Hiyo ya kushindwa mimi siiamini sana,ok pengine labda tunatofautina,mimi ni mpiganaji huwa siamini katka kushindwa bali kushinda tu.Na hii haitakua mara ya kwanza kwa heavy weight wa aina ya slaa ambae ni national figure kwenda jimbo lingine na kushinda,alifanya hivyo mrema,licha ya serikali nzima kuhamia temeke kumhami sisco mtiro lakini kwa kuwa kura ni siri mrema alishinda,achaneni na maneno ya kitoto ya wizi wa kura,wananchi wakiamua ushinde utashinda tu.Rejea uchaguzi wa tarime kumrithi chacha.
Kwa nini naamini slaa atakua bora zaidi ya mbowe bungeni?jibu lake ni tofauti wa ELIMU na ufahamu wa wawili hawa,katika hivyo viwili mboe na dr ni sawa sawa na kulinganisha kifo na usingizi,mboe ni kama usingizi tu kwa kifo(slaa),na elimu ni jambo muhimu sana nadhani wote hapa tunakubaliana ya kwamba mwenye elimu zaidi ana maarifa zaidi.Sitaki kusema sana hapa namstahi mwenyekiti.Nadhani naeleweka,watu wazima nyie.
Kijana joshua kama yuko kwa ajili ya chama ataitwa na wazee kina makani watamuelewesaha ataelewa tu kama alielewa zitto na ukaidi wake wote tunaojua akamuachia mbowe uenyekiti itakua joshua!ndio mana kuna wazee,wazee ni grisi kazi yao ni kulainisha chuma kinapopata moto.kumsimamisha mtu kama joshua kwa nyingi lenye interest za mafisadi kama arumeru is a disaster!