PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,821
Mkuu pitia huu uzi mwanzo mpaka mwisho umejieleza vizuri mno mana wadau wamechangia sanaNilikua nauliza nikifungua account payoore iyo card natumiwa baada ya mda na natumia sehemu gani
Hiyo registration ukigungua haina kitu aiseeeNi kweli, PayPal haijaruhusiwa Tanzania, fungua hiyo link ufanye registration, ukishafungua account then u apply Card yako Mkuu! Kwa usaidizi wowote anytime njoo hapa uulize, ntajitahidi kusaidia kadri ntavyojaaliwa!
Mkuu Mimi Jana nimepokea kadi tangy ya MasterCard ya payoneer na nimei activate successfully. Hii card juu yake ina langu na digits 16. Sasa unataka kunitumia hela kutoka say South Africa au US, no information gani unahitaji kutoka kwangu ili uweze kunitumia hiyo hela? Maana A/C # sijaiona.Inawezekana Mkuu! Kwa Ku transfer hiyo 500,000 kwenda kwenye Payoneer account yako! Na ukafanya manunuzi mtandaoni!
Kumbuka Payoneer ni sawa na Bank account nyingine, utofauti ni kuwa hii ni online banking!
Na kwa vile ni free unaweza kufanya registration na uka apply card yako! Inaweza kutokea siku unahitaji kununua kitu mtandaoni ikakurahisishia!
Au uko na friend nje ya nchi akakutumia pesa kupitia Payoneer!
Kupata iyo mastercard kuna fee yoyote au ni free na wanakutumiaje through postal address au?Mkuu Mimi Jana nimepokea kadi tangy ya MasterCard ya payoneer na nimei activate successfully. Hii card juu yake ina langu na digits 16. Sasa unataka kunitumia hela kutoka say South Africa au US, no information gani unahitaji kutoka kwangu ili uweze kunitumia hiyo hela? Maana A/C # sijaiona.
Ni bure kabisa mkuu, ingia kwenye site yao fanya registration then apply, ndani ya mwezi mmoja or so utakuwa umeshaipata kupitia posta address.Kupata iyo mastercard kuna fee yoyote au ni free na wanakutumiaje through postal address au?
Tumia Date picker mkuu.zinakuwa kulis mwa Date text box. Note format yaomwezi unaanza thentarehe then mwaka. i.e. 10/24/2017 ni sawa na 24/10/2017 kwetu.Wakuu nàomba kueleweshwa kama kuna format yoyote ya kuandika tarehe unapofanya application ya payoneer account maana mimi inanigomea kwenye tarehe.
Tatizo lako ndiyo langu mkuu, tujulishane kama ukishaweza kutambua account namba yako ya Payoneer.Mimi hata namba ya hiyo account ndio nimeshindwa kuielewa mkuu.
Poa mkuuNi bure kabisa mkuu, ingia kwenye site yao fanya registration then apply, ndani ya mwezi mmoja or so utakuwa umeshaipata kupitia posta address.
Hapana sio bure mimi waliniambia ili nipate kadi angalau akaunt iwe na $40Ni bure kabisa mkuu, ingia kwenye site yao fanya registration then apply, ndani ya mwezi mmoja or so utakuwa umeshaipata kupitia posta address.
Labda ulipita dirisha jungine mkuu, mimi nimeletewa kadi jana na sijalipa chochote. Yaani jananilivyownsa posta nikaikuta tena baada ya kupata email yao!!Hapana sio bure mimi waliniambia ili nipate kadi angalau akaunt iwe na $40
application ulifanya lin??Labda ulipita dirisha jungine mkuu, mimi nimeletewa kadi jana na sijalipa chochote. Yaani jananilivyownsa posta nikaikuta tena baada ya kupata email yao!!
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Ilikuwa kwenye wiki ya kwanza ya septembeeapplication ulifanya lin??
Kuna vitu viwili, Kuna Payoneer Account, na pia kuna Payoneer MasterCard....Mkuu Mimi Jana nimepokea kadi tangy ya MasterCard ya payoneer na nimei activate successfully. Hii card juu yake ina langu na digits 16. Sasa unataka kunitumia hela kutoka say South Africa au US, no information gani unahitaji kutoka kwangu ili uweze kunitumia hiyo hela? Maana A/C # sijaiona.