Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

Payoneer ni mbadala halisi wa PayPal!

Hii payoner nmefungua account hii sasa mara ya pili..lakin sipat email inayo ongelea card..na had sasa ni miez miwil imepita sijaona card wala email ya card..shida hapa ni nin?
Ulifungua kupitia Link hapo juu!?
 
Nop...ila naskia saiz si had utumiwe labda hela kweny payoneer yako ndio watakupa card tena kwa usd 40
Mkuu now days Mataperi kila kona....
Nimeweka link hapo ambayo inaku direct kwenye Official website ya Payoneer...
Sasa kuna watu wanaenda wenyewe huko Google na kukutana na site za kitapeli, mwisho wa siku maswali yanakua mengi na procedure ambazo hawana
 
Mkuu now days Mataperi kila kona....
Nimeweka link hapo ambayo inaku direct kwenye Official website ya Payoneer...
Sasa kuna watu wanaenda wenyewe huko Google na kukutana na site za kitapeli, mwisho wa siku maswali yanakua mengi na procedure ambazo hawana
Naomba hiyo link bas mkuu au uniatajie page no nirud nyuma
 
Inakupa message gani?
Naingiza details zangu kwenye signup kwa maana ya jina email na siku yankuzaliwa lakini baada ya hapo inanipa page ya kusign in lakini nikiingiza details inaniuliza password ambayo sijaulizwa wakati wa kusignup
 
Naingiza details zangu kwenye signup kwa maana ya jina email na siku yankuzaliwa lakini baada ya hapo inanipa page ya kusign in lakini nikiingiza details inaniuliza password ambayo sijaulizwa wakati wa kusignup
Samahani lakini, ila inachosha MKUU, form zina maelezo mpaka maelekeo ya wazi kabisa, unasema kwenye sign up form hakuna sehemu inayokwambia ujaze password! Unatumia Site gani? Nakuwekea hapa Screen shot ya hatua kwa hatua kwenye registration form! Then utanambia ndo kama ulizokua unajaza?
Screenshot_20171023-213450.png

Hiyo ni page no. 1

IMG_20171023_213949.jpg

Hiyo ni page no. 2

IMG_20171023_214010.jpg

Hiyo ni page no. 3
Huoni hizo sehemu za Ku feed password? Kama inatokea huelewa cha kujaza nenda kwenye alama ? Wanakupa maelekezo ya ziada....
 
Mie bado sijaelewa naomba msaada zaidi juu ya masuala haya-;
  • Kadi hiyo nitapata kwa njia gani?
  • Nitawezaje kuongeza pesa kwnye account?
Msaada kwa hayo!!
 
Mie bado sijaelewa naomba msaada zaidi juu ya masuala haya-;
  • Kadi hiyo nitapata kwa njia gani?
  • Nitawezaje kuongeza pesa kwnye account?
Msaada kwa hayo!!
Mkuu ukipitia hii thread majibu yote yapo ndani.
 
Nimepitia Mkuu yote, bado kidogo hayo ni utata!!
Ungepitia usingeuliza maswali hayo ambayo yameulizwa zaidi ya Mara moja!
Sasa sio Poa kujibu Swali lile lile lililoulizwa zaidi ya Mara moja kabla Mkuu!

Kama hauna muda kupitia huu Uzi, then tafuta muda coz utajifunza hata vile ambavyo usingeuliza!
 
Ungepitia usingeuliza maswali hayo ambayo yameulizwa zaidi ya Mara moja!
Sasa sio Poa kujibu Swali lile lile lililoulizwa zaidi ya Mara moja kabla Mkuu!

