Pengine serikali ya CCM imechanganyikiwa

Pengine serikali ya CCM imechanganyikiwa

Aisee Idugunde, ni wakati wako huu na wewe kutuletea Jenerali Lengai Ole Sabaya. Si unafahamu chama chetu huwa hakiwatupi makada wake, hata wawe wachafu kiasi gani?
IMG-20231022-WA0155.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu alihitajika mtu kama Makonda kufufua chama maana Chama kililoose popularity na wanachama walipungua kwa 30%
Kwa hiyo chama kina upungufu wa wasomi hadi kitafute mtu kama Daudi Albert Bashite aliyeghushi vyeti vya Paulo Makonda?

Sitashangaa DAB akiitwa pia Dr Makonda soon 😁

Only in 🇹🇿
 
Kwa hiyo chama kina upungufu wa wasomi hadi kitafute mtu kama Daudi Albert Bashite aliyeghushi vyeti vya Paulo Makonda?

Sitashangaa DAB akiitwa pia Dr Makonda soon 😁

Only in 🇹🇿
Hiyo nafasi sio uwaziri Ndugu kwamba unahitaji usomi..Inahitaji mtu anayejua kuongea na kutetea hoja za chama ili kujipatia au kuongeza popularity ya chama nisingeshangaa hata kama angapewa Steve nyerere au kama angepewa shilole kwa sababu sio lazma uwe msomi kushika nafasi hiyo mbona NAPE ALIWAHI KUSHIKA 🤣🤣
 
Wazungu wanasema .. Shortcut is the longest way you were not going... Na Waswahel wanasema unaweza kuruka ndogo(haja) ukadhani umesalimika kumbe unaenda kukutana na kubwa

Na shida ya kubwa ni moja haichomi, haiumizi lakini ukiikanyaga lazima uchecheme kama aliyekanyaga mwiba ukamchoma akiwa peku ama ukiwa umevaa kiatu ama kobazi lisilo na soli imara!

Na shida ya kubwa ni moja ukishaikanyaga umeitibua uvundo wake wote
Utanuka wewe na wengine watakukwepa kutokana na harufu hiyo wasijue kutofautisha kama ni yako ama ni ya mwingine umeipitia tuu..!

Tunaaswa na wahenga tukiwa kwenye taharuki tusiwe watu wa kuchukua maamuzi ya haraka! Lakini kubwa kuliko yote kuepuka kuchukua maamuzi yanayotokana na ushauri wa kunguni na papasi
Chama kimeyakanyaga! Kinatoa uvundo mkali.. Wenye pua ambazo silika za kunusa bado zinafanya kazi wataanza kukikimbiaView attachment 2789168View attachment 2789169

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo ni sehemu ya mikakati yao:

Kujikomboa kutoka CCM, uwe tayari kujitoa ufahamu
 
Hiyo nafasi sio uwaziri Ndugu kwamba unahitaji usomi..Inahitaji mtu anayejua kuongea na kutetea hoja za chama ili kujipatia au kuongeza popularity ya chama nisingeshangaa hata kama angapewa Steve nyerere au kama angepewa shilole kwa sababu sio lazma uwe msomi kushika nafasi hiyo mbona NAPE ALIWAHI KUSHIKA 🤣🤣
Daudi hajui kuongea, ni heri hata Haji Manara, yaani Manara angeisaidia CCM ila si huyu Daudi.

Ktk kuongea tu Manara peke yake ni sawa na kina Daudi hamsa
 
Wazungu wanasema .. Shortcut is the longest way you were not going... Na Waswahel wanasema unaweza kuruka ndogo(haja) ukadhani umesalimika kumbe unaenda kukutana na kubwa

Na shida ya kubwa ni moja haichomi, haiumizi lakini ukiikanyaga lazima uchecheme kama aliyekanyaga mwiba ukamchoma akiwa peku ama ukiwa umevaa kiatu ama kobazi lisilo na soli imara!

Na shida ya kubwa ni moja ukishaikanyaga umeitibua uvundo wake wote
Utanuka wewe na wengine watakukwepa kutokana na harufu hiyo wasijue kutofautisha kama ni yako ama ni ya mwingine umeipitia tuu..!

Tunaaswa na wahenga tukiwa kwenye taharuki tusiwe watu wa kuchukua maamuzi ya haraka! Lakini kubwa kuliko yote kuepuka kuchukua maamuzi yanayotokana na ushauri wa kunguni na papasi
Chama kimeyakanyaga! Kinatoa uvundo mkali.. Wenye pua ambazo silika za kunusa bado zinafanya kazi wataanza kukikimbiaView attachment 2789168View attachment 2789169

Sent using Jamii Forums mobile app
ile miaka mia moja ya manguli wa sheria za mkataba wa dipi weldi imepotelea Mbeya au USA?
 
Wazungu wanasema .. Shortcut is the longest way you were not going... Na Waswahel wanasema unaweza kuruka ndogo(haja) ukadhani umesalimika kumbe unaenda kukutana na kubwa

Na shida ya kubwa ni moja haichomi, haiumizi lakini ukiikanyaga lazima uchecheme kama aliyekanyaga mwiba ukamchoma akiwa peku ama ukiwa umevaa kiatu ama kobazi lisilo na soli imara!

Na shida ya kubwa ni moja ukishaikanyaga umeitibua uvundo wake wote
Utanuka wewe na wengine watakukwepa kutokana na harufu hiyo wasijue kutofautisha kama ni yako ama ni ya mwingine umeipitia tuu..!

Tunaaswa na wahenga tukiwa kwenye taharuki tusiwe watu wa kuchukua maamuzi ya haraka! Lakini kubwa kuliko yote kuepuka kuchukua maamuzi yanayotokana na ushauri wa kunguni na papasi
Chama kimeyakanyaga! Kinatoa uvundo mkali.. Wenye pua ambazo silika za kunusa bado zinafanya kazi wataanza kukikimbiaView attachment 2789168View attachment 2789169

Sent using Jamii Forums mobile app
Nape + Makonda = mchafuko ndani ya chama na serikali.
Screenshot_20231022-153235~2.jpg
 
CCM imepwaya sana kwa sasa, hilo genge la MSOGA halina mvuto kwa watu.

Bado POLEPOLE..na BASHIRU.
 
Back
Top Bottom