Pengo amtolea uvivu Kikwete

Pengo amtolea uvivu Kikwete

hapo kwenye bold anzisha thread yake !
hauwezi kuanza kumjadili Pengo bila kujadili kauli ya Kikwete aliyoitoa kwa viongozi wa dini! Ni kauli ya kikwete ndiyo imesababisha Pengo atoe kauli yake! Sasa swali...kama Kikwete anajawajua ..kwa nini asiwataje wakachukuliwa hatua? Kikwete alisema viongozi wa dini wanajihusisha na madawa ya kulevya.......sasa wewe hebu niambie ..unafikiri kikwete alikuwa anamaanisha dini zipi? au kwa uelewa wako kuna dini za aina ngapii hapa tanzania?

Haya ni matatizo ya kupitia Sunday school. Huwezi kudadisi kitu.

Mimi mpaka sasa naijadili kauli ya Kikwete aliwatuhumu viongozi wa DINI kujitusisha na madawa. sasa mimi najadili mzizi mkuu kwa kulinganisha na Kauli alizotoa Pengo kumjibu Kikwete.

Sasa tunajuwa wazi Pengo ni mkristo. Ndio maana namuuliza kuwa Je UKRISTO ni DINI kama suala la awali kabla kufikia kuijadili kauli zake.

Tuwekeni wazi basi ili tuijadili kauli zake kama sio kimbelembele chake.

Elewa kuwa katiba ya Tanzania inaweka wazi kuwa Tanzania ni nchi na si mkoa wala wilaya. Sasa vipi Bible au hata katekism au Chuo kidogo cha Sala kinasemaje kuhusu Ukristo kuwa ni Dini.
naomba andiko hapo.
 
Haya ni matatizo ya kupitia Sunday school. Huwezi kudadisi kitu.

Mimi mpaka sasa naijadili kauli ya Kikwete aliwatuhumu viongozi wa DINI kujitusisha na madawa. sasa mimi najadili mzizi mkuu kwa kulinganisha na Kauli alizotoa Pengo kumjibu Kikwete.

Sasa tunajuwa wazi Pengo ni mkristo. Ndio maana namuuliza kuwa Je UKRISTO ni DINI kama suala la awali kabla kufikia kuijadili kauli zake.

Tuwekeni wazi basi ili tuijadili kauli zake kama sio kimbelembele chake.

Elewa kuwa katiba ya Tanzania inaweka wazi kuwa Tanzania ni nchi na si mkoa wala wilaya. Sasa vipi Bible au hata katekism au Chuo kidogo cha Sala kinasemaje kuhusu Ukristo kuwa ni Dini.
naomba andiko hapo.

Hoja ya msingi ni kwa nini Rais wa nchi asiwataje hao viongozi wa dini wanaojihusisha na madawa ya kulevya? anamuogopa nani wakati yeye ana mamlaka kamili ya kidola? Je kwa nini tuhuma hizo azitoe kwenye kumsikia Padri mbele ya viongozi na wageni ndani na nje ya nchi na asitoe kwenye hotuba zake za kila mwezi? ki mantiki hiki kitu kilikuwa kimemkera sana ndiyo maana akaamua kupasua jipu pale pale, sasa Pengo anataka awataje wote hata kama na yeye ni mmoja wapo sawa yupo tayari - tatizo la kushindikana kuwataja ni lipi?

Nilivyomuelewa pengo yupo sahihi, ni sawa na wewe Baba unafika nyumbani unaita watoto wako wote tena mbele ya mama yao shahidi unawaambia kati yenu ninyi kuna wawili ni wezi ila sintawataja - mama na watoto watakushangaa sana sababu wewe ndiyo kiongozi wa familia then hutaki kuwataja wanao vibaka na wala huwapi adhabu ili waache kabisa tabia hiyo sasa nani atawaadhibu na kuwarekebisha hiyo tabia yao?

Wote sisi tunasuburi majibu toka kwa kiogozi wetu wa juu kabisa wa nchi kwamba ile list aliyopewa na wasaidizi wake aitaje na wote waliomo washitakiwe kama hao wengine wanaokamatwa na kufungwa maisha kwa kufanya biashara hii haramu.
 
Haya ni matatizo ya kupitia Sunday school. Huwezi kudadisi kitu.

Mimi mpaka sasa naijadili kauli ya Kikwete aliwatuhumu viongozi wa DINI kujitusisha na madawa. sasa mimi najadili mzizi mkuu kwa kulinganisha na Kauli alizotoa Pengo kumjibu Kikwete.

