgetown University and a confidant of Vatican insiders, flatly declared in a New York City interview: “Yes, it’s true. Lucifer is enthroned in the Catholic Church.” Martin was also interviewed by The Fatima Crusader, a well-known Catholic publication. He again repeated his allegations, and expressed his dismay and distress that the Catholic institution of which he is a part has grown so decadent and morally reprobate since the Vatican II conference of the 60s. The contention that there are Satanists in Rome is “completely correct” said Martin, adding: “Anybody who is acquainted with the state of affairs in the Vatican in the last 35 years is well aware that the prince of darkness has and still has his surrogates in the court of St. Peter in Rome.” Satan worship is now rampant within the Catholic Church. High-ranking churchmen are accused of heinous crime against God. The smoke of Satan has entered the very sanctuary of St. Peter’s Cathedral in the Vatican. Mind-boggling though it may be, priests and bishops alike are known to have taken contract oaths to serve the devil, signed in their own blood! Chanzo: Lucifer is enthroned in the Catholic Church. >> Four Winds 10 - Truth Winds
I trust Satanic Verses are true and very real.Lets see who more or less Lucifer first Born?
 
serikali ilikuwa wapi ku hoji mali za gwajima siku zote hizi if at all they had a point juu ya mali zake ? Je wangapi wana mali za kutisha na ni watumishi wanaishi kwa kodi zetu na hawajaulizwa juu ya mali zao ?
Mimi sidhani kama i need to trust pengo tena . Keshanipoteza . I long time refused kilaini na niwemugize now pengo . Mbinguni hatuendi kwa kuwa wakatoliki guys . Ni matendo yetu .

niwemugizi huyuhuyu jembe au????
 
Mkuu Wewe ndio hujui Kabisa Katoriki linongozwaje. Hakuna sehemu yoyote kwenye canon Law inayomruhusu Pengo kuwa juu ya Rais Wa TEC. Kanisa Katoriki linaongozwa kwa sheria zake. Kama hujui unakaa kimya,Rais wa TEC ndio msemaji Wa Kanisa katoriki Tanzania. Pengo ni mjumbe tu Wa balaza kama wajumbe wengine.

Where is TEC mentioned in the canon law?
 
Tatizo watu wametekwa na siasa, hawataki kuambiwa ukweli hata kidogo. Mahaba ya siasa ndio yanayowafanya wamtukane Pengo na kuona kakosea alichokisema. Pengo kama Kardinali wa kanisa Katoliki Tanzania, hawezi kuona mambo yanaenda kinyume halafu akakaa kimya, haiwezekani.

Kanisa halijafikia hatua ya kufanya maamuzi kwa niaba ya waumini wake, kanisa halijafikia hatua ya kulazimisha watu katika suala linalohitaji haki na uhuru wa mtu. Kumwambia mtu lazima akapige kura ya hapana hiyo si sawa hata kidogo, na hata kumwambia mtu lazima akapige kura ya ndiyo nayo si sawa hata kidogo.

Mtu anapaswa kupiga kura kwa mujibu wa maamuzi na matakwa yake binafsi na si kulazimishwa. Ni sahaihi kuwaelimisha watu mazuri na mabaya ya katiba pendekezwa lakini si sahihi kuwapangia watu kura ya kupiga
 
Ni kiongozi wangu lakini sijapenda lugha yake ya ki-ccm ya kwenda kinyume na maaskofu wenzake. Asante Gwajima kwa kumpasha. Zaidi ya kumsamehe angemfanya nini? Haya, amemsamehe sawa lakini ujumbe ameshaupata. Aache kiherehere cha kuupigania ujinga unaofanywa na Serikali hii ovu! Tunataka katiba yenye manufaa kwa wote na mahakama ya kidini isiwe katika mikataba nyeti ya serikali isiyo na dini.
 
Askofu mkuu wa jimbo kuu la Dar es salaam, Mwadhama Polcarp Kadinali Pengo amesema amemsamehe mchungaji Gwajima(hakuumtaja) na wote walioguswa ,ameyesema hayo wakati wa Misa Takatifu ya Jumapili ya matawi tarehe 29th March 2015 katika kanisa kuu la ST Joseph Cathedral .

