Pengo amtolea uvivu Kikwete

Pengo amtolea uvivu Kikwete

jk kaambiwa awe na ''ujasiri wa mwanamke mjamzito'' mfikishieni hili na aelewe maana yake

Pengo (mwanya) aache unafiki...mwanamke mjamzito yupi anaemjua? kwani yeye ameshawahi kumpa mwanamke ujauzito?... mtu mwenyewe sijui bw..b.wa. Aaache kuchafua shuka usiku.
 
Haya sasa tunasubiri tamko toka BAKWATA. Tuone upande wa pili nao wanasemaje kuhusu jambo hili.?

Nadhani si muafaka sana kuwataja BAKWATA katika hili, nadhani JK aliongea yeye kkama kiongozi wa serikali legelege na si kama muislamu, atashindwaje kuwataja kama ni kweli????
 
Kwanini Pengo ilimuuma ile kauli ya Kikwete? au ni mmoja wa washukiwa.

lakini siku hizo hana uzito wowote kulinganisha na Wakati za Nyerere.

Hivi ingekuwaje kama rais angekuwa mkristo halafu akaongelee msikitini kwamba kuna viongozi wa dini wanauza madawa ya kulevya?
 
Lakini ni ukweli usiopingika kuwa Kikwete katamka kuwa viongozi wa dini wanahusika na biashara ya madawa ya kulevya halafu kasemea kwenye shughuli ya wakatoliki. Mbaya zaidi kaambiwa awataje hadi sasa anazungukazunguka. Hata kama kanuna sababu ya urais lakini hii hoja isingeachwa ipite hivi hivi kwa kuogopa kuambiwa umenuna.


Hakuna chochote kinacho msumbua huyo mnafiki zaidi ya kununa, nchi hii imepitia mambo mangapi makubwa kabla kanisa lake halijaingia kwenye kampeni za Slaa lakini hakuwahi kuongea kitu lakini tokea huyo padri mwenzake ameshindwa uchaguzi basi ni nongwa tu kila kukicha. Narudia tena Pengo na wenzake wa TEC na wengine wooote waliokuwa wapiga kampeni wa Slaa wamenuna tu ndio kinacho wasumbua, na salamu zao wataendelea kunua hadi 2015 labda wakaze buti kwenye hizo mbinu zao za kupindua serikali halali.
 
Hivi ingekuwaje kama rais angekuwa mkristo halafu akaongelee msikitini kwamba kuna viongozi wa dini wanauza madawa ya kulevya?

Kwani hao viongozi ni mitume?, mbona bado mmenuna, mlitaka mtajie mkatajiwa sasa mnabaki na nongwa tu. Mwambieni Pengo atanuna hadi lini, ajipange upya kumtafuta padri mwingine yule wa mwanzo hauziki.
 
Lakini ni ukweli usiopingika kuwa Kikwete katamka kuwa viongozi wa dini wanahusika na biashara ya madawa ya kulevya halafu kasemea kwenye shughuli ya wakatoliki. Mbaya zaidi kaambiwa awataje hadi sasa anazungukazunguka. Hata kama kanuna sababu ya urais lakini hii hoja isingeachwa ipite hivi hivi kwa kuogopa kuambiwa umenuna.

Kwani ni lazima awataje yeye rais, Pengo kwa kuwa ni kiongozi wa hao viongozi wa dini kwa nini asiwataje maana na yeye anawajua, huku mtaani tunawajua.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hatumchagui mtu kwa dini yake..ukatoliki na serikali wapi na wapi. Makanisa yote na misikiti husajiliwa na wizara tu ambayo ni home affairs. Unadhani ukitaja RC umetaja jambo kuuuubwa?! Ni NGO tu hiyo baba. Na sasa imekuwa civic and profitable organization...inakosa hata hadhi ya Religious NGO. Ombeeni Taifa siyo kulumbana kisiasa. Aliomba audience na Rais aseme linalomkwaza au analotaka kushauri akanyimwa appointment? Anatumia media apate publicity ili iweje? MUENDE KULIA..KUSHOTO...MAGHARIBI...MASHARIKI...KUSINI...KASKAZINI...MTATAWALIKA TU. MNA ILA SANA NINYI
<br />
<br />
ndugu yangu umeishiwa hoja
 