Sasa tunajuwa wazi Pengo ni mkristo. Ndio maana namuuliza kuwa Je UKRISTO ni DINI kama suala la awali kabla kufikia kuijadili kauli zake.

Tuwekeni wazi basi ili tuijadili kauli zake kama sio kimbelembele chake.

Elewa kuwa katiba ya Tanzania inaweka wazi kuwa Tanzania ni nchi na si mkoa wala wilaya. Sasa vipi Bible au hata katekism au Chuo kidogo cha Sala kinasemaje kuhusu Ukristo kuwa ni Dini.
naomba andiko hapo.

Tatizo lako unataka kututoa kwenye mada tuanze kujadili ubarubaru wako maana hata ID yako inaendana na mawazo yako. Kama unadhani hoja yako ni ya msingi anzisha Thread tukupe majibu lakini kwa walioelimika na wanaojua hoja hatuwezi kujibu upuuzi wako kwenye hoja inayojadiliwa. Nafikiri njaa pia inakusumbua haswa kwa mwezi huu uliohamua kubadili ratiba ya kula.... Nitasubiri ukishiba nikujibu maana unachoandika sasa ni matokeo ya njaa uliyo nayo.
 
Dunia si mgando bali hunyumbulika...mambo huenda yakibadilika kutokana na mazingira na changamoto mbalimbali...

Tusijidanganye ila ukweli ni kuwa kuna mmomonyoko mkubwa wa maadili nchini ambao hata kanisa halijasalimika...nani asiyeona hivi sasa baadhi ya viongozi wa makanisa wakiwapora waumini wao fukara hata kidogo wanachokimiliki kwa visingizio mbalimbali vya kumtumikia Bwana.. wakati ukweli ni kuwa wazibinafsisha mchana kweupee na kuishi km wapo peponi...hata makasisi wengine wakijifananisha na marais kwa staili zao za maisha..

Tazama wanaposafiri na misururu ya magari ya kifahari na mabody guards lukuki sijui kwa kuhofia nini...life style ambayo haikupata kuonekana enzi ya Mwalimu.na kwa hilo kwa vile lipo kwenye magwanda yao viongozi wa dini hawalioni na hawana sababu ya kulikemea!.

Wasichokifahamu wengi tena kwa maksudi ni kuwa viongozi wa dini wanaotuhumiwa kuhusika na madawa ya kulevya ni tishio kwa ustawi wa makanisa kongwe kwani licha ya kunyofoa kondoo wake wengi, hatua zao za kasi katika 'maendeleo ya duniani' inaathiri kwa namna moja ama nyingine mustakabali wake.
 
Huu ni ulegelege!kwasasbabu serikali inamwogopaje mtu?mbona watu waliowaita wavamizi nyamongo wamewaua!iweje hao maaskofu wanaouzaunga!au wapo juu ya sheria?
Sheria ziko wazi,na laisi mwenyewe alisema haingilii uhuru wa mahakama ndiomaana hawezi na hajathubutu kuwataja mafisadi ,hata kwenye kikao cha chama dodoma alisema! nanukuu kauli yake🙁WATAJENI HAO MAFISADI TUWAJUE ,MAANA MIMI SITAKI UNAFIKI!)akimaanisha hawajui kwanini katika hili?wakristo sisi ni wavumilivu sana angekua yeye angeshasema udini!
 
Hakuna chochote kinacho msumbua huyo mnafiki zaidi ya kununa, nchi hii imepitia mambo mangapi makubwa kabla kanisa lake halijaingia kwenye kampeni za Slaa lakini hakuwahi kuongea kitu lakini tokea huyo padri mwenzake ameshindwa uchaguzi basi ni nongwa tu kila kukicha. Narudia tena Pengo na wenzake wa TEC na wengine wooote waliokuwa wapiga kampeni wa Slaa wamenuna tu ndio kinacho wasumbua, na salamu zao wataendelea kunua hadi 2015 labda wakaze buti kwenye hizo mbinu zao za kupindua serikali halali.


Natofautiana nawe kuhusu fikra zako kwani ni potofu. Iwapo Pengo na TEC wangempigia kampeni Dr Slaa hakika Kikwete asingeshinda. Mtandao wao ni mpana na waumini wao wanawaheshimu na kuwasikiliza sana. Fikra hizi potofu ndizo pia alizo nazo Kikwete. Lakini nadhani ni suala la kuwa na upeo mdogo tu na kutoweza ku-reason vizuri.

