kaka puuu hapa umenena..hata mimi nitashangaa sana kama viongozi wetu wa bakwata wasipokoment kwa kauli hii chafuHaya sasa tunasubiri tamko toka BAKWATA. Tuone upande wa pili nao wanasemaje kuhusu jambo hili.?
inayowaweka wateule wote wa dini kuhisiwa kuwa si waadilifu...tena ningependa kama watatoa tamko kabla mheshimiwa hajataja
majina ili tusijeonekana kama vile tulimshauri...au sisi waislam hatujahusishwa na uchafu huu...!!!!!!!.