Pengo amtolea uvivu Kikwete

Pengo amtolea uvivu Kikwete

kuan kitu lazima kifahamike ya kuwa toa elimu kwa aliye tayari kuipokea na asiyetaka muda ukifika atatumia gharama zake kuitafuta
 
PENGO ninamfahamu pengine kuliko unavyomfahamu. Hupenda kuamini kile anachoamini. Suala la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe: Dr. Jakaya Mrisho Kikwete aliyechaguliwa na wewe na mimi akashinda na anayetawala kidemokrasia. ...Ki Peoples Authority{tafsiri yake} kuonya viongozi juu ya dawa iweje ligeuke agenda na Pengo ashupalie? Sababu alizotoa ni nyepesi mno. Tatizo linaloonekana hapa ni la kisiasa zaidi...kwani JK anazungumza na kutenda kufuatia katiba ya nchi na misingi ya sheria za Tanzania ambayo ni neithet east nor west political alligned...Pengo yeye anawakilisha capitalists nchini if not imperialist. Katika Mazishi ya Anthony Mayala alisema wazi kabisa yeye ni pro capitalism.anadai anawapenda
 
Ni dhahiri kuwa Raisi alikosea kusema vile kama hakuna watuhumiwa ndani ya kanisa Katoliki,ni dhahiri kuwa Raisi alikosea kama Binadamu yeyote akoseaye cha msingi asilichukulie hili kisiasa au akachukulia kiubabe CCM kwa mara nyingi kauli zao zimekuwa ni zakuponda Kanisa pale wanapobanwa. Raisi ametumia Membari vibaya tunajua si mara ya kwanza kwa KIKWETE kuropoka kumbukeni yale aliyoyasema wakati wa akipinga mgomo wa Walimu kama kweli yalikuwa maneno ya Raisi au aliropoka KIUHALISIA SI MARA YA KWANZA LEO KWA RAISI KUROPOKA.

Umenikumbusha mwakajana Kikwete aliporopoka kuhusu madai ya walimu na kuwaambia hahitaji kura zao.
 
PENGO ninamfahamu pengine kuliko unavyomfahamu. Hupenda kuamini kile anachoamini. Suala la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe: Dr. Jakaya Mrisho Kikwete aliyechaguliwa na wewe na mimi akashinda na anayetawala kidemokrasia. ...Ki Peoples Authority{tafsiri yake} kuonya viongozi juu ya dawa iweje ligeuke agenda na Pengo ashupalie? Sababu alizotoa ni nyepesi mno. Tatizo linaloonekana hapa ni la kisiasa zaidi...kwani JK anazungumza na kutenda kufuatia katiba ya nchi na misingi ya sheria za Tanzania ambayo ni neithet east nor west political alligned...Pengo yeye anawakilisha capitalists nchini if not imperialist. Katika Mazishi ya Anthony Mayala alisema wazi kabisa yeye ni pro capitalism.anadai anawapenda

Unamwona Mwadhama Policarp Cardinali Pengo, humfahamu, ungemfahamu usingetoa kauli za jazba kinyume cha utetezi wake. We umetumwa hapa kutetea uozo wa serikali, na kumbuka mbio za sakafuni huishia ukingoni. Hii ya Ikulu kutokalika na kuhamishia maskani kwenye ndege iliyonunuliwa na walipa kodi na kuishia kwenye hotel za kitalii nchi za nje unaiteteaje?
 
PENGO ninamfahamu pengine kuliko unavyomfahamu. Hupenda kuamini kile anachoamini. Suala la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe: Dr. Jakaya Mrisho Kikwete aliyechaguliwa na wewe na mimi akashinda na anayetawala kidemokrasia. ...Ki Peoples Authority{tafsiri yake} kuonya viongozi juu ya dawa iweje ligeuke agenda na Pengo ashupalie? Sababu alizotoa ni nyepesi mno. Tatizo linaloonekana hapa ni la kisiasa zaidi...kwani JK anazungumza na kutenda kufuatia katiba ya nchi na misingi ya sheria za Tanzania ambayo ni neithet east nor west political alligned...Pengo yeye anawakilisha capitalists nchini if not imperialist. Katika Mazishi ya Anthony Mayala alisema wazi kabisa yeye ni pro capitalism.anadai anawapenda
Hivi kupenda captalism ni kosa? kwani kikwete anachukia ubepari? kwani mada hapa ni ubepari hivi unajua unachoandika? kwa namna hii kweli watu wengi wanaangamia kwa kukosa maarifa mara msiba wa mayala, ooh mara captalism Unatakiwa kujibu hoja na sio kudandidandia.
 