Kama hauna muda kupitia huu Uzi, then tafuta muda coz utajifunza hata vile ambavyo usingeuliza!
Mkuu kipengele cha kutumiwa kadi bado kina utata inawezekana kipind wewe umejiunga walikuwa wanatoa bure ila kwa sasa hivi hawakutumii hadi ulipie $40...Nimejaribu kujiunga kwa link uliyoweka hapo juu lakin inaonyesha tayar nina existing account kwa hyo unaposema kuna wengine wanatumia unofficial payoneer unakosea
 
Mkuu kipengele cha kutumiwa kadi bado kina utata inawezekana kipind wewe umejiunga walikuwa wanatoa bure ila kwa sasa hivi hawakutumii hadi ulipie $40...Nimejaribu kujiunga kwa link uliyoweka hapo juu lakin inaonyesha tayar nina existing account kwa hyo unaposema kuna wengine wanatumia unofficial payoneer unakosea
Mkuu!
Tatizo lenu mnasoma Heading tu then unaandika Comment kuuliza Maswali, wale wote wanaosoma Uzi mwanzo mwisho hawapati tatizo kama lako....

Narudia tena, Payoneer MasterCard ni bure, means wanakutumia bure, hutoi hata 10, sana sana wao ndo wanaku offer $25, fee hu apply pale tu unapoanza kuitumia.....

Umefanya nipoteze muda tena ni apply upya kwa ajiri yako, sasa huu muda huwa haupo kwa kila mtu kuja na the same question....

Napandisha Screen shot hatua kwa hatua hafu wewe utaniambia kwa hatua ipi kwako walikwambia ulipe $40..

Screenshot_20171024-142417.png


Screenshot_20171024-142602.png


IMG_20171024_143340.jpg
IMG_20171024_143713.jpg


Hiyo juu ni approval email yao.

Screenshot_20171024-142954.png


Hapo juu nime log in kwa account yangu.

Screenshot_20171024-145222.png


Pitia na hiyo Screen shot..
Kwenye hizo steps umeona wapi naulizwa kulipa $40?

NB:
Nimetumia majina ya kubuni sehemu nyingine nimesahau kufuta!
 
Mkuu!
Tatizo lenu mnasoma Heading tu then unaandika Comment kuuliza Maswali, wale wote wanaosoma Uzi mwanzo mwisho hawapati tatizo kama lako....

Narudia tena, Payoneer MasterCard ni bure, means wanakutumia bure, hutoi hata 10, sana sana wao ndo wanaku offer $25, fee hu apply pale tu unapoanza kuitumia.....

Umefanya nipoteze muda tena ni apply upya kwa ajiri yako, sasa huu muda huwa haupo kwa kila mtu kuja na the same question....

Napandisha Screen shot hatua kwa hatua hafu wewe utaniambia kwa hatua ipi kwako walikwambia ulipe $40..

View attachment 616142

View attachment 616143

View attachment 616145 View attachment 616146

Hiyo juu ni approval email yao.

View attachment 616147

Hapo juu nime log in kwa account yangu.

View attachment 616149

Pitia na hiyo Screen shot..
Kwenye hizo steps umeona wapi naulizwa kulipa $40?

NB:
Nimetumia majina ya kubuni sehemu nyingine nimesahau kufuta!
Sawa baada ya kulog in kwenye akaunt yako mbona sijaona sehemu waliyoweka option ya wewe kuapply kutumiwa kadi hata hiyo bonus ya $25 mbona haipo kwenye akaunt yako..naona balance ni $0
 
Sawa baada ya kulog in kwenye akaunt yako mbona sijaona sehemu waliyoweka option ya wewe kuapply kutumiwa kadi hata hiyo bonus ya $25 mbona haipo kwenye akaunt yako..naona balance ni $0
Kwa sasa uombe usiombe wanakutumia Card yako, ndo maana kwenye Registration form wanaomba taarifa sahihi za PO Box, street address n.k
 
Boss sasa nataka kulipwa online huyu client wangu nimpe details zipi, Kadi tayari na nimesha activate muda tu
 
Boss sasa nataka kulipwa online huyu client wangu nimpe details zipi, Kadi tayari na nimesha activate muda tu
Hongera Mkuu!.
Muombe email na Majina yake kama hauna, then utaingia kwa Account yako ya Payoneer, utatuma Special payment request kwa Client yako, ikitaja mpaka kiwango unachotegemea kupokea!
 
Back
Top Bottom