Pendekezo: SLAA amrithi SUMARI Arumeru!

Pendekezo: SLAA amrithi SUMARI Arumeru!

Who is slaa? Mbona mnamkuza wakati mwizi wa wake za watu tu. Mtu ana umri ule bado anabea wake za watu
 
Wapendwa wa Chadema,
Mimi naomba Dr Slaa awanie ubunge Arumeru kusudi arudi Bungeni kuweka nguvu mpya
Mkuu mwacheni Dr Slaa afanye kazi ya kuimalisha chama kwa mipango ya baadae, tena azidi kuwapika wabunge vijana ili CDM iwe na mvuto kwa sera zake!!!!!!Maendeleo ya nchi hii yanahitaji mabadiliko makubwa sio bungeni peke yake bali na kukijenga chama kujiandaa kwa uchaguzi ujao!!!!!

 
Mkuu mwacheni Dr Slaa afanye kazi ya kuimalisha chama kwa mipango ya baadae, tena azidi kuwapika wabunge vijana ili CDM iwe na mvuto kwa sera zake!!!!!!Maendeleo ya nchi hii yanahitaji mabadiliko makubwa sio bungeni peke yake bali na kukijenga chama kujiandaa kwa uchaguzi ujao!!!!!


noted kiongozi,....
 
Wapendwa wa Chadema,
Mimi naomba Dr Slaa awanie ubunge Arumeru kusudi arudi Bungeni kuweka nguvu mpya
pale bungeni Lissu anawatosha saana. Dr imarisha chama tunachukua nchi 2015 watake wasitake.
 
Who is slaa? Mbona mnamkuza wakati mwizi wa wake za watu tu. Mtu ana umri ule bado anabea wake za watu

naogopa kuchema lakini issue ya umri na mapenzi ni ngumu kwa watu wote kamuulize mzeeruksa na watoto wa jangwani atakujibu vizuri
 
jamaa tumemic sana challenge zake bungeni kweli alikua analichangamsha sana bunge sio kama sasa hv bunge halina mvuto kabisa ubabe umetawala Dr alikua na uwezo wa kujenga hoja na zikakubalika kama hao jamaa ni kweli waliwahi kugombea bora Dr arudi tu
Mbona Shibuda, mbowe,mrema na mwandosya walihi kugombea huo Urais wakadunda wakaenda kwenye ubunge
 
Wapendwa wa Chadema,
Mimi naomba Dr Slaa awanie ubunge Arumeru kusudi arudi Bungeni kuweka nguvu mpya
Una uhakika gani kama Slaa akigombea lazima atashinda?, manake umeandika as if akigombea lazima ashinde
 
Keshachoka kisiasa huyu..
Kwa sasa tunahitaji dam mpya za zenye nguvu bungeni na kwenye ulingo wa siasa!

mtoa mada ameweka wazi kuwa hii ni kwa wanachadema tu, inanipa wasiwasi kuwa unaweza kuhudhuria kitchen party wakati ni kwa viburudisho tu
 
Dr. Slaa majukumu aliyonayo kwa sasa ni zaidi ya kuwa mbunge, kasi ya uwajibikaji na umahiri wa wabunge wa chadema unayoiona ni kutokana na kazi nzuri ya kuwapika wabunge hao inayofanywa na Katibu Mkuu wa chama Dr. Slaa, kuna kazi kubwa zaidi ya hiyo?

Achilia mbali hilo, hata Ikulu pia anaipika, kasi, uwajibikaji. Bila yeye unadhani CCM wangevuana magamba, wangeridhia kuandika katiba mpya? wangekubali mabadiliko ya sheria mbovu ya kuandika katiba mpya.

Mi naona mleta mada labda angeshauri Mkapa arudi Ikulu 2015 kupitia CCM B.
 
Una uhakika gani kama Slaa akigombea lazima atashinda?, manake umeandika as if akigombea lazima ashinde

alishinda urais sembuse ubungeee, najua hata wewe una uhakika atashinda, najua hamuombolezi kumtakia Sumari maisha mema, mnaomboleza kupoteza jimbo, nikupe matokeo?
 
Akishindwa huko Arumeru umaarufu wake utaporomoka. Akiingia ni muhimu sana ashinde.
 
Back
Top Bottom