PENGO ninamfahamu pengine kuliko unavyomfahamu. Hupenda kuamini kile anachoamini. Suala la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe: Dr. Jakaya Mrisho Kikwete aliyechaguliwa na wewe na mimi akashinda na anayetawala kidemokrasia. ...Ki Peoples Authority{tafsiri yake} kuonya viongozi juu ya dawa iweje ligeuke agenda na Pengo ashupalie? Sababu alizotoa ni nyepesi mno. Tatizo linaloonekana hapa ni la kisiasa zaidi...kwani JK anazungumza na kutenda kufuatia katiba ya nchi na misingi ya sheria za Tanzania ambayo ni neithet east nor west political alligned...Pengo yeye anawakilisha capitalists nchini if not imperialist. Katika Mazishi ya Anthony Mayala alisema wazi kabisa yeye ni pro capitalism.anadai anawapenda
.
Endelea kuishi katika hizo nadharia zako......ndiyo maana nikakuambia kuwa, una tatizo la kudhani kuwa watu wote ni mafupi wa ufahamu na mitazamo kama wewe ulivyo au ulivyopata kuwa.......unang'ang'ania kumfahamu mtu kuliko mwingine bada ya kusema unamfahamu kiwango kipi kwa jinsi anavyojipamabanua, lakini kwa jinsi unavyosisitiza unafanya watu wagune na kuanzia kudadisi, mbona unajiamini kama vile ni 'mke' wake, anyway.
Kuhusu utendaji wa JK naona umekalili majukumu ya namna anavyotakiwa kutenda kazi zake, na haongelei namna anavyozitenda, hapo unajidhihirisha kuwa bado u mchanga katika kufanya presentation, unaweza ukafaa kufanya presentation mbele ya watu unao fanana nao mawazo au wale wanaopenda kusikia kashfa, na si kufanya presentation mbele ya watu huru mioyoni na akilini, ambao baada ya kuongea watahitaji muda wa kufikiri na kijridhisha kama ulichoomgea ni truth or facts.
N hapo wewe unaonekana kuongea fact na si truth......Jukwaa linakufaa hili, naamini litakubadilisha tu, si kwa kufanana kimtazamo bali kanuni na procedures mpaka kufikia conclutions
 
PENGO ninamfahamu pengine kuliko unavyomfahamu. Hupenda kuamini kile anachoamini. Suala la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe: Dr. Jakaya Mrisho Kikwete aliyechaguliwa na wewe na mimi akashinda na anayetawala kidemokrasia. ...Ki Peoples Authority{tafsiri yake} kuonya viongozi juu ya dawa iweje ligeuke agenda na Pengo ashupalie? Sababu alizotoa ni nyepesi mno. Tatizo linaloonekana hapa ni la kisiasa zaidi...kwani JK anazungumza na kutenda kufuatia katiba ya nchi na misingi ya sheria za Tanzania ambayo ni neithet east nor west political alligned...Pengo yeye anawakilisha capitalists nchini if not imperialist. Katika Mazishi ya Anthony Mayala alisema wazi kabisa yeye ni pro capitalism.anadai anawapenda
Mbona umekuja kwa nguvu sana tuliza mizuka hata kama hukubaliani na Pengo kwa kumwambia Kikwete msaliti wa taifa lake uje kwa hoja si kupinga ukardinali wake. Tujengee basi hoja kwa nini hukubaliani naye kuliko kututajia maaskofu mliokunywa nao pombe that is out of topic.
 