"Naomba niseme kutokana na hali iliyopo kuwa kutoka moyoni kabisa nimesamehe yote yaliyosemwa na naomba tumuombee na kuwaombea wote walioguswa sina kinyongo chochote"

Waumini walilipuka kwa makofi baada ya kusikia kauli ya mwadhama.

Mytake:

Ushauri kwa Jamhuri, maadam Mwadhama ametamka tena huku akiwa amekalia kiti cha kiaskofu kwa sisi wakatoliki nadhani tunajua maana ya tamko linapotolewa huku Askofu akiwa amekalia kiti chake basi na wao wasikie mtukanwa kasemehe na wao watumie hekima kuachana na Gwajima ili kuipa uzito maana ya msamaha unless kama Jamhuri inataka kuendelea kwa mahojiano ya mambo mengine sio la kutukanwa,maana mtukanwa akitoa msahama huku mambo yanaendelea itaonekana hakuna msahama wa kweli kutoka kwa Mungu.

Chanzo mimi mwenyewe
.

Msamaha wa pengo hauna uhusiiano na utendaji wa serikali na majumukumu ya sheria.
Unapo shauri sheria imsamehe muhuni kama huyu gwajima utaifanya sheria iruhusu wajinga wanaotafuta umaarufu kupitia migongo ya viongozi kama kadinari kuendelea kutusi wazee wetu wakijua kuna misamaha wataipata.
Mm sio mkiristo lakini sioni sababu ya gwajima kupata msamaha wa serikali.
Kadinari pengo anahitaji pepo utukufu wa milele anahaki yakusamehe kwakuwa mungu humpenda anae samehe.
Lakini serikali haihitaji pepo wala utukufu wa milele yenyewe inahitaji kusimamia sheria na kuzitekeleleza hiyo ndio sifa ya serikali bila kujali sheria inamkabili nani.
Ni muhim gwajima awe mfano wa wapuuzi wengine wanao tamani kufanya upuuzi kama alio ufanya gwajima.
Nilishangaa sana alipo jitetea akijifananisha na askofu pengo.
Nilijiuliza tokea lini sisimizi anajifananisha na tembo.
Ivi gwajima kapewa nanani uwaskofu mpaka ajifananishe na uaskofu wa pengo?
Lazima serikali isimamie sheria wahuni aina ya gwajima wasisubutu kututukania wazee wetu.
 
Tatizo watu wametekwa na siasa, hawataki kuambiwa ukweli hata kidogo. Mahaba ya siasa ndio yanayowafanya wamtukane Pengo na kuona kakosea alichokisema. Pengo kama Kardinali wa kanisa Katoliki Tanzania, hawezi kuona mambo yanaenda kinyume halafu akakaa kimya, haiwezekani.

Kanisa halijafikia hatua ya kufanya maamuzi kwa niaba ya waumini wake, kanisa halijafikia hatua ya kulazimisha watu katika suala linalohitaji haki na uhuru wa mtu. Kumwambia mtu lazima akapige kura ya hapana hiyo si sawa hata kidogo, na hata kumwambia mtu lazima akapige kura ya ndiyo nayo si sawa hata kidogo.

Mtu anapaswa kupiga kura kwa mujibu wa maamuzi na matakwa yake binafsi na si kulazimishwa. Ni sahaihi kuwaelimisha watu mazuri na mabaya ya katiba pendekezwa lakini si sahihi kuwapangia watu kura ya kupiga

mi mwenyewe ni mkatoliki, lakin alichokifanya pengo si kizur, huwezi ukaja kuukana walaka ambao tayar umesha usaini (umuridhia), angefanya hivyo <kuukana> kabla ya kuusaini.Ni upuz
 