Mie nimefanya research ndogo na kugundua kwamba Kikwete alizoa kura nyingi kwenye maeneo ya Wakatoliki kuliko Dr Slaa. Angalia Jimbo La Peramiho ambako karibu asilimia 90 ya wakazi wake ni Wakatoliki. Kule Kiikwete alipata kura zaidi ya asilimia 80. What does it mean?

Watanzania hawapo kabisa kwenye UDINI anaoueleza Kikwete na wafuasi wake.
 
Dunia si mgando bali hunyumbulika...mambo huenda yakibadilika kutokana na mazingira na changamoto mbalimbali...

Tusijidanganye ila ukweli ni kuwa kuna mmomonyoko mkubwa wa maadili nchini ambao hata kanisa halijasalimika...nani asiyeona hivi sasa baadhi ya viongozi wa makanisa wakiwapora waumini wao fukara hata kidogo wanachokimiliki kwa visingizio mbalimbali vya kumtumikia Bwana.. wakati ukweli ni kuwa wazibinafsisha mchana kweupee na kuishi km wapo peponi...hata makasisi wengine wakijifananisha na marais kwa staili zao za maisha..

Tazama wanaposafiri na misururu ya magari ya kifahari na mabody guards lukuki sijui kwa kuhofia nini...life style ambayo haikupata kuonekana enzi ya Mwalimu.na kwa hilo kwa vile lipo kwenye magwanda yao viongozi wa dini hawalioni na hawana sababu ya kulikemea!.

Wasichokifahamu wengi tena kwa maksudi ni kuwa viongozi wa dini wanaotuhumiwa kuhusika na madawa ya kulevya ni tishio kwa ustawi wa makanisa kongwe kwani licha ya kunyofoa kondoo wake wengi, hatua zao za kasi katika 'maendeleo ya duniani' inaathiri kwa namna moja ama nyingine mustakabali wake.
Elewa lengo hapa si kutetea kanisa, bali tunajaribu kuonyosha ulazima wa viongozi kutoa kauli za wazi na thabiti, ni ukweli usiopingika kuwa kuna uozo ndani ya kanisa, hapa nchini na sehemu nyingine duniani, lakini katika hili tunaangalia namna madai yalivyotolewa kama ilikuwa ni sahihi au lah.....

Sasa hivi viongozi wa serikali wanajaribu kusafisha hali ya hewa kuwa rais hakulilenga kanisa katoliki bali makanisa madogomadogo, kama hivyo ndivyo kwanini aende kutoa kauli ile katika shughuli ya kanisa katoliki? Halaf anaongea kwa mafumbo, ni afadhali kama angetumia neno "kuna baadhi ya makanisa" yeye akawashutumu moja kwa moja maaskofu, halafu baadae useme hakumaanisha wale sasa kama huu si umbeya na usengenyaji ni kitu gani? Binafsi nimekasirika na kukwaza kwasababu hapa mkuu wa nchi amefanya jambo ambalo linashusha credibility yake kwetu.

Kama vipi angekaa kimya mpaka huo uchunguzi ukamilike na wahusika wakamatwe then hapo ndiyo angtoa ufafanuzi wake kwa kitu kamili na chenye uhakika.....
 
Natofautiana nawe kuhusu fikra zako kwani ni potofu. Iwapo Pengo na TEC wangempigia kampeni Dr Slaa hakika Kikwete asingeshinda. Mtandao wao ni mpana na waumini wao wanawaheshimu na kuwasikiliza sana. Fikra hizi potofu ndizo pia alizo nazo Kikwete. Lakini nadhani ni suala la kuwa na upeo mdogo tu na kutoweza ku-reason vizuri.

Mie nimefanya research ndogo na kugundua kwamba Kikwete alizoa kura nyingi kwenye maeneo ya Wakatoliki kuliko Dr Slaa. Angalia Jimbo La Peramiho ambako karibu asilimia 90 ya wakazi wake ni Wakatoliki. Kule Kiikwete alipata kura zaidi ya asilimia 80. What does it mean?