Hivi kupenda captalism ni kosa? kwani kikwete anachukia ubepari? kwani mada hapa ni ubepari hivi unajua unachoandika? kwa namna hii kweli watu wengi wanaangamia kwa kukosa maarifa mara msiba wa mayala, ooh mara captalism Unatakiwa kujibu hoja na sio kudandidandia.
.
Huyu jamaa haelewi anachokifanya hapa, anajaribu kuthibitisha madai yake kwa kuvuruga mada badala ya kutotoa hoja na vielelezo.......anafanana na hiyo avatar yake ya akina Merilyn
 
Wewe sio Pengo...mwenyewe akiona anaelewa...wewe hujui bado mdogo ukikua utaelewa tu...unadandia gari kwa mbele utagongwa..humjui padre hata mmoja ktk wote niliowataja...unatetea tu kwa ajili ya misingi ya kiimani kwa kuwa dini umeirithi kwa wazee wako..ungewakuta sunni ungekuwa huko....sabath ungekuwa huko pia...kasome ufunuo wa Yohana 21 utambue unayemwabudu ni Mungu au Satan....Upooooooooooo?
Sioni ajabu kwa mropokaji kumtetea mropokaji mwenzake,kama uliye andika ni mkristo unasababu ya kwenda kuulizia historia ya kanisa lako huenda ni yale Makanisa yanayoanzishwa Marekani na makachero FBI wanaotumia mbinu chafu ambazo nyingine hata wewe umeamua kuwa nazo ikupingana na nguvu za kanisa Katoliki ambalo limeanzishwa katika misingi ya YESU mweyewe kwa kupitia Petro. Cha msingi katika halishindwi na wala halitashindwa kusimama katika ukweli licha ya changamoto mbalimbali
 
Uko logic kidogo ila unapungukiwa neno moja tu
Sheria za nchi juu ya mambo mbalimbali...alisema viongozi wa Dini....siyo viongozi wa makanisa au misikiti...lengo lilikuwa kuli alert kanisa juu ya jambo hilo ambalo pengine Pengo hakuwa aware..sasa...Pengo akiambiwa Father Son of Africa anauza chalasi {unga} ili yeye afanyaje? Ni sehemu ya sheria huyo? Pengo naye namwania kuwa ndio waliosalia kumbe...ila namsamehe kwa kuwa ndio anaanza leo kunikwaza
Raisi anazifahamu Sheria za Nchi kama kuna watu wanuza madawa ya kulevya kwanini sheria isichukue mkondo wake? kwani hakun aliye juuu ya sheria hata viongozi wa dini? kwanini Raisi anaongelea zaidi umbea ona sasa anasutwa dawa ya mbea ni kusutwa sasa na asutwe?
 
ʞontɹact Sniper;2361421 said:
.
Huyu jamaa haelewi anachokifanya hapa, anajaribu kuthibitisha madai yake kwa kuvuruga mada badala ya kutotoa hoja na vielelezo.......anafanana na hiyo avatar yake ya akina Merilyn
tena katumwa huyu ni usalama kuendelea kumujibu tunapunguza umaarufu wetu ni bora kumuucha aendeleee kuonesha ujinga wake
 
JK ni kiongozi wa nchi Pengo ni msomaji mzuri wa biblia akumbuke kuwa hakuna mamlaka isiyo toka kwa Mungu
 
Tatizo Pengo aka mwanya! anafikiri akitumia masaburi. ila huyu jamaa ovyo kabisa na mnafiki wa hali ya juu, hana cha uzalendo wala nini? Makovju ya uchaguzi haya, na wafadhili wanauliza kulikoni padri kushindma uchaguzi.
sishangai mropokaji kumtetea mropokaji mwenzake
 
nimesoma kwa makini ujumbe humu kuwa kuna makundi mawili kundi la kwanza ni kundi la WAROPOKAJI hawa wanasapoti MROPOKAJI mwenzao ambaye JK wao kwakuwa ni waropokaji hawaoni hata kidogo kosa alilofanya JK cha msingi kwao ni kuongeza makali kwa Kuropoka kwake na kuunga mkono kwa kutio miropoko. Na kundi la pili ni kundi la watu mahiri walioelewa wapi JK alikosea kwa kutoa maneno ya uswahilini Kanisani na kounyesha mtazamo sahihi,
 
