Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,436
- 1,627
Habari Tanzania !.
Naomba kupendekeza wazo la kodi hasa toka chanzo kipya " KUSANYIKO LA WATU".
Pawepo na utaratibu wa kutoza Kodi sehemu ambapo mtu au watu au taasisi wanaotaka kunufaika na Umma kwa namna yoyote ile walipe Kodi ya kusanyiko ili liwe chachu kwa taifa letu. Kukusanya watu sehemu fulani kuna leta changamoto za Uharibifu wa miundombinu, kuzizorotesha huduma za jamii sehemu tukio linakofanyika nk. Tulijenge Taifa letu kwa pamoja.
Sasa naomba tujiwekeee utaratibu wa hii Kodi mpya ya Kusanyiko la watu/ Umma kwa mtu au watu, kikundi au taasisi walipie kwa mwaka.
NB
Taasisi za kidini pekee wasiguswe na hii huduma ya kodi.
Ahsante.
Naomba kupendekeza wazo la kodi hasa toka chanzo kipya " KUSANYIKO LA WATU".
Pawepo na utaratibu wa kutoza Kodi sehemu ambapo mtu au watu au taasisi wanaotaka kunufaika na Umma kwa namna yoyote ile walipe Kodi ya kusanyiko ili liwe chachu kwa taifa letu. Kukusanya watu sehemu fulani kuna leta changamoto za Uharibifu wa miundombinu, kuzizorotesha huduma za jamii sehemu tukio linakofanyika nk. Tulijenge Taifa letu kwa pamoja.
Sasa naomba tujiwekeee utaratibu wa hii Kodi mpya ya Kusanyiko la watu/ Umma kwa mtu au watu, kikundi au taasisi walipie kwa mwaka.
NB
Taasisi za kidini pekee wasiguswe na hii huduma ya kodi.
Ahsante.