ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,053
Hello wanajf Leo nilikuwa kijiji msanga kwenye shughuli aisee nikapata kushangaa dukani nakuta pempas wanauza moja moja nikamuuliza muuzaji je zinatoka akasema mnoo watu awawezi kwa wingi wananunua moja moja tsh mia.aiseee nikasema hivi nepi tens ndio basi