Msamaha wa pengo hauna uhusiiano na utendaji wa serikali na majumukumu ya sheria.
Unapo shauri sheria imsamehe muhuni kama huyu gwajima utaifanya sheria iruhusu wajinga wanaotafuta umaarufu kupitia migongo ya viongozi kama kadinari kuendelea kutusi wazee wetu wakijua kuna misamaha wataipata.
Mm sio mkiristo lakini sioni sababu ya gwajima kupata msamaha wa serikali.
Kadinari pengo anahitaji pepo utukufu wa milele anahaki yakusamehe kwakuwa mungu humpenda anae samehe.
Lakini serikali haihitaji pepo wala utukufu wa milele yenyewe inahitaji kusimamia sheria na kuzitekeleleza hiyo ndio sifa ya serikali bila kujali sheria inamkabili nani.
Ni muhim gwajima awe mfano wa wapuuzi wengine wanao tamani kufanya upuuzi kama alio ufanya gwajima.
Nilishangaa sana alipo jitetea akijifananisha na askofu pengo.
Nilijiuliza tokea lini sisimizi anajifananisha na tembo.
Ivi gwajima kapewa nanani uwaskofu mpaka ajifananishe na uaskofu wa pengo?
Lazima serikali isimamie sheria wahuni aina ya gwajima wasisubutu kututukania wazee wetu.

Una point mkuu. Lakini hiyo sharia inafanya kazi hapo kwa Pengo tu? Mbona haikuwa na meno kwa wengine kama pale alipopigwa kofi Warioba na kutukanwa, na pale Lowasa anapotukanwa na kina Nape na yule Malecela motto na yule aliyezawadiwa ukuu wa wilaya ya Kinondoni? Au sharia inafanya kazi pale tu anayeguswa anapokuwa kipenzi cha waziri mkuu?
 
Askofu mkuu wa jimbo kuu la Dar es salaam, Mwadhama Polcarp Kadinali Pengo amesema amemsamehe mchungaji Gwajima(hakuumtaja) na wote walioguswa ,ameyesema hayo wakati wa Misa Takatifu ya Jumapili ya matawi tarehe 29th March 2015 katika kanisa kuu la ST Joseph Cathedral .

"Naomba niseme kutokana na hali iliyopo kuwa kutoka moyoni kabisa nimesamehe yote yaliyosemwa na naomba tumuombee na kuwaombea wote walioguswa sina kinyongo chochote"

Waumini walilipuka kwa makofi baada ya kusikia kauli ya mwadhama.

Mytake:

Ushauri kwa Jamhuri, maadam Mwadhama ametamka tena huku akiwa amekalia kiti cha kiaskofu kwa sisi wakatoliki nadhani tunajua maana ya tamko linapotolewa huku Askofu akiwa amekalia kiti chake basi na wao wasikie mtukanwa kasemehe na wao watumie hekima kuachana na Gwajima ili kuipa uzito maana ya msamaha unless kama Jamhuri inataka kuendelea kwa mahojiano ya mambo mengine sio la kutukanwa,maana mtukanwa akitoa msahama huku mambo yanaendelea itaonekana hakuna msahama wa kweli kutoka kwa Mungu.

Chanzo mimi mwenyewe
.

Ingekuwa vyema zaidi kama angeenda mbali zaidi ili kuifuta kesi polisi alikopeleka malalmiko yake.Huo ndiyo utakuwa msamaha wa kweli.Kama alivyofanya Hayati Pope Paul II
 
Ingekuwa vyema zaidi kama angeenda mbali zaidi ili kuifuta kesi polisi alikopeleka malalmiko yake.Huo ndiyo utakuwa msamaha wa kweli.Kama alivyofanya Hayati Pope Paul II

mkuu nikutoe hofu tu mwadhama hajapeleka malalamiko ya polisi ni mihemuko tu ya polisi wetu unless Kama polisi wanajambo nyuma ya pazia
 
mkuu nikutoe hofu tu mwadhama hajapeleka malalamiko ya polisi ni mihemuko tu ya polisi wetu unless Kama polisi wanajambo nyuma ya pazia

Hata kama hajatoa since ameishamsamehe anajukumu la kwenda kuifuta ,ili kujiweka katika nafasi nzuri zaidi.Hasa kwa vile yeye kama kiongozi wa dini na anajua umuhimu wa kusamehe mara sabini wa sabini.
 
Back
Top Bottom