Mwakiluma
Senior Member
- Jan 23, 2012
- 120
- 47
...Slaa hawezi kugombea Ubunge Arumeru...kwanza yeye slaa ana malengo makubwa sana katika siasa mojawapo ni kufanya kazi za chama ili chama kiendelee kukua na hatimaye kushika dola...pili dk. slaa ana ndoto za kuwa mr. president wa nchi hii...hivyo kurudi bungeni na kuenda kubishana na akina Anna kilango malekela wanaotumia hisia zaidi katika kuelezea mambo badala ya hoja ni natari sana kwake maana atajichafua tu....huyu mama mara nyingi huwa analia kuhakikisha tu kuwa naonyesha hisia badala ya nguvu ya hoja