Who is slaa? Mbona mnamkuza wakati mwizi wa wake za watu tu. Mtu ana umri ule bado anabea wake za watu
Hataki tena ubunge..inamaana bado ana ndoto za urais?
Hataki tena ubunge..inamaana bado ana ndoto za urais?
Owk owk...ametumia akili na busara sana kufanya huo uamuzi. Kwa sasa Tanzania hatuitaji kuwa na viongozi wazee kama yeye. Tunataka vijana watakaoleta mabadiliko na mbinu mpya za kumkomboa mtanzania.hajasema hivo, amesema hataki tena ubunge, anachotaka kwa sasa ni kuimarisha CDM ili Tanzania ibadilike kupitia yeye kuimarisha chama ndani na nje ya bunge.
Ninachokiona kwenye uzi huo, ni kwa kiasi gani JF imekuwa chanzo cha habari. Mawazo ya REJAO SIJAYAONA
Hataki tena ubunge..inamaana bado ana ndoto za urais?