Watanzania hawapo kabisa kwenye UDINI anaoueleza Kikwete na wafuasi wake.
Hawezi kuelewa, mtandao wa kanisa Catholic ni mpana sana, umefika mbali hata pale wananchi ambapo hawatambui utaifa wao na pale ambapo hawajawahi guswa na mikakati ya serikali kwa wananchi. Na hawezi elewa kuwa mtandao wa Catholic unaanzia katika ngazi ya mtu mmoja moja, familia na kuzidi kupanda, ni ufupi tu wa fikara unaowafanya watu hao wafikiri kuwa kanisa Katoliki lilimfanyia kampeni na kumsaidia Dr. Slaa, wanaumba matukio yasiyo na viugo wala umbile, na kujaribu kutengeza historia ambayo haijawahi kuwepo.
 
ʞontɹact Sniper;2364433 said:
.

Hawezi kuelewa, mtandao wa kanisa Catholic ni mpana sana, umefika mbali hata pale wananchi ambapo hawatambui utaifa wao na pale ambapo hawajawahi guswa na mikakati ya serikali kwa wananchi. Na hawezi elewa kuwa mtandao wa Catholic unaanzia katika ngazi ya mtu mmoja moja, familia na kuzidi kupanda, ni ufupi tu wa fikara unaowafanya watu hao wafikiri kuwa kanisa Katoliki lilimfanyia kampeni na kumsaidia Dr. Slaa, wanaumba matukio yasiyo na viugo wala umbile, na kujaribu kutengeza historia ambayo haijawahi kuwepo.

Hebu tufafanulie hapo kwenye nyekundu tukupate. Una maana gani kwa kusema hawezi elewa mtandao wa wakatoliki ni mpana sana. Mpana sana ukiucompare na nini?
 
Hebu tufafanulie hapo kwenye nyekundu tukupate. Una maana gani kwa kusema hawezi elewa mtandao wa wakatoliki ni mpana sana. Mpana sana ukiucompare na nini?
.

Angalia hiyo statement inam support nani na katika lipi, ndipo utaweza ku-connect dots na kujua na compare na nini...
 
Kaanzishe thread ya kujadili udini, hapa tunajadili thread ya Kikwete mbele ya maaskofu katoliko wote Tanzania kwamba viongozi wa dini ni wauza unga. Kaambiwa ataje majina ya wauza unga hadi leo kimya. Hii ya kujadili udini si mahali pake maana nikikuambia Mtume muhamad alifukuwa dini ya ukristo na kwenda kinyume cha maadili ndipo akaenda kuanzisha uislamu utaenda kutafuta jambia kunikata kichwa, Hahahaha wajameni tujadili yanayojilia tusiingize udini hapa si mahali pake.
Mkuu wangu nadhani sasa mnakwenda kinyume na mnataka kutetea vitu ambavyo havina kichwa kabisa.

Pengo sii mwanasiasa na wala yeye sii msemaji au msimamizi mkubwa wa viongozi wa dini nchini iwe Uislaam, Ukristu na hata Ukristu peke yake. Pengo ha-represent viongozi wa madhehebu ya dini isipokuwa dhehebu lake, hivyo kama anazungumza azungumze ktk maswala yanayohusu kanisa lake..
Pili, Nakumbuka vizuri sana JK aliposema maneno hayo hayakupokelewa vizuri lakini Mkuchika alikuja na kusherehesha hoja nzima akisema wapo viongozi wa dini ambao tayari kesi zao zipo mahakamani..Sasa mnaitaka list gani ya viongozi wa dini ikiwa hamja check na mahakama?

Kwa hiyo JK hakuwa na sababu wala haja ya kuwataja viongozi wa dini ikiwa wapo viongozi tayari wameisha funguliwa mashtaka. Na hata huku majuu Viongozi wa serikali huja tembelea baadhi ya sehemu na kuwambia vijana waache kushiriki na kuuza unga lakini sijawahi kusikia ati wananchi hao hao au kiongozi wao akilalamika kwa kiongozi ampe majina ya watuhumiwa...Ili afanye nini?.kama sii kukataa kwamba vitendo hivyo havipo lakini ukinipa majina ndio nitaamini..

Pengo anakataa asichokijua , na hivi JK akimpa majina ya wauza Unga yeye Pengo atafanya nini?.. maanake twende mbele tukirudi nyuma ya kuwa sioni sababu ya Pengo kumtaka JK awataje wauza unga wakati yeye mwenyewe hana mamlaka yoyote ya kuwakamata au kuwahukumu. hawa ni viongozi wetu wa dini tunawaomba wabakie ktk kazi zao. JK ni rais wa Watanzania wote wenye kuamini dini zote hivyo hotuba zake zinamhusu kila Mtanzania..

