Pendekezo: Prof. Lipumba awe mgombea wa upinzani Igunga

Pendekezo: Prof. Lipumba awe mgombea wa upinzani Igunga

Taarifa nilizozipata sasa hivi, yule mwandishi wa habari mashuhuri nchini, Bw. Said Kubenea anatarajiwa kugombea ubunge katika jimbo la Igunga lililowachwa wazi na mbaya wake Rostam Aziz.

Tayari mazungumzo kati ya Kubenea ambaye mmoja wa wazazi wake wanatoka Igunga yamefanyika naye inasemekana amekubali ofa hiyo. Anatarajiwa kugombea kupitia chama cha magamba.

Mwingine anayetajwa kutaka kujitosa jimboni Igunga, ni Hussen Bashe na Peter Kafumo.

Hamchoki kuzusha mambo,
Bashe kakanusha jana hapa JF, hana mpango huo, lakini bado majungu hayakomi.
Hata hii story nzima nahisi umetunga tu.
 
Nakwambia anagombea. Jana alikuwa na kikao kirefu na Membe na Msekwa. CCM wanaona njia pekee ya kushinda jimbo la Igunga ni kumuweka Kubenea. Wamemhakikishia vikao vya chama vitampitisha. Lakini mkakati mzima unaonekana kutaka kumyamazisha yeye na gazeti lake. Wanaamini kuwa akijitosa katika mbio za ubunge Igunga, basi hataweza tena kuwachapa.
mhh,nin waswas!.
 
We! including you broda? Hahahaha!

Ha ha haa, Duh....! chineke ooo Ogah! i was about to unleash terror and spit.....

nitasikitika sana kama kubenea ataenda Igunga

Hivi hakuna wanyamwezi wazuri hadi aende huyu?? and we expect maendeleo ya kweli kabisaaa?? barabara nzuri, umeme, elimu, afya, teknohama na kilimo from kubenea??? mtu ambaye for the past 36 months all his mind was focused on Lowassa basi??

kweli watanzania ni mbayuwayu... we need a serius Tananian from Igunga mwenye uchungu na weledi wa kujua tanzania inataka ni na si mtu ambaye kila akiamka anaanza na Lowassa then bismillah

hapan!!!

kwa hilo, God forbid

MTM,

You must be genius.....!
 
Taarifa nilizozipata sasa hivi, yule mwandishi wa habari mashuhuri nchini, Bw. Said Kubenea anatarajiwa kugombea ubunge katika jimbo la Igunga lililowachwa wazi na mbaya wake Rostam Aziz.

Tayari mazungumzo kati ya Kubenea ambaye mmoja wa wazazi wake wanatoka Igunga yamefanyika naye inasemekana amekubali ofa hiyo. Anatarajiwa kugombea kupitia chama cha magamba.

Mwingine anayetajwa kutaka kujitosa jimboni Igunga, ni Hussen Bashe na Peter Kafumo.

Mkuu kumbuka JF sio kijiwe cha kuleta hadithi za alfu lela ulela.
icon1.png
Bashe ajipanga kugombea Igunga
Kwa mujibu wa vyanzo vyangu vya taarifa, Bashe amepata ule wasaa aliokuwa akiutamani na ambao ulimponyoka bila yeye kutarajia-kuingia mjengoni. Vyanzo vinasema kuwa Rostam anahakikisha kuwa jimbo lile linarudi 'kwake' kupitia mtu wake wa karibu na ambaye kwa sasa ni ceo wa habari corporation. Mwenye masikio na akae mkao wa kula

Mod. UPDATE:
Response by the aforementioned:
quote_icon.png
By Hussein Bashe

Wana Jf naomba nitumie nafasi hii kusema sina NIA,UTASHI WA KISIASA,kugombea jimbo la Igunga wala Jimbo lingine lolote Tanzania zaidi ya Jimbo la Nzega mungu akinifikisha salama 2015, reason nitakua nimesaliti wana nzega,nitakua nimeenda kinyume na dhamira yangu.Kwahiyo nisema hizi tetesi si za kweli na mwisho ni mwana siasa gani ambae atafanya kosa kama HILO? Kwetu nzega nitabaki nzega nitagombea nzega nitawatumikia wana nzega.Ninawatakia Heri wote watakaoenda kugombea Igunga.Mwisho nitoe angalizo kwa wana jamvi hapa hizi lugha za kikaburu,za kubaguana kwa rangi,dini nadhani si njema sana kwa Taifa letu inawezekana aneziandika hapa jamvini haoni madhara leo basi ipo siku italitafuna Taifa letu zimeanza kujitokeza naziona hapa jamvini,nazisikia midomoni mwa wana siasa na sasa zimeanza kwenda ktk nyumba za dini,nilizoea kwetu kijijini kabila hutajwa wakati wa utani lakini sasa naona miongoni mwa wasomi na viongozi zikitajwa kwa nia ya kutugawa nadhani TUNAPOTOKA.ipo siku tutawajibishwa. Nasisitiza SIGOMBEI IGUNGA.