''Kuna walioandaa wagombea wao, na taasisi zao ambazo ni taasis za heshima zikagharamia uchapishaji wa majarida, wakaandaa semina, makongamano, na kufanya kampeni kwenye kila ibada. Lakini hawakufanikiwa kupenyeza mtu wao kwenye nafasi walioitaka, sasa hii tunayoishuhudia ni kuchanganyikiwa kwao na ndio maana nilieleza kule Dodoma wakati wa sherehe za kuzaliwa CCM kuwa, kuna baadhi yetu bado wamenuna na matokeo ya uchaguzi. Kwa bahati mbaya hata wakiendelea kununa, rais wa nchi hii ataendelea kuwa yule yule, hakuna mwingine, na shida zao watakuja kuniambia mimi hawana pakwenda.'' Huu ndio ujasiri wake Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne, Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Na mi nakubali huyu jamaa ni jasiri sana..nchi iko gizani, mgao wa mafuta, kashfa ya jairo, UDA..rais kakaa kimya kama haoni. Huu ni ujasiri tosha
 
Mungu asaidie watoto wenu waelimike manake ninyi imeshindikana. Mbona unazungumzia vitu vilivyopo nje ya thread????? Kama unataka si uje na thread ya kukosoa uadilifu wa viongozi wa dini ili tuwanyambue badala ya kukwepa hoja iliyoko mezani? Mbona ni viongozi wa dini zote tu ambao wana hayo madhaifu unayoyazungumza?
Inabidi mumlaani sana huyo aliyewanyima elimu manake bado mpo kwenye giza totoro!!

Habari ya Mapadri Kurawiti watoto wa kiume,Uzinzi,Ufuska,Umalaya wa Masista,Ulevi wa mapadri na Masista yote haya Pengo hajui mbona hajasema! Pengo fagia kwako kwanza Kanisa lako limeoza na ni kichefuchefu huna Uhalali wa kutoa kauli! Pia Kushindwa kwa Padri Mwenzako Wilbroad Slaa isiwe nongwa uchaguzi umeisha acha kubwabwaja!
 
Na mi nakubali huyu jamaa ni jasiri sana..nchi iko gizani, mgao wa mafuta, kashfa ya jairo, UDA..rais kakaa kimya kama haoni. Huu ni ujasiri tosha

Nchi ilikuwa pepo wakati wa Mkapa ndio maana hatukuwahi kumsikia pengo wala mwanya, ila kwa sasa imekuwa jehanam baada ya Kikwete, shame on wanafiki woote wanaotumia visingizio vya dini na matatizo ya wananchi kueneza chuki zao. Pengo hovyooo kabisa.
 
Pengo your Positive, yaani umelenga target hakuna kumun'gunya maneno. na ni vyema umesema wewe, maana tukisema sisi wanachi wangetuambia tuna mafrastiresheni vichwani mwetu. duh kweli hilo ni kombola la mwaka tangu uchaguzi uishe - sms sent- tunasubiri majibu upande wa pili.
 
Kwani hao viongozi ni mitume?, mbona bado mmenuna, mlitaka mtajie mkatajiwa sasa mnabaki na nongwa tu. Mwambieni Pengo atanuna hadi lini, ajipange upya kumtafuta padri mwingine yule wa mwanzo hauziki.

Katajwa nani, wa dhehebu gani..hiyo story ilipikwa kujustify uropokaji wa JK, tatizo hamna akili hata kupika story hamjui..yaani nilivoona hiyo habari nilicheka sana hata mdogo wangu yuko darasa la 5 alishtukia story ya uongo.
 
Nchi ilikuwa pepo wakati wa Mkapa ndio maana hatukuwahi kumsikia pengo wala mwanya, ila kwa sasa imekuwa jehanam baada ya Kikwete, shame on wanafiki woote wanaotumia visingizio vya dini na matatizo ya wananchi kueneza chuki zao. Pengo hovyooo kabisa.
certificate in terrorizimuuuuuuuu
 

Attachments

  • certificate in Terrorism studies.jpg
    certificate in Terrorism studies.jpg
    14.8 KB · Views: 35
Katajwa nani, wa dhehebu gani..hiyo story ilipikwa kujustify uropokaji wa JK, tatizo hamna akili hata kupika story hamjui..yaani nilivoona hiyo habari nilicheka sana hata mdogo wangu yuko darasa la 5 alishtukia story ya uongo.

Badala ya kutumia nguvu kutetea ujinga wa viongozi wetu wa dini kumaliza vijana wetu ni bora tuungane tuwakemee, hasa pengo na genge lake linalowapa ulinzi wauza unga.
 
Badala ya kutumia nguvu kutetea ujinga wa viongozi wetu wa dini kumaliza vijana wetu ni bora tuungane tuwakemee, hasa pengo na genge lake linalowapa ulinzi wauza unga.

Do not pretend to be a christian..Jibu, nani katajwa nani? Hire professionals wawasaidie kupika story, sio watu walioshia madrasa
 
Back
Top Bottom