Wewe unaweza kuwa mgonjwa fanya mpango ukapime Malaria ndugu.Taarifa nilizozipata sasa hivi, yule mwandishi wa habari mashuhuri nchini, Bw. Said Kubenea anatarajiwa kugombea ubunge katika jimbo la Igunga lililowachwa wazi na mbaya wake Rostam Aziz. Tayari mazungumzo kati ya Kubenea ambaye mmoja wa wazazi wake wanatoka Igunga yamefanyika naye inasemekana amekubali ofa hiyo. Anatarajiwa kugombea kupitia chama cha magamba. Mwingine anayetajwa kutaka kujitosa jimboni Igunga, ni Hussen Bashe na Peter Kafumo.
Nakwambia anagombea. Jana alikuwa na kikao kirefu na Membe na Msekwa. CCM wanaona njia pekee ya kushinda jimbo la Igunga ni kumuweka Kubenea. Wamemhakikishia vikao vya chama vitampitisha. Lakini mkakati mzima unaonekana kutaka kumyamazisha yeye na gazeti lake. Wanaamini kuwa akijitosa katika mbio za ubunge Igunga, basi hataweza tena kuwachapa.
kwani kubenea ni muirani??hawezi chaguliwa na ccm APENDE ASIPENDE CCM IGUNGA INAONGOZWA NA NGOZI NYEUPE BWANA,LABDA AINGIE CDM
sitashangaa pamoja na hali mbaya ya kimaisha iliyoko Igunga bado wanaweza wakachagua magamba tena akiwa ana ka ushombeshombe, mburushi, au muasia atapita kirahisi saaana si unajua wanyamwezi tena washazoea mateso toka enzi za kina Tippu tippu, na ule msemo MZIGO MZITO MPE MNYAMWEZI una ukweli kabisa
Hapo ndio itaeleweka lakini sio Kubenea kupitia chama cha magamba..labda kubenea mwingine sio huyu mhariri wa mwanahalisi kumbuka walishamjeruhi mpaka kaenda kuponea India sasa iweje leo wamwone anafaa kugombea kupitia magamba?Mh Saidi S Kubenea Mbunge mteule wa Jimbo la Igunga CHADEMA
We! including you broda? Hahahaha!Are we so Desparate?
mnatuchanganya sasa mara ccm mara cdm kipi ni kipi sasa..Mh Saidi S Kubenea Mbunge mteule wa Jimbo la Igunga CHADEMA
nakumbuka kulikuwa na sheria inayotoa kikomo cha muda ambao jimbo linaweza kukaa bila mwakilishi, nahivyo uchaguzi uwe umefanyika katika kipindi hicho... ila magamba kuna wakati waliwahi kuibadilisha ili "kuwakomoa" wale wabunge wa cuf waliogomeaga bunge nafikiri msimu wa 2000-2005huo uchaguzi NEC wataubania usifanyike sasa hivi mpaka wapate mtu ambaye wana uhakika atashinda from ruling party