Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Kubenea siyo mmiliki wa gazeti la Mwanahalisi, bali mhariri gazeti hilo. Hivyo anaweza na anayo haki ya kugombea ubunge kupitia chama chochote anachopenda yeye. Kwakuwa Kubenea ni mwanamageuzi hawezi wala hataki kugombea kupitia Magambaz. Kwa kipindi hiki na wakati huu, kujiita Mwana Magambaz ni kujidhalilisha na kujishusha hadhi.