Nauheshimu uamuzi wa Dr. Slaa...
Topic closed!
Awali hata urais alikataa kugombea, lakini mwisho wa siku alisikiliza matakwa ya wengi (na huo ndio uongozi bora). Nami pia naheshimu maamuzi yako Dr. lakini ni vyema ukijua kwamba hata michango yako bungeni kama mbunge na uraiani kama Katibu mkuu, bado ilikisaidia sana chama chako ktk kipindi cha 2005-2010 bila kuathiri utendaji wako ktk taasisi husika.Tunajadili nini wakati Dr Slaa amekataa kugombea Arumeru? Vyombo vya habari vimemnukuu akisema "hataki tena ubunge isitoshe sio mwenyeji wa Arumeru"
Nauheshimu uamuzi wa Dr. Slaa...
Topic closed!
Hataki tena ubunge..inamaana bado ana ndoto za urais?
Dr slaa is not cheap to that extent of being convinced by those magamba natured rotten ideas!! Chadema likewise is calculative in prons and cons of nominating dr for arumeru east by-election!!
Dk. Slaa majukumu aliyonayo kwa sasa ni zaidi ya kuwa mbunge, kasi ya uwajibikaji na umahiri wa wabunge wa CHADEMA unayoiona ni kutokana na kazi nzuri ya kuwapika wabunge hao inayofanywa na yeye, kuna kazi kubwa zaidi ya hiyo? alihoji mdau mmoja katika mtandao wa kijamii akiwapinga wanaokataa katibu mkuu huyo asigombee ubunge.
Source: Tanzania Daima
Dr. Slaa majukumu aliyonayo kwa sasa ni zaidi ya kuwa mbunge, kasi ya uwajibikaji na umahiri wa wabunge wa chadema unayoiona ni kutokana na kazi nzuri ya kuwapika wabunge hao inayofanywa na Katibu Mkuu wa chama Dr. Slaa, kuna kazi kubwa zaidi ya hiyo?
Tanzania daima kwanini hamsemi tu kwamba habari hii mmeichukua hapa JF? mitandao ya kijamii iko mingi lakini JF ndio kisima cha busara. Ona sasa walivyo copy na ku paste, siku nyengine nitawadai "commission" msiponitaja!! lol
Ok nimekuelewa,lakini nina swali kidogo tu,unakizungumziaje kitendo cha kiongozi wa upinzani bungeni pamoja na wabunge wake kumuachia zitto pekee suala la kupinga na kususia posho ya kukaa kitako bungeni ambao ni mzigo kwetu sisi tax payers?unaona kiongozi wa upinzani bungeni yuko sahihi kupanga foleni ya kugombea posho hiyo haramu?
hahahahahah kijana kama JK bwana duuu alipakwa wanja kijana wetu huyo HOI CHALI KABISAAA!Owk owk...ametumia akili na busara sana kufanya huo uamuzi. Kwa sasa Tanzania hatuitaji kuwa na viongozi wazee kama yeye. Tunataka vijana watakaoleta mabadiliko na mbinu mpya za kumkomboa mtanzania.