Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
CDM ilimshinikiza DK Slaa kuwa mgombea urais japo mwenyewe alikuwa hataki. Tumeona faida yake kuingiza wabunge wengi upinzani.
Kwa hivyo kwanini tusichukue nafasi ile kumshinikiza Mh Lipumba ili agombee ubunge Jimbo la Igunga:
Kwa hivyo kwanini tusichukue nafasi ile kumshinikiza Mh Lipumba ili agombee ubunge Jimbo la Igunga:
- Ni mzaliwa wa Tabora
- Ni mwenyekiti wa Chama cha CUF ili kuongeza nguvu za upinzani akisaidiana na kina Mbowe, Lissu na wengine
- Itaijenga Cuf kisiasa na kujenga Upinzani wenye nguvu bungeni
- CDM haina nguvu sana kulinganisha na CUF kwa kuwa lipumba ndipo anapotoka.