MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Wapendwa wa Chadema,
Mimi naomba Dr Slaa awanie ubunge Arumeru kusudi arudi Bungeni kuweka nguvu mpya
kama chadema ina mgombea makini Arumeru haina haja ya kumnyang'anya fursa hii kwa sababu ya Dr Slaa. Tumeshuhudia baadhi ya majimbo yanaingia kwenye mgogoro kwa sababu ya kupingana na uteuzi wa vikao vya jimbo na kuleta jina kutoka makao makuu ya chama kwa ajili ya kugombea.
Tuwaache wananchi wa Arumeru waamue hatima yao.