Unajua JK ashukuru sana kuwa aliongea haya kwa watu wavumilivu sana ingekuwa sehemu nyingine angeweza KUPIGWA MAKOFI nadhani mnajua kuna sehemu mtu alipigwa makofi kwa kauli ambayo si nzito kama hii, sasa ingekuwa aliongea hii si ingetokea nini angalie hili.
 
hii picha inavyoenda nathani itaelekea kulee kwa Baba Robert Mugabe tusishangae picha za Askofu Pengo akiwa katika mambo yaliyo kinyume na maadili ya kanisa lake kama kiongozi (kama yapo)! maana nawajua wanasiasa hutafuta upenyo hasa kwenye udhaifu wa anayewapinga!
 
JK ni kiongozi wa nchi Pengo ni msomaji mzuri wa biblia akumbuke kuwa hakuna mamlaka isiyo toka kwa Mungu
hata mamlaka ya Idi Amini na Hitler yalitoka kwa Mungu, una hakika unahitaji roho matakatifu akufunilie. Je ni nguvu ipi Cardinal amepinga? kuna mamlaka iliyotaoka kwa Mungu haitakiwi kuambiwa ukweli? Je hivi umehau Yohane Mbatizaji alifanya nini mpaka akuawa? yesu naye alifanya nini kwa viongozi? SASA NAHAKIKA WATU WAMEBINAFSISHA HATA KUFIKIRI kitu ambacho ndio kibaya zaidi.
 
hii picha inavyoenda nathani itaelekea kulee kwa Baba Robert Mugabe tusishangae picha za Askofu Pengo akiwa katika mambo yaliyo kinyume na maadili ya kanisa lake kama kiongozi (kama yapo)! maana nawajua wanasiasa hutafuta upenyo hasa kwenye udhaifu wa anayewapinga!
kwa uhakika hawatafutu udhaifu ila wanabambikizia udhifu i mean wanchakachua hawataweza na hawatakuja kuweza kosa ni lawazi na kila mwenye akili timamu ameona, na hata wakifanikiwa hawawezi kumaliza kanisa lote There is generation with holy spirit in which no human evil technic will overcome
 
JK ni kiongozi wa nchi Pengo ni msomaji mzuri wa biblia akumbuke kuwa hakuna mamlaka isiyo toka kwa Mungu

Tofautisha kati ya kupinga mamlaka na kukemea tabia mbaya za walio katika mamlaka, ni sehemu gani katika matamshi yake Pengo umeshindwa kumuelewa? hata Yesu Kristo alikemea, (kamwambieni yule mbeha kuwa....) usiitumia biblia ili kujinufaisha au kujifurahisha, itakugeuka, kwa intro hiyo uliyoingia nayo inaonyesha kuwa hauifahamu na huji inatumika vipi.
Pia ningekushari tu kuwa acha kuwa conclusive wakati mchakati hauuelewi au haukuushiriki.
Halafu uelewa pia rais ni mtu mkubwa sana kwa nafasi yake tofauti na wewe unavyomchukulia....ni sahihi kabisa kwa rais kuchaguliwa na watu kama wewe na mimi na pia ni hatari sana kwa rais kutetewa na watu hao hao....kwa sababu ya ufinyu wa uelewa wao, hakuna watakachofanikisha zaidi ya kuongeza nyufa za kijamii na kutaga mayai ya chuki yatakayosubiri kutotoa uhasama wa kijamii.
Bora fuatalieni kuliko kuingia kutetea, naomba muwe na heshima kwa nafas na hadhi ya rais tafadhali.
 
Watu kama Muadhama Pengo; ni viongozi wa dini ambao hawawezi kuwa kama Paulo! au hata kina Askofu Mkuu Oscar Romero.. wanavutia lakini.
 
Back
Top Bottom