Haya ya Pengo kuingilia uongozi wa nchi ndio washawishi wakubwa wa Udini nchini na kitendo cha Pengo kumtaka JK awaseme ndio maana mada hii imefikia mahala watu mnatukana dini zetu mnaifanya kufuru kwa jina la Pengo nma kama Pengo asingeyasema haya, matusi yote nayoyasoma humu yasingekuwepo..
 
Ndugu zangu wana JF ishu ya madawa ya kulevya mkuu wa kaya anaijua nitatoa mfano. Kuna madawa ya kulevya yalikamatwa Tunduma november 2010 zikiwa kilo arobaini na mbili zikabidhiwa polisi Mbeya uwezi kuhamini zote zilipotelewa mikononi mwa polisi wakasema yalikuwa siyo madawa ila mkaa nilikuwepo na video za madawa ninazo hakuna aliyeshitakiwa na watuhumiwa wameachwa huru.

Nilifanya utafiti mdogo niliyoyasikia waliyonyuma ya ishu za madawa ya kulevya TANZANIA ni aibu. Ndugu zangu huyu kiongozi wa nchi hii ni tatizo kubwa na balaa naombeni mfuatilie mtandao wa madawa ya kulevya TANZANIA mtasikia ni kina nani. Tuungane watanzania tuikomboe nchi hii
 
Haifunguki!
.

Argue kwa hoja zako na kwa kile unachokiamini mkuu, source za mheshimiwa Son of...ni vituko anasoma na kupachika tafsiri zake, katika maelezo yake yote huwa hawi connected, anatafuta kuaminiwa tu katika kile angeacho hata kama hakileti maana, ili mradi kimeongelewa na yeye basi mkiamini.
 
Mkuu wangu nadhani sasa mnakwenda kinyume na mnataka kutetea vitu ambavyo havina kichwa kabisa.

Pengo sii mwanasiasa na wala yeye sii msemaji au msimamizi mkubwa wa viongozi wa dini nchini iwe Uislaam, Ukristu na hata Ukristu peke yake. Pengo ha-represent viongozi wa madhehebu ya dini isipokuwa dhehebu lake, hivyo kama anazungumza azungumze ktk maswala yanayohusu kanisa lake..
Pili, Nakumbuka vizuri sana JK aliposema maneno hayo hayakupokelewa vizuri lakini Mkuchika alikuja na kusherehesha hoja nzima akisema wapo viongozi wa dini ambao tayari kesi zao zipo mahakamani..Sasa mnaitaka list gani ya viongozi wa dini ikiwa hamja check na mahakama?

Kwa hiyo JK hakuwa na sababu wala haja ya kuwataja viongozi wa dini ikiwa viongozi ambao tayari wameisha funguliwa mashtaka. Na hata huku majuu Viongozi wa serikali huja tembelea baadhi ya sehemu na kuwambia vijana waache kushiriki na kuuza unga lakini sijawahi kusikia ati wananchi hao hao au kiongozi wao akilalamika kwa kiongozi ampe majina ya watuhumiwa. Ili afanye nini?.

Yaani JK akimpa Pengo majina ya wauza Unga yeye Pengo atafanya nini?.. maanake twende mbele tukirudi nyuma ya kuwa sioni sababu ya Pengo kumtaka JK awataje wauza unga wakati yeye mwenyewe hana mamlaka yoyote ya kuwakamata au kuwahukumu. hawa ni viongozi wetu wa dini tunawaomba wabakie ktk kazi zao. JK ni rais wa Watanzania wote wenye kuamini dini zote hivyo hotuba zake zinamhusu kila Mtanzania..

