Pay stubs za mshahara wa Rais

Wamarekani wanaujua mshahara wa Obama?
 
Alichofanya Nyani Ngabu ni kukumbushia tu ahadi iliyotolewa itekelezwe, sioni ubaya wowote kwa ukumbusho huu.
 
mkuu watanzania waoga sana. wanaogopa kuuliza "pay stubs" kwa hofu ya kufukuzwa kazi au kufungwa@ngabu.
 

Usisahau kuwa alishtaki kwako pia, au na wewe ni mwanamme?
 


nasikia jana alikuwa crdb yawezekana ni kwa suala hili


just jocking😉😉😉😉😉😉😉
 
sikujua hata huko marekani kuna siasa za kuombana salary slip.
 
Eti alisema akifika dsm akumbushwe awaoneshe pay slip yake. Huenda bado hajarudi DSM. Au kama karudi tuwaombe aliowapigia simu kumkumbusha.
 
Tafuteni kazi ya kufanya mshahara wa rais mshaujua kama unataka salary slip nenda ikulu ukaulizie.

Acheni mambo ya kike kufatilia mambo ya watu.. Nyummbu wakubwa!
Wengine sie ni Punda. Ila nyumbu ni wewe na kizazi chako chote.
 
Magufuli ni mtu wa 'stunts'...

Mara kapiga simu kwenye TV..

mara apige simu tena ataleta pay slip

mara aende bank mwenyewe.....mradi kila siku ana 'new stunts'....

kila siku yupo kwenye headline...asipofukuza huyu kaibukia huku....


Nilimshupalia ataje na mali na madeni yake na akitoka afanye hivyo.

Pia aanzishe mchakato wa mabadiliko ya sheria ya Sekretarieti ya maadili ya umma maana kikubwa kurejesha rasimu ya wananchi haendi bila shinikizo kali
 
Magufuli ni mtu wa 'stunts'...

Mara kapiga simu kwenye TV..

mara apige simu tena ataleta pay slip

mara aende bank mwenyewe.....mradi kila siku ana 'new stunts'....

kila siku yupo kwenye headline...asipofukuza huyu kaibukia huku....

hahahahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…