 
WanaJF mpeni Kubenea HAKI YAKE YA KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA KUPITIA CHAMA ANACHOPENDA YEYE. Jamani huu ndio utamu wa SIASA,hiki si cha kushangaa kubenea ni mpiganaji muacheni, sio kila Mwana CCM basi hapaswi kuwa Mwanaharakati na mpiganaji wa TAIFA letu.NOOO SIO SAWA HATA KIDOGO.Mpeni haki yake ya KUCHAGUA NA KUCHAGULIWA.Nimekuwa napinga sana hatua na juhudi za CCM za kuwafanya Watanzania wengine Kama wageni ndani ya TAIFA lao kwa kuwa si WanaCCM.Ili uwe na mchango wa kulitumikia TAIFA ni Lazima uwe MWANACCM.Hapana huo si UTU,ni UONEVU hivyo kupatikana kwa watu kama KUBENEA ndio mwanzo wa mageuzi.Kwa kuwa dhamila yake ni mageuzi,akifika uko asitumie nafasi hiyo kwa faida ya wengi basi nae ATASTAHIKI LAWAMA za kutumwa na wanfamilia chakula wakati wa njaa kisha baada ya kupata chakula cha wanajamii anapotea nacho anakojua yeye,na kuwaacha wanajamii wakiendelea kuteseka na njaa.TUNAITAJI MCHANGO WA KUBENEA BUNGENI ACHENI AENDE SIO LAZIMA APITIE CDM HATA CCM NACHO NI CHAMA.JIBU LA TATIZO SI KUKIMBIA TATIZO BALI NI KUKABILIANA NALO.HONGERA KUBENEA KAMA NI KWELI.
Magamba mtahangaika sana juu ya Mwanahalisi na Dr Slaa (phD) ni mwiba mchungu kwenu na uchovu wenu wa kufikiri.
 
Kwa nini watu wanapanga safu za wagombea watakaorithi wakati RA hajawasilisha barua ya kujiuzuru?!

Hivi RA akija kubatilisha uamuzi wake wa kujiondolea vyeo vya uongozi, hao wanaotangaza kugombea wataficha wapi nyuso zao?
 
Huo ni upotoshaji wa wazi Kubenea hawezi fanya umbwiga kama huo
 
nitasikitika sana kama kubenea ataenda Igunga

Hivi hakuna wanyamwezi wazuri hadi aende huyu?? and we expect maendeleo ya kweli kabisaaa?? barabara nzuri, umeme, elimu, afya, teknohama na kilimo from kubenea??? mtu ambaye for the past 36 months all his mind was focused on Lowassa basi??

kweli watanzania ni mbayuwayu... we need a serius Tananian from Igunga mwenye uchungu na weledi wa kujua tanzania inataka ni na si mtu ambaye kila akiamka anaanza na Lowassa then bismillah

hapan!!!

kwa hilo, God forbid

mtazamo wako huo!
 
Watu na majungu bwana .Kubea last time mlisema kwamba anagombea sijui Mafya kwa CCM ikawa kimya leo mnasema Igunga ? Haya
 
Watu na majungu bwana .Kubea last time mlisema kwamba anagombea sijui Mafya kwa CCM ikawa kimya leo mnasema Igunga ? Haya
nakumbuka sana, na hata kipindi ile GT akiwa live kabla hajajivua gamba alikua very much active on KB's case

Yani kweli wana-Igunga sasa wanakopa leaders from Kubenea type?
 
pukudu hasira zako mbaya, badala ya kusaidia jambo wewe unatia moto, mimi nafikiri tunaweza kupata mbuge mzuri wa igunga kutoka nje ya ccm, lakini tatizo kubwa hatujui huyu bwana rostam kaachia ngazi akiwa na fikra gani kwa mtu ambaye atamrithi na je atampigia tafu kiasi gani maana jamaaa ana pesa chafu kuliko mimi na wewe na yule na hapa kumbuka alivyoweza kununua watu wa kulia kwenye hotuba yake ya kujivua gamba, pia endapo atakuwa anataka jimbo liende upinzani anaweza na atakuwa kasaidia sana kitu ambacho kwa tabia maburushi wengi hupenda kukionyesha kuwa wana uwezo wa kufanya chochote wakati wowote, pili wasomi wengi wa igunga ambao ni wazuri kugombea na wanauzika kwa wanainchi ni wafanyakazi wa serikali (ccm) hivyo basi nashawishika kuwa ni vigumu kwao (ingawa wanaweza) kuchukua likizo ya kugombea ubunge kwa chama cha upinzani kwani kutenda hivyo kunatia wasiwasi wa hatma yao huko mbeleni,

nafikiria sana na najaribu kuamini kuwa endapo yule mgombea wa cuf aliyeshindwa na ra uchaguzi uliopita basi angesimamishwa yeye na nguvu ya umma ikaelekezwa kwake ninaamini anaweza kushinda, au ccm basi watuletee kifaa kama lembeli wa kahama na kamwe si huyo kafumu ambaye anajulikana ni dalali wa mafisadi aliyehusika kwa undani kabisa kutengeneza mikataba ya kifisadi ya madini,na huyo mwalimu malembeka ukweli si mtu wa igunga na kumchagua yeye ni sawa na kumchagua ra

jambo la mwisho na muhimu kabisa safari hii na iwe vyovyote vile "igunga ni kwa wana igunga" hao waburushi, washombe, na akina tippu tippu hawana lao ila wakitaka wanakaribishwa uwanjani watumie demokrasia yao

na huyu mboje nasikia ni mzaliwa igunga, ingawa ni mtumishi wa serikali lakini loote laweza kufanyika ili kumpata, nasiki anakubalika sana. Na ndiye aliyekuwa mpinzani hatari wa rostam, huyu alikuwa mwiba.

Hivi sasa kwa vyanzo vya habari yuko masomoni usa. Huyu anaweza kufaa kutumika kuiwakilisha igunga katika kupambana na ujinga maradhi, umasikini uliokithiri kwa wakazi wa igunga. Shida ya igunga sio taa za barabarani watu hawa hawana magari, wanatembea kwa miguu madaraja yanahitajika, si majengo ya zahanati bali huduma muhimu za tiba, maji na makazi bora. Anahitajika mtu kutoka igunga. Chadema wamtafute mtu huyu asimame igunga anakubalika.

Maoni zaidi wana jf
ituganhila masshikolo,
igunga
 
Back
Top Bottom