PC na QT Special Thread

PC na QT Special Thread

Nifanye nini ili nisikate tamaa? Mwaka juzi nilijitoa mnoo, nilisoma kama kichaa na nilitumia gharama kubwa. Nilikuwa natafuta crdt moja na nilifanya masomo manne. Maskini mie, matokea yalivyotoka nikaambulia D, sio siri niliumia kupita maelezo. Mwaka jana nikaamua kujiandikisha tena, kusema kweli nilipoteza hamu ya kusoma kabisa, kila siku nikawa nasema nitasoma kesho. Matokeo yake mitihani ikafika nami sijajiandaa, hivyo sikufanya mtihani kabisa japo namba nilipata. Mwaka huu natamani nifanye mtihani lakin roho yangu inasita vibaya mnoo. Nishaurini mwenzenu, shule bado naipenda lakin ndo hivyo.
Mimi nirisit mwaka juzi, nilikuwa kama ww natafuta ctdt 1,... nilinikiwa tena kwa kujisomea mwnyw tu bila ya kufundishwa na walimu. Siri yng kubwa nilitazama format ya mtihani kwa maana Section.A, B, C na D ni topic gani huulizwa na ina marks ngapi ikisahishwa na nilisoma topic zote kwa umakini(kuelewa) na sikuacha hata nukta na hapo ndipo nilipoanzia na Sasa ni SHUJAA wa kile nichokitaka. Usikate tamaa komaa huu mwaka iwe isiwe KUTOBOA kunakuhusu mkuu.
 
Kiongizi mbona kuna watu husema kuwa eti D inaanza na 35 Kwa PC na na SC yeye ni 30?
Huo ni uongo, niliwahi kumuuliza headmaster wetu akajibu alama za usahishaji ni sawa kwa wote nami nilitoboa fresh tu kupitia reseatets.
 
kwa mwaka jana ilinigharimu sh.231,000. Hio ni pamoja na elfu 30 ambayo ni malipo ya maabara endapo unafanya masomo ya sayansi.
N.B. Kumbuka hio ni ada ya mtihani ya kituo + necta.

N.B. Kama hufanyi somo la real practical ada itakuwa ni 231,000-30,000.

N.B. Ada inaweza kubadilika kila mwaka, pia na kituo husika. Hivyo hio ni ada niliyolipia mwaka jana.
Hivi kwanini huwa mnakubali kuibiwa hivi, hiyo gharama mchanganuo ni upi?
 
Nifanye nini ili nisikate tamaa? Mwaka juzi nilijitoa mnoo, nilisoma kama kichaa na nilitumia gharama kubwa. Nilikuwa natafuta crdt moja na nilifanya masomo manne. Maskini mie, matokea yalivyotoka nikaambulia D, sio siri niliumia kupita maelezo. Mwaka jana nikaamua kujiandikisha tena, kusema kweli nilipoteza hamu ya kusoma kabisa, kila siku nikawa nasema nitasoma kesho. Matokeo yake mitihani ikafika nami sijajiandaa, hivyo sikufanya mtihani kabisa japo namba nilipata. Mwaka huu natamani nifanye mtihani lakin roho yangu inasita vibaya mnoo. Nishaurini mwenzenu, shule bado naipenda lakin ndo hivyo.
Usiwe mwepesi wa kukata tamaa.
 
Fanyeni discussion sana solve maswali mengi sana kama una wenzako peaneni text kwa zamu mbarikiwe sana mnapoenda kufaulu mitiani yenu
 
Kuwa na ushirikiano na wenzako, unafiki haufai na usisahau kumtanguliza MUNGU mbele ktk masomo yako.
 
Back
Top Bottom