MwanaHabari
JF-Expert Member
- Nov 9, 2006
- 442
- 13
hii gestapo ya kikwete na lowassa ivunjwe na chombo kipya kiundwe kiwe independent ki report kwenye judicial na sio executive branch
Mkuu Kalamu,
1. inaonekana rushwa imekuwa tatizo kubwa hata kudhoofidha sana uchumi wa Tanzania. Kwa utajiri wa rasilmali tulizonazo, na jinsi zinavyotumika, inawezekana tungekuwa matajiri miongoni mwa nchi za kusini mwa Afrika. Unadhani pengine kwa kutambua uzito wa tatizo, na kwa sababu rushwa mbaya zaidi ni ile kubwa (grand corruption, tuunde chombo cha maafisa wa uwezo wa juu sana kama The Scorpions, wa South Africa?
2. Vinginevyo, tubadilishe muundo wa PCCB kwa kuiweka chini ya wananchi, yaani iwajibike kwa bunge. Hii nayo nadhani ni effective, kwa kuwa hawa watakuwa wanafanya kazi without fear or favour.
Lakini hizi njia zote mbili zinahitaji political willingeness ya serikali, je itakuwa tayari? What do you think?
kaka hivi kweli chombo cha kudeal na rushwa una kiona ni sawa na uraisi? ingawa sikubali hili la kueleta hao experts. lakini kama watakuja kwa kufanya uchunguzi wa 'damu' ili kutibu majipu kama alivyosema wangwe, chacha naona itakuwa vizuri! si umesikia mambo mazuri yaliyofantwa na delloite na ernest and young? hawa wote sio makampuni ya ndani! ni wataalum kutoka 'nnje'. na wametuletea matunda mazuri tu. mimi nadhani tunawahitaji kuja kutuonyesha wabaya wetu then watuachie wenyewe tuendelee sasa na kina mwakiembe wetu.
Jamani kuna taarifa zilizoenea kwamba eti ripoti aliyoisoma Bw. Hosea kwenye vyombo vya Habari wakati PCCB walipofanya uchunguzi wa Richmond sio ambayo iliwasilishwa mezani kwake na wafanyakazi wake....! taarifa zinasema aliifanyia marekebisho na kutoa ripoti mpya aliyioiandika yeye binafsi.
Hivi bado yuko ofisini? Anasubiri nini huyu mtu, au kashaomba kuachia ngazi...? mi nashauri kikwete amfanyie kama Balali, asipokee kujiuzulu kwake, amfukuze...!
Kuna tuhuma za kwamba alimpikia majungu mwandishi wa habari wa Gazeti la THE FAMILY MIRROR akahakikisha kijana amekwenda jela, eti kwa sababu alimuandika vibaya kwenye gazeti hilo la FAMILY MIRROR...! Mwandishi huyo yuko jela mpaka hivi sasa nnapoandika hii email, hii ni habari ya ukweli kabisaaaa...!
Jamani kuna taarifa zilizoenea kwamba eti ripoti aliyoisoma Bw. Hosea kwenye vyombo vya Habari wakati PCCB walipofanya uchunguzi wa Richmond sio ambayo iliwasilishwa mezani kwake na wafanyakazi wake....! taarifa zinasema aliifanyia marekebisho na kutoa ripoti mpya aliyioiandika yeye binafsi.
Hivi bado yuko ofisini? Anasubiri nini huyu mtu, au kashaomba kuachia ngazi...? mi nashauri kikwete amfanyie kama Balali, asipokee kujiuzulu kwake, amfukuze...!
Kuna tuhuma za kwamba alimpikia majungu mwandishi wa habari wa Gazeti la THE FAMILY MIRROR akahakikisha kijana amekwenda jela, eti kwa sababu alimuandika vibaya kwenye gazeti hilo la FAMILY MIRROR...! Mwandishi huyo yuko jela mpaka hivi sasa nnapoandika hii email, hii ni habari ya ukweli kabisaaaa...!
Ninapata mashaka yale yale ya siku zote! Kwamba huwa hatusomi vizuri btn the lines...
Chombo kilichoshindwa kuchunguza ile rushwa ya Richmond kilikuwa ni PCB au TAKURU...
Naomba mukumbuke kwamba PCB/TAKURU inanzishwa na sheria dhaifu sana... hiyo sheria haikuweza kupambana na rushwa hata kidogo...
Ndio maana sheria ikapelekwa kubadilisha hiki chombo... sasa PCCB/TAKUKURU...
Nina pata mashaka kwamba Tume ya Mwakyembe iliihukumu PCB/TAKURU kwa sheria ya PCCB/TAKUKURU.
Bila kumtetea Hosea... lakini najua hajiuzulu kwa sababu hii tu na si nyingine...
PCB/TAKURU ilikuwa ina zungumzia bribing tu! ambayo sio Tume ya Mwakyembe wala PCB/TAKURU walioweza ku-establish kwamba rushwa (bribing and not corruption) ilikuwepo....
Ni kwa sababu hii bado Hosea ana confidence maana ripoti yake imefanya kazi kwa kufuata sheria ile ya 1971 ya Rushwa
Mkuu Mbalamwezi, ndio hapo bado haujaelewa sheria ya PCB ilikuwa inaongelea hongo... period... wewe, mimi, Hosea, Mwakyembe wote tunajua kwamba hakuna sehemu yeyete aliyesema kulikuwa na Hongo.Mkuu Kasheshe,
wewe ndo unashindwa kusoma between the lines. Dr Hosea anajua chanzo cha kiburi chake ni nini. Tunajua, na hata tume ya Dr Mwakyembe imesema, kwamba taarifa ya TAKURU, au PCB ya wakati huo, ilishindwa kubaini uozo huo.
Kwa hiyo tungejadili hili na wala sio tofauti na hili!But the bottom line ni kwamba, hata baada ya sheria kubadilishwa, na kuwa bora zaidi, kwani PCCB hawawezi kuchunguza tena Richmond? Wewe unadhani hawawezi kwenda kuichunguza scandal waliyoshindwa kwa udhaifu wa sheria ya zamani?
Makosa ya Prof Mahalu, ni PCB au PCCB ndo inashughulikia? PCCB came into being just last year, na mikataba mibovu itatuua pole pole for decades to come kama kansa. Tufanyeje basi ili PCCB watukomboe na hali hii? Mbona hakutueleza, na wala hakuieleza tume ya DR Mwakyembe kuwa sheria ya PCB haikuwapa nguvu ya kutosha kupambana na Richmond? Au hakuona umuhimu wa kujitetea yeye na taasisi yake?
kaka hivi kweli chombo cha kudeal na rushwa una kiona ni sawa na uraisi?
Kesi ya mahalu ni ya uhujumu uchumi,,, nakushauri uwe unasoma mambo vizuri zaidi, PCCB waliingia kwa ajili ya ile issue ya kwamba kama kuna ulimbikizaji wa mali... lakini sio Rushwa...
Wana JF, PCCB imetuangusha WaTz katika mapambano ya rushwa. Ili tuwe na silaha kali, je tuivunjilie mbali tuunde chombo kipya kitakachokuwa, pengine chini ya wabunge? Au tubadili uongozi wa sasa?
Nimekusoma, Mkuu Kasheshe.
Sasa, are you still of the opinion kuwa kama chombo kilichoundwa kusimamia maslahi ya nchi, PCCB, baada ya kuchungulia uvundo mle, it had nothing to in the Rich scandal? Hata kushauri tu? Let us be honest.