Haya ya Pengo kuingilia uongozi wa nchi ndio washawishi wakubwa wa Udini nchini na kitendo cha Pengo kumtaka JK awaseme ndio maana mada hii imefikia mahala watu mnatukana dini zetu mnaifanya kufuru kwa jina la Pengo nma kama Pengo asingeyasema haya, matusi yote nayoyasoma humu yasingekuwepo..
Mkuu ni vigumu sana kumtetea kikwete katika hili! Na assume wewe ni mtu mzima . Kauli aliyosema kikwete siyo uwongo ila haikuwa sehemu yake kutoa kauli kama ile! Watu tunajiuliza hivi kama Pinda au hata Kikwete mwenyewe angekuwa amealikwa kwenye tukio muhimu la jumuiya ya kiislam halafu akawambia mashehe ..baadhi yenu mnajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya ...unafikiri mashehe wange perceive vipi hiyo kauli?
Nakumbuka mzee Ali Hassan Mwinyi alichapwa kofi na kijana mdogo tu wa kiislam..kisa..? ..mwinyi anahimiza matumizi ya condom..!
Kikwete alitakiwa atoe hiyo kauli kwenye sehemu ambayo ni neutral mathalan kwenye hotuba yake ya mwisho wa mwezi...!
Ndiyo , Pengo ha represent madhebu yote ya dini isipokuwa dhehebu lake na ndiyo maana anasema Kikwete awataje hao wahusika kwa sababu Kikwete mwenyewe alitoa shutuma hizo akiwa kwenye sherehe ya kumsimika askofu wa dhehebu lake(roman catholic). Na hii kwa kweli hata kama wewe ungekuwa upande wetu ungetaka raisi awataje ijulikane ni akina nani ili wachukuliwe hatua ...kwa kufanya hivyo itasaidia kuondoa hali fulani ya kuona kama ametuchafulia jina la dhehebu letu!
Kuna post huko nadhani kwenye issue ya maandamano ya kumpinga kikwete marekani...nadhani ulisema kwamba hayo maandamano hayatasaidia kitu ila sisi wenyewe hapa(TZ) kila mmnoja wetu kwa nafasi yake akipinga huo ufisadi ..ndiyo ufisadi utapungua...!
Sasa hapa unasema nini? Pengo afanye kazi yake ipi? Mimi nadhani ni wajibu wake pia kupinga ufisadi ukiwemo wa madawa ya kulevya.

Sidhani kama Pengo anaingilia serikali au anasababisha udini! Angalia mwenyewe thread yote utagundua ni nani badala ya kutoa hoja anaanza kwenda udini! Hiyo hali siyo hapa tu ..ipo hata kwenye mihadhara tunayoisikia kila siku ...watu badala ya kufundisha mambo mazuri ya dini yao utakuta wanatukana dini za watu ...wanakashfu. ..kwenye radio ..magazeti nk..watu wanasambaza cd za uchochezi..imefikia mahali mpaka watu wanatoa matamko ya kutaka tanzania igawanywe pande mbili..za waislam na wakristu..! Kama wakristu wakianza kufanya hayo mambo mnayofanya wenzetu kwa kasi ,ari na nguvu hiyo hiyo, amani ya nchi hii itatoweka muda mfupi sana!
nakushukuru mkuu kwa kuchangania bila jazba...!
 
Mkuu ni vigumu sana kumtetea kikwete katika hili! Na assume wewe ni mtu mzima . Kauli aliyosema kikwete siyo uwongo ila haikuwa sehemu yake kutoa kauli kama ile! Watu tunajiuliza hivi kama Pinda au hata Kikwete mwenyewe angekuwa amealikwa kwenye tukio muhimu la jumuiya ya kiislam halafu akawambia mashehe ..baadhi yenu mnajihusisha na biashara ya madawa ya kulevya ...unafikiri mashehe wange perceive vipi hiyo kauli?
Nakumbuka mzee Ali Hassan Mwinyi alichapwa kofi na kijana mdogo tu wa kiislam..kisa..? ..mwinyi anahimiza matumizi ya condom..!
Kikwete alitakiwa atoe hiyo kauli kwenye sehemu ambayo ni neutral mathalan kwenye hotuba yake ya mwisho wa mwezi...!
Ndiyo , Pengo ha represent madhebu yote ya dini isipokuwa dhehebu lake na ndiyo maana anasema Kikwete awataje hao wahusika kwa sababu Kikwete mwenyewe alitoa shutuma hizo akiwa kwenye sherehe ya kumsimika askofu wa dhehebu lake(roman catholic). Na hii kwa kweli hata kama wewe ungekuwa upande wetu ungetaka raisi awataje ijulikane ni akina nani ili wachukuliwe hatua ...kwa kufanya hivyo itasaidia kuondoa hali fulani ya kuona kama ametuchafulia jina la dhehebu letu!
Kuna post huko nadhani kwenye issue ya maandamano ya kumpinga kikwete marekani...nadhani ulisema kwamba hayo maandamano hayatasaidia kitu ila sisi wenyewe hapa(TZ) kila mmnoja wetu kwa nafasi yake akipinga huo ufisadi ..ndiyo ufisadi utapungua...!
Sasa hapa unasema nini? Pengo afanye kazi yake ipi? Mimi nadhani ni wajibu wake pia kupinga ufisadi ukiwemo wa madawa ya kulevya.

