Pempas mpk vijijini hivi nepi hakuna tena

ommytk

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
482
1,053
Hello wanajf Leo nilikuwa kijiji msanga kwenye shughuli aisee nikapata kushangaa dukani nakuta pempas wanauza moja moja nikamuuliza muuzaji je zinatoka akasema mnoo watu awawezi kwa wingi wananunua moja moja tsh mia.aiseee nikasema hivi nepi tens ndio basi
 
moja sh mia???! huku moja mia tano zile za chupi na zile za kufunga mia nne
 
Za bei chee hizo hazina ubora ni kama zile net za watoto. Neti za dukani ni nzuri na ubora wa hali ya juu ila za minadani vituko tupu na bei rahisi
Huwa nawazaga zinakuwaga na ubora kweli hizo rafiki? Au ndio wanauziwa ilimradi tu.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom