Kweli usemayo. Mimi ni mtumishi wa umma, nimeajiriwa 2014, na 2015 ndo nikaamua kujiendeleza. Naingia kazini saa moja natoka saa kumi jion. Nilipokuwa nikitoka nilikuwa napitia secondary moja hivi kujiongezea maarifA. Lakin tangu nimekosa hizo crdt hata hamu ya kusoma imeniishia
Pili, huku nilipo watu ni wavivu, wameridhika na maisha hawana mpango wa kujiendeleza. Wakijiendeleza sana mwisho diploma, nami sitaki kusoma diploma pekee
Kwa kifupi huku kwetu hakuna changamoto ya elimu kabisa. Natamani nipate walau watu wawili wenye mawazo kama yangu ili tuungane na kutimiza malengo yetu kabla umri hauja tutupa mkono