Sidhani kama Pengo anaingilia serikali au anasababisha udini! Angalia mwenyewe thread yote utagundua ni nani badala ya kutoa hoja anaanza kwenda udini! Hiyo hali siyo hapa tu ..ipo hata kwenye mihadhara tunayoisikia kila siku ...watu badala ya kufundisha mambo mazuri ya dini yao utakuta wanatukana dini za watu ...wanakashfu. ..kwenye radio ..magazeti nk..watu wanasambaza cd za uchochezi..imefikia mahali mpaka watu wanatoa matamko ya kutaka tanzania igawanywe pande mbili..za waislam na wakristu..! Kama wakristu wakianza kufanya hayo mambo mnayofanya wenzetu kwa kasi ,ari na nguvu hiyo hiyo, amani ya nchi hii itatoweka muda mfupi sana!
nakushukuru mkuu kwa kuchangania bila jazba...!
Shukran sana tena hapa ndio mfano wako unaleta maana kabisa.. Kama Pinda au Mkapa angekuwa ktk sherehe ya kiislaam kisha akawaambia Masheikh waache kujihusisha na biashara za madawa ya kulevya.. mkuu wangu, Usingesikia Muislaam hata mmoja akipiga kelele kwa sababu sisi waislaam hatuna daraja la ubora wa mtu (binadamu) mbele ya Mungu isipokuwa mitume. Sheikh na mimi hatuna tofauti yoyote ya kimatendo isipokuwa tofauti ni kwamba yeye kasoma dini na kakabidhiwa mamlaka ya kuongoza zaidi ya hapo kila mmoja anabeba msalaba wake..

Na ndio maana mimi naweza kabisa kuandika hapa kwamba Sheikh Mkuu Simba ni fisadi na fisadi kweli kwa sababu najuua fika anauza mali za waislaam kwa kupitia bakwata. bakwata ni kundi la Mafisadi kitu ambacho wewe ktk Ukristu huwezi kusema hivyo kumshutumu Pengo. Na ndio maana kesi zozote zinazohusiana na kanisa huwa hazifiki mahakamani kwa sababu kanisa linachukua dhamana ya makosa ya watu hao..

Umeniuliza kazi ya Pengo, yeye ni kiongozi wa dini tena basi ni balozi wa Vatican... kazi yake ni dini na amepewa Immunity kwa sababu ya kazi yake. Alichotakiwa kufanya angemfuata JK na kuomba majina ya wauza unga kutoka kanisa lake ama angetazama list ya watuhumiwa walioko mahakamani tayari na kufuatilia kesi zao kuhakikisha kwamba kanisa lake halihusiki kabisa na vitendo hivyo. Lakini badala ya yeye kuchukua njia na taratibu zinazotakiwa karukia kwenda jukwaani na kudai yeye Pengo sijui apewe majina ya wauza Unga na rais wetu wa jamhuri ya Muungano, ILI IWEJE..Unaleta kusutana na rais wetu ati awataje wauza unga wakati hujawahi kumfuata ukaomba majina kama utaratibu wa kawaida tu..Haya nambie Pengo akipewa hayo majina ya wauza unga unategemea atayafanyia nini - Kuyaombea au?

Hili ndilo swali langu ambalo pia ktk maandamano ya Washington nimeuliza wanaandamana Marekani ili IWEJE... Tunachotafuta hapa sio ubishi na kunyoosheana vidole bali ni kupata suluhisho la matatizo sugu tuiliyokuwa nayo..Unga ni moja ya mchango mkubwa wa fedha za madafu nchini. Leo hii maisha yamepanda sana Tanzania kwa sababu ya mchango mkubwa wa unga na money laundry ndio maana nyumba za Kariakoo zimefika hadi billioni moja na baadhi ya watu wanalipa cash.. Haitokea watu kujiuliza hii purchasing power inatoka wapi ktk nchi maskini ambayo haina umeme, maji, usafiri na hata ku abuse maliasili na rasilimali zake..

