Nikuhadharishe ndugu yangu,
kwenye Siasa hakuna cha heavy weight! Nijuavyo mimi hata akigombea hatashinda kwani hakuna atakae kuwakilishwa na wale wenye sifa ya kuwaletea vurugu na maandamano ya kila mara yasiyo na tija. Majimbo yote kwa sasa yanayoongozwa na wenye kupenda vurugu wananchi wamechka na wana waasa wanachi wengine wasiingie kwenye kubahatisha kwa kukichagua chama chenye maslahi na vurugu!
Umetumwa!! Nani achague ccm wewe, hakika hat iweje ccm hawana tena nafasi, kumbuka yule kija na Nassary alianza kampeni muda ukiwa umeisha na hakwenda sehemu zote lakini huweziamini kuwa alikaribia kumpiga chini. unasema vurugu . wenye vurugu ni CDM au Magamba? tunavyojua Magamba aka ccm ndio waanzilishi wa wizi na vurugu