Sasa kama mnataka tuhalalishe biahssra za Unga na Bangi semeni na itakuwa jambo bora zaidi iwe kama Afghanstan kila mtu atajirike kwa biashara haramu kuliko kupiga marufuku biashara za madawa ya kulevya kumbe viongozi wa dini zetu ndio wako mstari wa mbele kabisa kuziendesha na sisi wananchi tunawawekea kifua..I would careless kujua kama viongozi hao ni waislaam au wakristu kwa sababu tamaa ya kufanya biashara haramu haitokani na dini ya mtu..
 
pengo sio mara ya kwanza kumtafuna kikwete maana wana bifu lao. watoe ajenda mioni mwao tujue wazi waache kutumia mianya ya kidini, pia safu hii imejaa ushabiki sana wa kidini. nini maana ya kusema tuwangoje bakwata acheni unafiki makafiri wakubwa nyinyi mnaoleta hoja kwa imani zenu?
 
Mkuu wangu nadhani sasa mnakwenda kinyume na mnataka kutetea vitu ambavyo havina kichwa kabisa.

Pengo sii mwanasiasa na wala yeye sii msemaji au msimamizi mkubwa wa viongozi wa dini nchini iwe Uislaam, Ukristu na hata Ukristu peke yake. Pengo ha-represent viongozi wa madhehebu ya dini isipokuwa dhehebu lake, hivyo kama anazungumza azungumze ktk maswala yanayohusu kanisa lake..
Pili, Nakumbuka vizuri sana JK aliposema maneno hayo hayakupokelewa vizuri lakini Mkuchika alikuja na kusherehesha hoja nzima akisema wapo viongozi wa dini ambao tayari kesi zao zipo mahakamani..Sasa mnaitaka list gani ya viongozi wa dini ikiwa hamja check na mahakama?

Kwa hiyo JK hakuwa na sababu wala haja ya kuwataja viongozi wa dini ikiwa wapo viongozi tayari wameisha funguliwa mashtaka. Na hata huku majuu Viongozi wa serikali huja tembelea baadhi ya sehemu na kuwambia vijana waache kushiriki na kuuza unga lakini sijawahi kusikia ati wananchi hao hao au kiongozi wao akilalamika kwa kiongozi ampe majina ya watuhumiwa...Ili afanye nini?.kama sii kukataa kwamba vitendo hivyo havipo lakini ukinipa majina ndio nitaamini..

Pengo anakataa asichokijua , na hivi JK akimpa majina ya wauza Unga yeye Pengo atafanya nini?.. maanake twende mbele tukirudi nyuma ya kuwa sioni sababu ya Pengo kumtaka JK awataje wauza unga wakati yeye mwenyewe hana mamlaka yoyote ya kuwakamata au kuwahukumu. hawa ni viongozi wetu wa dini tunawaomba wabakie ktk kazi zao. JK ni rais wa Watanzania wote wenye kuamini dini zote hivyo hotuba zake zinamhusu kila Mtanzania..

Haya ya Pengo kuingilia uongozi wa nchi ndio washawishi wakubwa wa Udini nchini na kitendo cha Pengo kumtaka JK awaseme ndio maana mada hii imefikia mahala watu mnatukana dini zetu mnaifanya kufuru kwa jina la Pengo nma kama Pengo asingeyasema haya, matusi yote nayoyasoma humu yasingekuwepo..

Sijawa huko na sitaruhusu kujirahisisha kujadili udini, hapa nilikuwa najaribu tu kumwambia tunaja mengi na historia kuliko wanavyofahamu ila hatuko tayari kwani tukifanya hivyo wenye moyo mchache wa kujadili ukweli watakimbilia majambia.

Ndio maana nasisitiza tujadili hoja iliyoletwa hapa na kama hoja ya dini aanzishe anayetaka thread yake na kama mod ataruhusu ndipo tuijadili. Kwa hapa tunajadili Cardinal pengo anapoonya maovu na udhaifu wa serikali kwa manufaa ya watanzania wote.

Tunaoonja makali ya maisha ni sote, na tukiendekeza ushabiki kwa misingi ambayo wengine wanaendekeza hapa tutaishia umaskini wa kutupwa na kuona tatizo ni yule unayemwona mbele yako badala ya kuelewa ukweli wa nini viongozi wetu wafunguke mioyo na akili zao kuona, kusikia na kufanya tunayowaambia, maana kujitetea kwa viongozi na kutafuta visingizio vya hapa na pale si hoja ya kuondoa matatizo yaliyopo.
 
Back
Top Bottom